Jana Absalom Kibanda alikuwa anaomba radhi akisema alitumiwa kitabu kukifanyia proofreading akakaa nacho kwa muda mfupi hakufanya ilivyotakiwa, kitabu kina makosa, yatasahihishwa kwenye second edition.Nadhani screening haikufanyika kabla hajakitoa kitabu
Jamaa kwa chuki naona ameandika umbeya na utumbo mwingi usiomithilika. "Chuki huziba fahamu kadhaa zenye kuushikilia UKWELI" !Disclaimer: This thread will contain some spoilers from the book ""In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Naam,
Nasoma kitabu cha Erick Kabendera "In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Kwa wanaonijua, mimi si mtetezi wa Magufuli, kwa hiyo uzi huu si wa kumtetea Magufuli.
Uzi huu ni wa kuhakiki kitabu. Kitabu kina mambo mengi sana ambayo yana utata, episodes za pajama, Osama kukaa Zanzibar, Magufuli kuwa responsible kwa mtoto wake kuwa na HIV, Magufuli kumpiga risasi Ben Saanane Ikulu, just to name a few.
Mimi sitayazungumzia yote hayo, nitazungumzia jambo moja tu ambalo halina utata.
Watu wote wanaojua historia wanajua Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alifariki April 12 1984.
Imekuwa vipi Erick Kabendera kaandika tarehe hiyo kama April 12 1983? Tena nilivyoona mara moja tu, nikafikiri hiyo ni typographical error tu, nikakuta karudia mara mbili, katika kurasa mbili zinazofuatana (108 na 109 in the printed book). Inaonekana ndiyo tarehe anayoifahamu.
Kitabu hakikuwa na editor? Hakikuwa na proofreader?
Leo Clubhouse (Watanganyika House) nimemsikia Absalom Kibanda akiomba msamaha kuwa alipewa kitabu kukifanyia proofreading, lakini hakukipitia vizuri, aliharakisha kukipitia, kaona kina makosa fulani ambayo yatasahihishwa katika second edition.
Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani.
Replays zipo "Watanganyika" Clubhouse.
Na hao ndio wahusika wachache tu waliokuwa tayari kukiongelea kitabu.
Hili linanipa swali, kama kitabu kimekosea mpaka mwaka aliofariki Edward Moringe Sokoine, je, kitabu kimekuwa rushed, hakijafanyiwa proofreading vizuri?
As much as wengine hawakumpenda Magufuli, ku rush kitabu na kufanya makosa kunawapa wanaompenda Magufuli ammunition ya kudismiss mengi yaliyoandikwa kuwa ni ya uongo.
Kabendera muandishi mkubwa kashindwa ku fact check tarehe ya kifo cha Sokoine hata kwenye Google? Proofreaders wake na editor wameshindwa pia?
Kama hili lina mushkeli, hili lililo wazi ambalo halina utata kabisa, tunaachwa tukijiuliza, mangapi yenye utata mwingi yana mushkeli pia?
Kabendera has to get not only the general narrative right, but the detail too.
Hopefully the second edition will correct this and any other inaccuracy.
Ngoja tusubiri hilo toleo la piliJana Absalom Kibanda alikuwa anaomba radhi akisema alitumiwa kitabu kukifanyia proofreading akakaa nacho kwa muda mfupi hakufanya ilivyotakiwa, kitabu kina makosa, yatasahihishwa kwenye second edition.
Napenda kuweka balance kuwa kitabu kinaweza kuwa na makisa bila kuathiri validity ya the larger narrative.
Napenda waandishi wetu waandike kwa umakini zaidi ili hoja zao muhimu zisipuuzwe kisiasa kwa makosa kama haya.
Alienda kwa Samia nyumbani? Mumewe Samia alikuwa wapi akitaka kumbaka au ilo tukio lilitokea mazingira gani?Hakuna kitu kama hicho, kitabu Cha kabendeea kimejaa masimulizi ya kutungwa.
Et JPM akaenda Kwa Samia amevaa pajama😂😂😂
Yaan Rais MTU anaepangiwa kila tukio lake, aruhusiwe kutoka na kwenda Kwa Samia namna hiyo 😂😂😂😂
So hiyo mmeichomekea ili mpate msingi wankujadili Kifo Cha mtoto wa Hayati JPM
Kitabu cha sokoine kilichoandikwa kina mauza uza mengi tu na uwongo mwingiMkuu,
Kifo cha Sokoine ni jambo la ku check dakika moja tu Google wala huhitaji research kubwa.
Hiyo habari ya hawa hawakuwepo ndiyo ingewafanya wahakiki mambo kwa umakini zaidi. Maana hawakuwepo.
Mimi nilifikiri tunataka kuweka standard kubwa zaidi, kumbe tunatetea makosa kwa sababu yamefanywa na mtu fulani tunayempenda?
