Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Nimeamini umelewa
Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
 
Nimesoma comment zote bt Kuna swali Bado halijibiki ktk fikra zangu!!!


Kwann Kila sa100 anapozuru nyanza makundi yanazuka kumtukana alolala???

Je ni anawakumbusha machungu au wanazidisha hasira ya Wana nyanza Ili waichukie sirikali???


Nani anafaidika na upuuzi huu??

Kwann wazee wamegoma kuzeeka na kukaa ktk nafasi zao kushauri Kwa HAKI???
Hii kitu ina pande mbili. Rais Samia kama angeweza apige marufuku kumtukana au kumdhihaki Dkt Magufuli, maana ni kitu pekee ambacho kitamnyima urais 2025. Maana kwa sasa kila kundi linajaribu kumuhusisha na yeye na Dkt Kikwete kushiriki kumuua Dkt Magufuli. Na hasia za watanzania ni kuwa Dkt Kikwete kwa kushirikiana na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli (Kitu ambacho mimi binafsi siamini kabisa-Dkt Magufuli alikufa kifo cha kawaida). Kauli kama hii ya Kabendera ina leta mashiko kwenye hisia za watanzania kusema kumbe Dkt Kikwete na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli na hicho kitu watanzania walishaanza kusahau. Mungu amlinde Dkt Kikwete na Rais Samia, hatutaki tena vifo vitokee, tunahitaji kujenga nchi.
 
Erick kiukweli aliyosema ukisoma between the line kuna vitu vingi ndani yake! Nimerudia mara nyingi lile andiko nikaelewa kwanini yaliyomtokea yalitokea na huenda yeye mwenyewe anaendelea kujimwagia upupu!

Anyway, sisi wengine yetu macho tu!
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Huu ujinga wa kujifanya watabiri naona Godbless lema ameshapata wafuasi wake.
 
Hii kitu ina pande mbili. Rais Samia kama angeweza apige marufuku kumtukana au kumdhihaki Dkt Magufuli, maana ni kitu pekee ambacho kitamnyima urais 2025. Maana kwa sasa kila kundi linajaribu kumuhusisha na yeye na Dkt Kikwete kushiriki kumuua Dkt Magufuli. Na hasia za watanzania ni kuwa Dkt Kikwete kwa kushirikiana na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli (Kitu ambacho mimi binafsi siamini kabisa-Dkt Magufuli alikufa kifo cha kawaida). Kauli kama hii ya Kabendera ina leta mashiko kwenye hisia za watanzania kusema kumbe Dkt Kikwete na Rais Samia walimuua Dkt Magufuli na hicho kitu watanzania walishaanza kusahau. Mungu amlinde Dkt Kikwete na Rais Samia, hatutaki tena vifo vitokee, tunahitaji kujenga nchi.
Umenena vyema,
Mwisho wa haya tunaonekana wote hatuna akili.

Ni Bora kijana mwenye Akili na BUSARA kuliko Mkuu Mchungaji wa mifugo MPUMBAVU.

Kwann kuamsha hasira ya wananchi Kwa mamilioni walohuzunishwa na kifo Cha Kiongozi wao???

Siasa za namna hii mbona ni NGENI ktk Nchi yetu????

Kama hakuna WAZEE wenye akili. Basi VIJANA wenye akili wapewe nafasi kushauri Ili kuiunganisha Nchi na Si kuibomoa.
 
Wewe choko katiwe huko ,kvma wewe ,unanijua Mimi ? Au unadhani kila mtu ni zwazwa kama wewe humu .
Sikiliza dogo upuuz wako peleka Facebook huko unaongea na watu wazima hapa .
Simbilisi wewe
Watu wazima wenye midomo michafu?
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Wewe iko siku utakuja kukamatwa tu maana ulikuwako hata kwenye kikosi cha WASIOJULIKANA kilichokwenda kumshambulia Tundu Lissu chini ya uongozi wa Paul Makonda. Usiamink kuwa hiyo ID ya TumainiEl umejificha sana. Kimsingi tunakufahamu
 
sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
You are playing ...
Siyo
Your playing ....

BTW, Hilo kosa la kawaida sana kwenye kuandika kiingereza hasa kama muandishi siyo lugha yake ya kwanza.
 
Wewe utakuja kuishia wapi? Ni aibu na woga wa kutisha kupambana na marehemu wakati alipokuwa hai hukuthubutu hata kidogo kutikisa mkia! Unajizolea laana! Mtu akifariki inabidi aachwe mikononi mwa Mungu ajuaye siri za moyo wa mtu kipindi anamchukua! Vinginevyo utapambana na hasira za Mungu kwa kushughulika na yule ambaye tayari ameshamtwaa!! Sina uhakika kama umeelewa, lakini nakuona unajitafutia laana kwa nguvu!!
Nasema hivi oangezewe kuni km imekuuma shauri yako
 
Hili Taifa haliwezi kupata kiwanda Wala maendeleo ya Maana ...Kama aina ya think tanks za Taifa mtoa mada yupo ...Basi bora niendelee kulimia mihogo yangu tu watoto wapate kula ....

Wazee wa kazi mnashughulika na vitu vidogo vidogo Sana badala mzame huko ng'ambo mtuibie tecknolojia mpo bize na akina Kabendera ..

Pathetic pit;!!
 
Mungu ndiye aliyeuamua baada ya kusikia kilio chetu.
Rais jizi vile 1.5 trilioni na mauwaji kibao.
Linatomba mpaka ndugu wa mkewe...
Chafu sana lile
Uwe na adabu we kima,tuondolee stress zako hapa 💩 wewe
 
Erick kiukweli aliyosema ukisoma between the line kuna vitu vingi ndani yake! Nimerudia mara nyingi lile andiko nikaelewa kwanini yaliyomtokea yalitokea na huenda yeye mwenyewe anaendelea kujimwagia upupu!

Anyway, sisi wengine yetu macho tu!
Hilo andiko la Kabendera lipo wapi?
 
Back
Top Bottom