Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Hili Taifa haliwezi kupata kiwanda Wala maendeleo ya Maana ...Kama aina ya think tanks za Taifa mtoa mada yupo ...Basi bora niendelee kulimia mihogo yangu tu watoto wapate kula ....

Wazee wa kazi mnashughulika na vitu vidogo vidogo Sana badala mzame huko ng'ambo mtuibie tecknolojia mpo bize na akina Kabendera ..

Pathetic pit;!!
Kina kabendera nao waache kuwachokoza wazee wa kazi, ili wapate nafasi kutuibia tecnolojia huko nje
 
MUNGU ndiye aliyeamua MAGUFULI imetosha....usinichukie mim mchukie MUNGU in case...
Kabudu kakiri walibambika deni acacia, TRA ya magufuli ilibambika madeni lukuki.
Uchumi wa kimachinga ndio akili za maguful
Kuuwa kuteka
Kutisha legendary wa CCM yuko wapi Ali happi kamanda wa magufuli?

Mwombeni na nyie mungu wenu mfu wa chattle labda atawasikia
Hakuna cha ajabu Mungu kumuua Magufuli. Wewe utauwa na Shetani?
Suala la Kabudi kusema ilikuwa mbinu ya mazungumzo ni KICHAA pekee ataanza kuponda. Sasa mazungumzo si yalifanyika na Acacia haipo na makubaliano mapya yamefanyika?The Fact kwamba mbinu ilifanikiwa inatosha.

As for Samia, mie sijakataa yeye kuwa Rais. Nakuongelea wewe unayeshabikia vitu obvious utafikiri ni vipya. Magufuli alitwaliwa na Mungu just like anybody. Wewe mwenyewe ni marehemu mtarajiwa utatwaliwa na Mungu.

Magufuli kafanya aliyoyafanya, sasa hayupo, wewe bado ni maskini wa fikra na mali, Samia wako ndo huyo msubiri atakujaza mapesa na kukuletea mserereko. Magufuli kafanya yake makubwa ya kutosha, kwa kasi, kwa maumivu, kama ulitaka tofauti haikutokea na kwa taarifa yako haitakaa itokee tena.

Wewe jidanganye mara sijui Mungu kaingilia kati wakati huo wewe maskini mmoja tu mawazo zero mali zero. Magufuli mumchukie na kumuita majina yote lakini kama ni kuharibu malisho ya watu aliharibu na tumefurahi sana alivyofanya hivyo na hamtakuja kuyapata tena. Tutahakikisha hilo. Magufuli hayupo lakini mawazo yake yanaishi na tutayatumia sana. Meanwhile wewe chekelea hayupo wakati huo wewe mwenyewe bado ni mlalahoi mmoja tu huna mbele wala nyuma.
 
Kikubwa tu ni Kuwa "hata ujifanye mafia, sijui either Head of company, state,Kingdom etc bado mwisho wa siku ni chakula cha funza. Hii dunia Jiimbie wimbo wa ukuu wa Hekima, muumini wa Haki, mpenda kupatanisha watu,mpenda kuunganisha watu nk nk.Hivi ndivo vitakua stori njema kwa Vizazi na vizazi vyako..Mleta mada unatisha watu,! Hutaki wahubiri haki? Wewe ni mtu wa ajabu sana !!
 
Hakuna cha ajabu Mungu kumuua Magufuli. Wewe utauwa na Shetani?
Suala la Kabudi kusema ilikuwa mbinu ya mazungumzo ni KICHAA pekee ataanza kuponda. Sasa mazungumzo si yalifanyika na Acacia haipo na makubaliano mapya yamefanyika?The Fact kwamba mbinu ilifanikiwa inatosha.

As for Samia, mie sijakataa yeye kuwa Rais. Nakuongelea wewe unayeshabikia vitu obvious utafikiri ni vipya. Magufuli alitwaliwa na Mungu just like anybody. Wewe mwenyewe ni marehemu mtarajiwa utatwaliwa na Mungu.