Sasa hapo si ndiyo tunajenga utamaduni wa kutokuwa na accountability unaopelekea tuishie kule kule kwa kina Magufuli tunaowasema?
Aise 😄Alienda kwa Samia nyumbani? Mumewe Samia alikuwa wapi akitaka kumbaka au ilo tukio lilitokea mazingira gani?
Lakini Sokoine alifariki 1984.Kitabu cha sokoine kilichoandikwa kina mauza uza mengi tu na uwongo mwingi
Ova
Watu wote wanaonusuruka kifo huwa na matatizo ya kisaikolojia baada ya hapo.Disclaimer: This thread will contain some spoilers from the book ""In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Naam,
Nasoma kitabu cha Erick Kabendera "In The Name Of The President: Memoirs Of A Jailed Journalist".
Kwa wanaonijua, mimi si mtetezi wa Magufuli, kwa hiyo uzi huu si wa kumtetea Magufuli.
Uzi huu ni wa kuhakiki kitabu. Kitabu kina mambo mengi sana ambayo yana utata, episodes za pajama, Osama kukaa Zanzibar, Magufuli kuwa responsible kwa mtoto wake kuwa na HIV, Magufuli kumpiga risasi Ben Saanane Ikulu, just to name a few.
Mimi sitayazungumzia yote hayo, nitazungumzia jambo moja tu ambalo halina utata.
Watu wote wanaojua historia wanajua Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine alifariki April 12 1984.
Imekuwa vipi Erick Kabendera kaandika tarehe hiyo kama April 12 1983? Tena nilivyoona mara moja tu, nikafikiri hiyo ni typographical error tu, nikakuta karudia mara mbili, katika kurasa mbili zinazofuatana (108 na 109 in the printed book). Inaonekana ndiyo tarehe anayoifahamu.
Kitabu hakikuwa na editor? Hakikuwa na proofreader?
Leo Clubhouse (Watanganyika House) nimemsikia Absalom Kibanda akiomba msamaha kuwa alipewa kitabu kukifanyia proofreading, lakini hakukipitia vizuri, aliharakisha kukipitia, kaona kina makosa fulani ambayo yatasahihishwa katika second edition.
Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani.
Replays zipo "Watanganyika" Clubhouse.
Na hao ndio wahusika wachache tu waliokuwa tayari kukiongelea kitabu.
Hili linanipa swali, kama kitabu kimekosea mpaka mwaka aliofariki Edward Moringe Sokoine, je, kitabu kimekuwa rushed, hakijafanyiwa proofreading vizuri?
As much as wengine hawakumpenda Magufuli, ku rush kitabu na kufanya makosa kunawapa wanaompenda Magufuli ammunition ya kudismiss mengi yaliyoandikwa kuwa ni ya uongo.
Kabendera muandishi mkubwa kashindwa ku fact check tarehe ya kifo cha Sokoine hata kwenye Google? Proofreaders wake na editor wameshindwa pia?
Kama hili lina mushkeli, hili lililo wazi ambalo halina utata kabisa, tunaachwa tukijiuliza, mangapi yenye utata mwingi yana mushkeli pia?
Kabendera has to get not only the general narrative right, but the detail too.
Hopefully the second edition will correct this and any other inaccuracy.
Zilizouzwa ni chache kuliko zilizosaliaCopy tushanunua tayari zipo kwa watu, atazikusanya vipi?
Sijaelewa nini kinakuchekesha.Aise 😄
Ova
Ulivyosema,maana unaenda kwa mtu mwenye mme na walinziSijaelewa nini kinakuchekesha.
Lakini kitabu chake kina uwongo mwingi...aliyeandika alikurupukaLakini Sokoine alifariki 1984.
Yani story yake inashindwa ku-make sense kabisa, sijui kwa nini alifikiri itaaminika.Ulivyosema,maana unaenda kwa mtu mwenye mme na walinzi
Sasa hapo sjui inakuwaje!
Mwandishi naona alihadisiwa ndivyo sivyo
Ova
Naunga mkono hoja, sometimes, even the greatest magicians runs out of tricks!, kwa level ya ubobezi wa EK, no proof reader would have doubted the dates!.Kabendera muandishi mkubwa kashindwa ku fact check tarehe ya kifo cha Sokoine hata kwenye Google? Proofreaders wake na editor wameshindwa pia?
Kabendera has to get not only the general narrative right, but the detail too.
Hopefully the second edition will correct this and any other inaccuracy.
Vyeti feki nini BroHiyo ndiyo maana ya uandishi. Hilo kosa kidogo halibatilishi kwamba Sokoine alikufa. Tubaki kwenye reli,
Tanzania ilitawaliwa na Kichaa kuanzia mwaka 2015 hadi 2021. Asante Mungu kwa kumtupa Magufuli jehanam