Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Umemshauri vema, kawaida ya Waafrika huwa hatugombani na marehemu, lakini pia head of state ni kitu kingine kabisa na hasa akifia madarakaani, Mifumo bado ipo kazini kujua sababu, ukijichanganya ukawekewa alama ya X mgongoni hiyo ni mpaka kizazi cha nne, wajukuu watalipiga viboko kaburi lako kabendera
 
Mi binafs japo nilikuwa cmuungi mkono Mh Magu kwa mambo mengine lakin ungeniambia nitoe ushaur kwa Kabendera ningemshauri the same way. Angekaa kimya tu kama atalipwa akachukue hela yake kimya kimya maisha yaendelee. Kifo cha Magu kiwe fundisho kuwa cc ni binadamu so unaemuona ni kinga yako leo kesho anaweza asiwepo huna sababu ya kujipa kundi katika mavita haya ya ccm humo ndan other ways labda utuambie ushachagua wa kula nae. Maisha ni kujifunza aisee kuna masleeping giant yamekaa na yalikuwa yanakubaliana na ngosha so ni kuwa makin ucje kupigana vitu isiyokuhusu.
Wewe ni ngosha tu acha kuzunguka zunguka
 
Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.
Dada sheiza mbona unajizima data bila sababu. Kama ulichosema ni kweli kuwa Erick alikuwa "anaandika habari zisizo na uchunguzi", basi mlipaswa mumshitaki kwa Sheria ya huduma za habari ambayo ndipo kosa lake linaangukia.

Kwa kitendo cha kumshitaki kwa Sheria ya AML ndipo mnaonyesha kuwa alichoandika Erick kilikuwa ni sahihi ila msingeweza kumshinda Mahakamani. Then mkaamua kumkomoa.

Sasa huyo aliyekuwa anakomoa wenzie Mahakamani yuko wapi?

Nashukuru kuona kuwa Magufuli alikufa mwaka jana baada ya kuumwa sana. Hata kwenye majukwaa alikuwa anapanda na A/C huku mikononi akiwa na catheter
 
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Hatuhitaji miili ya Mapaka ipumzike🐒🐒🐒
16409521842520.jpg
 
Ni kweli,kwa Nini na nyie mnapenda sana kuja Dar bila kuoga au kupiga mswaki!!?? Kama hampendi usafi bora mbaki huko huko Bush kwenu na msije Dar!!!
Unaweza kuta washauri wa jiwe walikuwa watu kama wewe
 
Rais akiamua kumshughulikia mkuu, huo ujaji ataenda kuamulia kesi kwenye vijiwe vya kahawa au bongo star search. Wala sitanii
Rais kama taasisi haiwezi kufanyia kazi tuhuma za kifitini kama hizi za Kabendera. Tuhuma za wazi kabisa kuwa ametumwa. Ni muhimu Rais mstaafu Kikwete ajitenge na huo ujinga.
 
Wajinga kama nyie ndio mnafanya nchi iwe kama ilivyo. Mtu anakipigania kilicho chake unadai katumwa. Dhulma ilifanyika ameonewa pakubwa sana. Kumbuka ata ulaya kuna wazee walioshiriki vita ya 2 ya dunia wakafanya maovu, file likifukuliwa unahukumiwa. Acha akili za kijinga tukiacha kila siku yapite atakuja dhalimu mwingine tena.

A jig a
Huyu dogo ni mseng£
 
Wewe utakuja kuishia wapi? Ni aibu na woga wa kutisha kupambana na marehemu wakati alipokuwa hai hukuthubutu hata kidogo kutikisa mkia! Unajizolea laana! Mtu akifariki inabidi aachwe mikononi mwa Mungu ajuaye siri za moyo wa mtu kipindi anamchukua! Vinginevyo utapambana na hasira za Mungu kwa kushughulika na yule ambaye tayari ameshamtwaa!! Sina uhakika kama umeelewa, lakini nakuona unajitafutia laana kwa nguvu!!
Yaani ufanye uovu utegemee eti ukifa watu wasiseme maovu yako, no way shetani lazima apingwe vikali
 
Huyo Kabendera ana umuhimu gani? Watu wameshachoshwa na serkali za kionezi tangu zama zote lkn yeye yuko sasa kusema ubaya uliopita naasiseme uliopo, hakuwahi kuongelea kuwa hela za viroba zilikuwa ni za UMMA au ? Hiyo ESCROW ulikuwa ni upigaji au la.
Hii awamu itapita itashughulika naye awamu nyingine hata kama ni ya 20.
Angekuwa mwerevu angenyamaza.
Hawa wazee unaona wakila bethidei wana makosa lkn tunawatakia maisha marefu hakuna kuwazonga kulipa kisasi tunasonga mbele sasa
Acha upumbav , mnaweza mrudishia uhai mama yake ambaye alifariki Kwa kukosa nahitaji kisa mwanae kafungwa Kwa mashitaka ya uongo na kesi za kubumba ?
 