Magufuli kafanya aliyoyafanya, sasa hayupo, wewe bado ni maskini wa fikra na mali, Samia wako ndo huyo msubiri atakujaza mapesa na kukuletea mserereko. Magufuli kafanya yake makubwa ya kutosha, kwa kasi, kwa maumivu, kama ulitaka tofauti haikutokea na kwa taarifa yako haitakaa itokee tena.

Wewe jidanganye mara sijui Mungu kaingilia kati wakati huo wewe maskini mmoja tu mawazo zero mali zero. Magufuli mumchukie na kumuita majina yote lakini kama ni kuharibu malisho ya watu aliharibu na tumefurahi sana alivyofanya hivyo na hamtakuja kuyapata tena. Tutahakikisha hilo. Magufuli hayupo lakini mawazo yake yanaishi na tutayatumia sana. Meanwhile wewe chekelea hayupo wakati huo wewe mwenyewe bado ni mlalahoi mmoja tu huna mbele wala nyuma.
Wewe, kabudu magu akili hamtofautiani
Kodi inachajiwa kwa mujibu wa sheria zilizotungwa na bunge.
Hamna Kodi ya hisia
Kodi inachajiwa kutoka kwa a) ajira b) uwekezaji c) biashara.
Hamna Kodi nje ya hayo matatu, hamna Kodi mbinu.
Ndiyo magu kafanya kwa speed mambo mengi kama kuuwa, kuleta udini, ukabila na wizi wa 1.5 trilioni ndani ya muda mfupi.
The man is dead, he will never walk again on the surface of this Tanzania.....
to the hell...he is just a rotten satanic icon
 
Chonde chonde msitoe uhai wa mtu kisa heshima za vyeo vya kidunia.
Hao wanao watumeni na wao hawataishi duniani milele.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Binamu yangu alikuwa anafuatilia mjadala huu ulipoanzishwa. Wakati tunajadiliana, akaniambia anamfahamu Kabendera kwa jina jingine na kuwa walikuwa in-take moja commando course Ngerengere. Kabla ya kumaliza, akatoweka ghafla na hakumsikia tena kwa miaka mingi mpaka alipomuona kwenye TV akijiita Erick kabendera. Aliniambia aliwahi kupigwa risasi kwenye goti akajifanyia operesheni mwenyewe porini kabla msaada haujafika. Akaniambia pia dama alikuwa na shabaha sana na alikuwa anapigana ngumi za kufa Mtu. Kwahiyo nyie wauaji wa serikali mtapambana na muuaji mwenzenu. Yetu macho.
 
Makonda Katibu mwenezi... Haya
Kumbe ni katibu wa NEC itikadi na uenezi tu? Nikajua labda ni Katibu mkuu.

Makonda anaongoza idara ndani ya chama ila Chongolo anaongoza chama sio idara
 
Mwendazake atabeba msalaba wake hata baada ya kuwa kabulini,hakuna cha head of state Wala such upuuzi..

Hasamehewi Duniani na huko kaburini.,naona unajaribu kumtafutia huruma mhalifu kwa kisingizio cha deseased head of state..

Asante Sana Kabendera kwa kutufichulia ya sirini maana wewe pia ni mhanga wa Madhila ya Mwendazake..
Wewe mwenye kazi ya kuhukumu na kusamehe.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state

akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
I advise 😌
 
Correction...He won 2 terms ...he served fully the first term...and he passed on on his second... unless I am getting the timing all wrong.
Correction!! He won one term and stole (rigged) another term which he served for 120 days. Our Almighty God couldn't spare his satanic deeds
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Kuna aliempoteza rafiki yake ambae ni Zito na kuna ambae baada ya kumshuhulikia aliishia kupoteza maisha yake yeye mwenyewe. Unajifunza nini?
 
Back
Top Bottom