Exactly, sasa wanawahi nini? Wanawapa msemo mahasimu wao, waseme kitabu chenyewe uongo mtupu, which is unfair to them kwa sababu wamefanya kazi kubwa ya kuandika mengi ya maana, hata ukiondoa hayo yenye controversy yote.Kibanda na proofreaders wengine huenda walifanya 'skimming' tu walipokuwa wanapitia Ili kuwahi muda.
Kuna watu wanajifunza historia watajifunza kuwa Sokoine kafariki 1983, na ukiweka huo mwaka kwenye timeline ya mambo mengine italeta confusion sana. Yani timeline haitakaa sawa mtu asiyejua hili kosa atapata matatizo kuunganisha vitu.Any relevance or effect ya hayo kwenye content yote?
Kulekebishwa❌️nafasi ya kulekebishwa umeambiwa ipo ..SHIDA wapi
Errors and omissions excepted" (E&OE) is a legal disclaimer that indicates that a document may contain errors or omissions, and that the content or validity of the information may change without notice.Mkuu,
Mimi sitaki controversies, conspiracy theories, mind bending politics.
Mimi nataka muandishi apatie facts tu.
Kama Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alifariki April 12 1984, aandike April 12 1984.
Muandishi akiandika kuwa Sokoine alifariki April 12 1983, akarudia mara mbili kwamba Sokoine alifariki 1983, kabla sijafika huko kwenye mambo ya utata naona kuna tatizo la basic fact checking.
Vya dini vipo vipo3 pia jumla saba.That says a lot
Nakupa nyingine tena: Akiwa Waziri wa ujenzi amewahi kumbebesha Janet kichwani makarai ya mchanga usiku kucha. Ilitokea hivyo kwa kuwa waliopewa kazi ya kuleta mchanga nyumbani walimwaga mahali ambapo sipo alipotaka Magufuli. Huyo ni binadamu au kichaa?Huu ni uongo uliozidi hata kama humpendi jiwe usimsingizie haya yote.
Kama yeye hajui hata tarehe ya kifo cha Sokoine basi hata habari ya pajama inaweza kuwa na ukakasiLeo Clubhouse Watanganyika House nimemsikia Absalom Kibanda akiomba msamaha kuwa alipewa kitabu kukifanyia proofreading, lakini hakukipitia vizuri, aliharakisha kukipitia, kaona kina makosa fulani ambayo yatasahihishwa katika second edition.
Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani.
Replays zipo Watanganyika Clubhouse.
Wewe ndiye MPUMBAVU ila hujijuiAlichokiandika Kabendera ni UPUMBAVU MTUPU.
Na atakufa kifo kibaya na Cha fedheha na aibu anaokusudia imfike Magufuli aibu hiyo itamrudia kabendera mwenyewe.
Andika na wewe kitabu chako ukijibu hizo hoja za Kabendera!! Shuda iko wapi?? Kaguswa mungu wenu mliyekuwa mnamuabudu sasa mnang'aka na kutoa povu la kutisha.Poleni sana mnaohangaika na kitabu hiko ama nikiite toilet paper ya kuchambia.
Kile kitabu hakiitaji akili ya darasa la tatu ama la nne basi ya nukuu pekee kilivyo unaona wazi kabisa mwandishi alikuwa na chuki binafisi na jpm. Kusema kwamba jpm aliua ikulu kwa bastola kwanini asiwataje waliokuwepo na walioshuhudia kuondoa dukuduku hili?
Rais aende kwa makamu wake na pajama hii hata hukubahatiki kwenda memkwa lazima akili ikatae na iwapo akili yako itakubali basi elewa kumbe rais wetu wa nchi anaweza kuua na kutekwa hata na kibaka tu na hata makamu pia.
Jpm kumla mtoto wake hii nayo inakuja inakataa,Inakataa inakuja.Rais kama jpm alikuwa na nyege gani hadi za kumbaka mwane na kumuua?
Haya mengine ya bangi,ukichaa wala sio ya kuya jadiri ni mambo ya kawaida sana kenya pale wanakula mirungi kama wehu hadi rais wao wala sio kesi....Kuvunja dirisha huo ni utukutu tu wa kawaida kabisa.
Kitabu kitanunuliwa na wajinga wajinga tu.Kuna mambo asingeyaweka tungekinunua kwa wingi mno lakini kwa sasa kimejawa na chuki za nje nje.MAVI YA NYOKA MATUPU.
Ni ishara ya kuwa mengi kwenye hiko kitabu sio ya kweli na labda yameongezewa chumvi na kuyatoa kwenye uhalisia.
Iliyotangulia imetangulia tu, hata kama yakiwepo masahihisho haitatosha kuamini kama upo ukweli.
Jamii imekua na tabia yakujiandikia au kujiongelea tu mambo bila uthibitisho wala usahihi wowote.
Hii tabia itakua imeasisiwa na tabia za uchawa.Kwasababu sasa hivi chawa wakiamua kukupamba watakupamba uonekane kama Mungu na wenye chuki wakiamua kukusema watakubagaza kwa lolote bila ushahidi na kusiwe na hatua zozote zakuchukuliwa.
Hicho kitabu inaonyesha aliyekiandika na waliokipitia wote walikua na mtazamo au hisia mbaya na magufuli ndo maana hawakuona makosa yakiuandishi kama hayo.
Sasa hili lakuonyesha chuki kwa mtu au kumtukuza kulitakiwa kubaki kwenye mitandao, tukipeleka hadi kwenye vitabu hiyo ni hatari haijaliishi nia zinazowasukuma watu kufanya hayo.madhara yake nimakubwa uko mbele.
nawewe ndo umeona ushikie hapo....Kulekebishwa❌️
Kurekebishwa✅️
Kama vitu vidogo tu namna hii hatuwezi kuandika, hayo ya msingi tutaweza kweli?
Sanaaaaaaaa mnoHili limetokea ili kudhihirisha kua uongo ni mwingi humo.
Marehemu hawezi kujitetea ila spirit yake ni kali mnooo..!