Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kama umeamua kumpa tahadhari, basi iishie hapo hapo! Siyo baadaye tena tusikie jamaa kapotea moja kwa moja kama ulivyofanya kwa yule msaidizi wa Mbowe.
Huyu jamaa pamoja na Paskali intuition zangu kwa muda sasa zinanipeleka ku-doubt kuwa siyo watabiri au wanamaono kama wanavyojinasibu, bali they are a secret part of the gvt.

Moja ya majukumu yao humu ni ku-shape public opinions kwa mlolongo wa matukio yatakayotokea.

And they seems to know each other.
 
huna pesa kaa kimya tafuta pesa kwanza siongei na vibaka, tafuta pesa na tutawaburuza vibweka nyie, huyo nyau wenu kibend wenu achunge kidomo chake, he should focus on his next move not the foolish past.
Wewe kuku tu ambaye muda wako ukifika utanyonyolewa penda usipende. Eti "tafuta pesa"!? Samaki hafundishwi kuogelea.
 
Hivi wewe si ndio ulimuonya Ben Sanane mda si mrefu baadae akapotea? [emoji848]

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa ni state agent anayekuja kwa jina la utabiri kama mwenzake. Very evil. Fuatilia trend yake utamuelewa.

Hata tukisema okay, twende kwenye maono anayotaka tuamini-Maono si yanatoka kwa Mungu?

Sasa ni Mungu gani huyo anayetisha watu kusema kweli kama si shetani?

Mtu hufa lakini matendo yake hayafi kamwe, na matendo aliyoyaacha yatamfuata kila mahali.

Huyo mungu anayeogopa ukweli ni mkora tu.
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjuBlia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Usilolijua ni usiku wa giza. Be sure first of what you are talking.
 
Wanaisrael baada ya mateso makali Mungu alisikia kilio chao akasema inatosha sasa. Kilichomkuta Farao na jeshi lake kinajulikana. Mungu ni fundi sana
 
Mleta mada na mazezeta wenzake wanaomtetea Yule ibilisi ni wapumbav mno
Napata hasira nikifikiria upuuz uliofanyika na madhila walioyapata watu toka Kwa Yule ibilisi mwendawazimu
Mbona wwe hukuyapata hayo madhila waliofanyiwa watu!!?? Au wwe siyo Mtu!!??
 
Watu wanaambiwa wasiende Dar kama hawajaoga wala kunyoosha nguo ! Damn hiyo kauli anatoa kiongozi kabisa kwenye mkutano na wanahabari unajiuliza issue za msingi kujadiliwa zimeisha?
Ni kweli,kwa Nini na nyie mnapenda sana kuja Dar bila kuoga au kupiga mswaki!!?? Kama hampendi usafi bora mbaki huko huko Bush kwenu na msije Dar!!!
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Hakuna Cha unknown Afrika,usitishe watu jombaa,Head of state,ni mtu tu Wala sio Mungu,kama unafikiri bongo na maloloso yake ya Uraisi,idara za usalama wa Taifa ni mambo yenye upekee,basi una tatizo la afya ya akili.
Huo upekee wa hizo idara ulikuwa wapi wakati skandali za Richmond,meremeta,escrow,na sasa Tilioni 360!!kanyaboya!
Wacha kijana afukue madudu yote waliofanya shetani Jiwe na kikundi chake Cha kijambazi.
Nchi hii ina mfumo mbaya sana wa utawala,ccm hawajuhi nchi hii inaenda mbele,au inarudi nyuma,ni kikundi Cha wezi watupu,kila waziri anajifsnyia anavyotaka,wengine wanasafiri na chopa za kijeshi,
Raisi uwezo wake ni mdogo mno,low self esteem,akiona mtu ana mzidi,anamzima faster,waziri mkuu,makamu wote Hawa pumbu zimewasinyaa kabisa.
Tutayasema yote madudu,kama unapenda hii nchi,elezea kwanini serikali ilidanganya kuhusu tilioni 360,watu wakafungwa,wengine wakaponea chupu chupu kuuwawa!!
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Kabendera. Kila jina likija kichwani naona nywele nyingi hazijachanwa
 
Ni kweli,kwa Nini na nyie mnapenda sana kuja Dar bila kuoga au kupiga mswaki!!?? Kama hampendi usafi bora mbaki huko huko Bush kwenu na msije Dar!!!
Hiyo inamhusu nini kiongozi?

Kupiga mswaki au kuoga ni jambo la shurti au binafsi.?

Ni bora angewahamisha watu ila sio kuwapa amri.
 
Mwendazake aongezewe kuni zakutosha, hii tabia ya kutisha tisha watu ndo inajenga vizazi vya uoga
Wewe utakuja kuishia wapi? Ni aibu na woga wa kutisha kupambana na marehemu wakati alipokuwa hai hukuthubutu hata kidogo kutikisa mkia! Unajizolea laana! Mtu akifariki inabidi aachwe mikononi mwa Mungu ajuaye siri za moyo wa mtu kipindi anamchukua! Vinginevyo utapambana na hasira za Mungu kwa kushughulika na yule ambaye tayari ameshamtwaa!! Sina uhakika kama umeelewa, lakini nakuona unajitafutia laana kwa nguvu!!
 
Huyo ni shetani sio Mungu tunayemfahamu sisi.

Mungu tunayemfahamu atawaondoa hawa wahuni waliopo sasa wanaopora rasilimali za Taifa hili bila aibu.

Muda unakuja na wala sio mbali.
Labda MUNGU aliyejifia chato.
Ombeni tuone kama MUNGU wenu anasikia wakati ni mfuu
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Wewe TumainiEl ni TAKATAKA tu wala usimtishe Erick Kabendera. Enzi zenu za kutishia watu kwenye mitandao na kuwateka kwa kutumia Noah zilizikwa na mungu wenu Magufuli tarehe 17/ 03/ 21. Zile nyakati za Giza hazitarudi tena Tanzania.

Narudia tena, USIMTISHE ERICK
 
Back
Top Bottom