Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Acha kutisha watu.
Mnafiki mkubwa wewe.
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Kanuni gani.
Nyie wote ni wapuuzi tu.
 
Mmeanza Tena vitisho vyenuu,muueni maana Nyie mtaishi daima🙄
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Kwani mkijibu hoja zake itakuwaje?
 
Erick kiukweli aliyosema ukisoma between the line kuna vitu vingi ndani yake! Nimerudia mara nyingi lile andiko nikaelewa kwanini yaliyomtokea yalitokea na huenda yeye mwenyewe anaendelea kujimwagia upupu!

Anyway, sisi wengine yetu macho tu!
Wanajitia wenyewe kwenye matatizo badae wanaomba huruma za watu.
Huyu mtu angekua kwao huko alikotoka na upuuzi huu tungeshamsahau.
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Yani Tanzania kuna watu wana roho za ajabu. Jitu linashabikia mwenzie kudhulumiwa na kuonewa.
 
Mungu ndiye aliyeuamua baada ya kusikia kilio chetu.
Rais jizi vile 1.5 trilioni na mauwaji kibao.
Linatomba mpaka ndugu wa mkewe...
Chafu sana lile
Hujuwi unacho andika. Daud aliuwa arithi mke nn Hayati kula ndugu wa mke wake. Kuna mambo Bora ukae kimya tu maana ni ujinga wakiwango cha lami
 
Una wasiwasi atakutaja kwenye upuuzi wa kupoteza watu!? Wewe hofu yako nini yeye akisema madhila ya mfalme wenu!?
Upo usemi unasema jambo usilo kijuwa ni usiku wa giza tena nene sana.
 
Na wewe Malaika unaelekea kuwa marehemu. Midudu ya chooni inakusubiri. Maskini kama nyie hamuishiwi maneno. Mara Huyu mtoto wa huyu mara kaiba Trilioni 1.5 mara kaua watu. Na njia aliyopita na wewe inakusibiri Malaika Mtakatifu.
 
Hata waliovunja sheria na kuuwa na kupora watanzania MUNGU kalala mbele na kiongozi wao
Vitu vingine hata msimsifu Mungu. Magufuli kaenda na wewe kiwango cha umaskini wa mali na fikra bado kingali palepale. Labda huyu mnayemwita Mtoto wa Mwinyi(Samia) ndiye mkombozi au sio? Wajinga kweli nyie.
 
Mungu ndiye aliyeuamua baada ya kusikia kilio chetu.
Rais jizi vile 1.5 trilioni na mauwaji kibao.
Linatomba mpaka ndugu wa mkewe...
Chafu sana lile
Mungu kuamua si jambo jipya. Wewe mwenyewe midudu mila vinyesi inakusubiri uzikwe ili ipate chakula. Trilioni 1.5 hakuiba, wewe msafi mwenzako mchafu kaenda wewe umaskini wako wa fikra na mali ungali uko palepale. Labda huyu Mama yako mnayemuita Mtoto wa Mwinyi atakusaidia.

Magufuli mtamsema weeee lakini mnamsema sana kwa sababu mnadhani kila mmoja wetu alibidi afurahi pamoja nanyi alipofariki. Ni kama matahira wanaoshangaa kwa nini wengine hawaimbi nyimbo wanazoimba wao. Magufuli hataingia katika Historia kama mnavyolazimisha nyie, umaskini wenu haujapungua sasa kwamba amesepa, nyie wenyewe tunasubiri Mungu aingilie kati Taifa liondokane na MABULUKENGE.
 
Watu wa humu wanasema wao ni watu wazima ila wanatukana kama vitoto vya uswahilini.Tena vile vya kike.acheni kutukanana
 
Mungu kuamua si jambo jipya. Wewe mwenyewe midudu mila vinyesi inakusubiri uzikwe ili ipate chakula. Trilioni 1.5 hakuiba, wewe msafi mwenzako mchafu kaenda wewe umaskini wako wa fikra na mali ungali uko palepale. Labda huyu Mama yako mnayemuita Mtoto wa Mwinyi atakusaidia.

Magufuli mtamsema weeee lakini mnamsema sana kwa sababu mnadhani kila mmoja wetu alibidi afurahi pamoja nanyi alipofariki. Ni kama matahira wanaoshangaa kwa nini wengine hawaimbi nyimbo wanazoimba wao. Magufuli hataingia katika Historia kama mnavyolazimisha nyie, umaskini wenu haujapungua sasa kwamba amesepa, nyie wenyewe tunasubiri Mungu aingilie kati Taifa liondokane na MABULUKENGE.
MUNGU ndiye aliyeamua MAGUFULI imetosha....usinichukie mim mchukie MUNGU in case...
Kabudu kakiri walibambika deni acacia, TRA ya magufuli ilibambika madeni lukuki.
Uchumi wa kimachinga ndio akili za maguful
Kuuwa kuteka
Kutisha legendary wa CCM yuko wapi Ali happi kamanda wa magufuli?

Mwombeni na nyie mungu wenu mfu wa chattle labda atawasikia
 
Watu wa humu wanasema wao ni watu wazima ila wanatukana kama vitoto vya uswahilini.Tena vile vya kike.acheni kutukanana
Mtu hataki kuamini SAMIA ndiye rais, na MUNGU ndiye kaamua. Utamfanyaje mutu ya hivyo kama sio kumjibu ovyo?
 
Back
Top Bottom