Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

Kabendera, unakoseaje kwenye kitabu mwaka aliofariki Sokoine, tena mara mbili kwa mpigo?

Mkuu,

Wabongo wengi hawajali kitu kinaitwa attention to detail. Ndiyo maana wengine hatuelewani nao.

Yani suala la detail ambalo halina siasa kabisa, litaingizwa siasa.

Wanakosa kuelewa kuwa hapa kuna suala kubwa zaidi ya 1983 vs 1984.

Hapa kuna suala la editing, proofreading, accuracy.

Ukikosea mwaka aliofariki Sokoine, ukaandika 1983 badala ya 1984, mara mbili so we know it's not a typographical error, ukapeleka kitabu kwa publisher na kosa la mwaka, kuna mangapi mengine ambayo ni more nuanced hayako straightforward utakuwa umekosea?

Huna wahariri? Huna proofreaders?


I was giving Kabendera the benefit of the doubt ila kwa hili siwezi.
 
Unajibu hoja ukiwa umejitoa akili kwa vile ulimchukulia Magufuli kama mungu wako, kumbe ulikuwa unamuabudu muuaji na mbakaji.
Halafu lilikuwa linasimama madhabahuni kama mtu wa Mungu, kumbe linamdhihaki Mwenyezi Mungu na waumini. Eti "Msemakweli ni mpenzi wa Mungu" na bla blaah nyingine. Hovyo kabisa! 🙆
 
Hiko kitabu kina personal issues nyingi kuliko kuelezea yale ya muhimu kwa Taifa letu na mustakabali wake kwa miaka mingi ijayo.

Kama nia ni kutibu, basi maandishi lazima yawe balanced. Ukiandika kama unaandika udaku, ina maana credibility nzima ya kusudio lake inapotea.

Kabendera ana maumivu makubwa na amesahau kuacha nyuma emotions zake. Ameziweka zote ndani ya kitabu, na kama ulivyosema, kinakosa nguvu ya moja kwa moja ya watu kuamini kama anayosema ni kweli
 
Hiyo ndiyo maana ya uandishi. Hilo kosa kidogo halibatilishi kwamba Sokoine alikufa. Tubaki kwenye reli,

Tanzania ilitawaliwa na Kichaa kuanzia mwaka 2015 hadi 2021. Asante Mungu kwa kumtupa Magufuli jehanam

Uandishi unatakiwa kuwa na balance. Unadishi wa Kabendera umejaa maumivu na hisia kuliko uhalisia
 
Nilikushangaa sana mwanzo, Magufuli anasingiziwa mengi mno! Mwandishi anatatizo la kisaikolojia kama siyo issue ya afya ya akili! Yule mwandishi aliyemfanyia cross examination, akamwambia tuanze na chapter ya mwisho, juu ya kifo cha mama yake, kuonesha kitabu kimesukumwa na chuki, na trauma ya Kabendera kufungwa na umati wa mzazi wake akiwa jela!

Kuendesha familia tu mke na mtoto watu wanashindwa sembuse nchi. Mwandishi kasukumwa na apate hela, mauzo makubwa, na kupata hifadhi ulaya. Mwandishi, kama walivyo vijana wengi wanaolelewa na malezi ya mzazi mmoja hasa wa kike, wanakosa udhibiti wa nafsi, kila wazo linalokuja, twende hawachuji! Matokeo yake. Ukubwani wakikutana na mwanaume , ana act ule u manhood, hawampendi asilani.
Hii inahusiana vipi na hoja ya mleta uzi?
 
Hiko kitabu kina personal issues nyingi kuliko kuelezea yale ya muhimu kwa Taifa letu na mustakabali wake kwa miaka mingi ijayo.
Kama nia ni kutibu, basi maandishi lazima yawe balanced. Ukiandika kama unaandika udaku, ina maana credibility nzima ya kusudio lake inapotea.
Kabendera ana maumivu makubwa na amesahau kuacha nyuma emotions zake. Ameziweka zote ndani ya kitabu, na kama ulivyosema, kinakosa nguvu ya moja kwa moja ya watu kuamini kama anayosema ni kweli
Mkuu,

Umesoma kitabu?
 
Zinaweza kupigwa burn copy zote zilizokuwa printed na kikachapway upya, hii iliwahi mtikea Maundu katika kitabu chake cha "FUMBO", baada ya kugundua makosa alilazimika kuzikusanya copy zote toka kwa wanasambazaji na kiziwasha moto
 
Zinaweza kupigwa burn copy zote zilizokuwa printed na kikachapway upya,hii iliwahi mtikea Maundu katika kitabu chake cha "FUMBO",baada ya kugundua makosa alilazimika kuzikusanya copy zote toka kwa wanasambazaji na kiziwasha moto
Copy tushanunua tayari zipo kwa watu, atazikusanya vipi?
 
Back
Top Bottom