Umemshauri vema, kawaida ya Waafrika huwa hatugombani na marehemu, lakini pia head of state ni kitu kingine kabisa na hasa akifia madarakaani, Mifumo bado ipo kazini kujua sababu, ukijichanganya ukawekewa alama ya X mgongoni hiyo ni mpaka kizazi cha nne, wajukuu watalipiga viboko kaburi lako kabendera
Hahahaha, hivi watu waache kulipiga la Jiwe wakapige la raia mwenzao asiye na impact yoyote
 
Sote tunajua alipitishwa kwenye tanuru ya moto kipindi cha Magufuli.

No wonder bado ana chuki naye. This is human nature and very understandable.

Muhimu tumkumbushe yote aliyoyapitia ni consequences za kulisaliti taifa.
 
Mwendazake atabeba msalaba wake hata baada ya kuwa kabulini,hakuna cha head of state Wala such upuuzi..

Hasamehewi Duniani na huko kaburini.,naona unajaribu kumtafutia huruma mhalifu kwa kisingizio cha deseased head of state..

Asante Sana Kabendera kwa kutufichulia ya sirini maana wewe pia ni mhanga wa Madhila ya Mwendazake..
Kila neno lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa mafundisho. Kabendera tembea nuruni kama unavyotembea. Na wote tutembee nuruni ili giza likae peke yake. Kama giza linavyotisha sasa. Wote sisi tukiwa hai au tukiwa tumekufa tu mali ya Mungu kwa hiyo hakuna wakumtisha mwenzake. Na wala Mungu hapendi watu wake watishwe na giza.
 
Sote tunajua alipitishwa kwenye tanuru ya moto kipindi cha Magufuli.

No wonder bado ana chuki naye. This is human nature and very understandable.

Muhimu tumkumbushe yote aliyoyapitia ni consequences za kulisaliti taifa.
Mbw@ wewe
Unaweza thibitisha huo usaliti wake ? , Na hata kama alisaliti procedure ni kumbambikizia kesi ,kukwapua mali zake na kumfunga Kwa mashitaka ya uongo ?
 
Nimesoma comment zote bt Kuna swali Bado halijibiki ktk fikra zangu!!!


Kwann Kila sa100 anapozuru nyanza makundi yanazuka kumtukana alolala???

Je ni anawakumbusha machungu au wanazidisha hasira ya Wana nyanza Ili waichukie sirikali???


Nani anafaidika na upuuzi huu??

Kwann wazee wamegoma kuzeeka na kukaa ktk nafasi zao kushauri Kwa HAKI???
 
Mbw@ wewe
Unaweza thibitisha huo usaliti wake ? , Na hata kama alisaliti procedure ni kumbambikizia kesi ,kukwapua mali zake na kumfunga Kwa mashitaka ya uongo ?
Ulishathibitishwa mahakamani.
 
Mwendazake atabeba msalaba wake hata baada ya kuwa kabulini,hakuna cha head of state Wala such upuuzi..

Hasamehewi Duniani na huko kaburini.,naona unajaribu kumtafutia huruma mhalifu kwa kisingizio cha deseased head of state..

Asante Sana Kabendera kwa kutufichulia ya sirini maana wewe pia ni mhanga wa Madhila ya Mwendazake..
Unakuta huko kuzimu ni katolewa mbele na montress kwa kupiga kelele
 
Dada sheiza mbona unajizima data bila sababu. Kama ulichosema ni kweli kuwa Erick alikuwa "anaandika habari zisizo na uchunguzi", basi mlipaswa mumshitaki kwa Sheria ya huduma za habari ambayo ndipo kosa lake linaangukia.

Kwa kitendo cha kumshitaki kwa Sheria ya AML ndipo mnaonyesha kuwa alichoandika Erick kilikuwa ni sahihi ila msingeweza kumshinda Mahakamani. Then mkaamua kumkomoa.

Sasa huyo aliyekuwa anakomoa wenzie Mahakamani yuko wapi?

Nashukuru kuona kuwa Magufuli alikufa mwaka jana baada ya kuumwa sana. Hata kwenye majukwaa alikuwa anapanda na A/C huku mikononi akiwa na catheter
Huihui2 bila kujalisha umri wako, jinsia yako na kiwango cha uchumi ulicho nacho, wewe una matatizo ya akili.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Najiuliza,

Nyerere day imebadilika kuwa siku ya kumtusi Magu.

Hivi Kweli Nyerere angekuwa hai angekaa kimya na kuacha kukemea Hali hii????

Wazee mliobaki hamuitendei Nchi HAKI ktk hili.
 
Back
Top Bottom