Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajibu hoja ukiwa umejitoa akili kwa vile ulimchukulia Magufuli kama mungu wako, kumbe ulikuwa unamuabudu muuaji na mbakaji.
Upo mkuu?Hili limetokea ili kudhihirisha kua uongo ni mwingi humo.
Marehemu hawezi kujitetea ila spirit yake ni kali mnooo..!
Kama EK ndie top notch wetu, unategemea nini kwa sisi akina kajamba nani?.They are supposed to be top notch journalists.
Nasikia na wewe umepewa tender ya ku proof hiki kitabu ukatuangusha mkuu, kweli?Kama EK ndie top notch wetu, unategemea nini kwa sisi akina kajamba nani?.
P
Eee! Sikutegemea hili swali kutoka kwakoUpo mkuu?
Hapana, narrative si lazima iwe hadithi ya kubuni, hata jambo la ukweli unavyolisimulia ni narrative."Nimemsikia pia Zitto Kabwe akisema kuwa kuna tatizo la timeline katika narrative ya tukio fulani"
Kwani hadithi za kubuni?
No sii kweli, mimi kizungu changu cha upe, nisingeweza.Nasikia na wewe umepewa tender ya ku proof hiki kitabu ukatuangusha mkuu, kweli?
Mme settle nini kama ulikuwa um snitch??No sii kweli, mimi kizungu changu cha upe, nisingeweza.
Ila baada ya mimi kusingiziwa kuwa nili m snitch EK, nikiwa UK, nilimtafuta, akaniambia ni kweli na alikuwa anapelekewa threads zangu za jf. We settled.
P
That's what's up. That's what matters.No sii kweli, mimi kizungu changu cha upe, nisingeweza.
Ila baada ya mimi kusingiziwa kuwa nili m snitch EK, nikiwa UK, nilimtafuta, akaniambia ni kweli na alikuwa anapelekewa threads zangu za jf. We settled.
P
Na mimi ni binadamu ila nakosa jinsi ya kukuanza tu 🤣Eee! Sikutegemea hili swali kutoka kwako
Hii kali na nusu🙌Na mimi ni binadamu ila nakosa jinsi ya kukuanza tu 🤣
Na vipi kuhusu kitabu cha Kabendera zile Error ambazo zimeonekana mpaka sasa siyo kali na nusu?Hii kali na nusu🙌
Sijui ukweli ni upi lakini mimi nampenda sana JPM kiasi kwamba hata mtu aseme baya gani mimi linaingia sikio la kushoto linatokea sikio la kuliaNa vipi kuhusu kitabu cha Kabendera zile Error ambazo zimeonekana mpaka sasa siyo kali na nusu?
Naelewa mkuu.Sijui ukweli ni upi lakini mimi nampenda sana JPM kiasi kwamba hata mtu aseme baya gani mimi linaingia sikio la kushoto linatokea sikio la kulia
. Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dolaMme settle nini kama ulikuwa um snitch??
Kama ya wazi tu hajui, je yaliyojificha???Mwaka wa Sokoine unajulikana publicly.
Ni rahisi kunyoosha mstari.
Hayo ya HIV hayajulikani publicly.
Si rahisi kunyoosha mstari.
Mkuu,Kama ya wazi tu hajui, je yaliyojificha???
Msiwe kama mnafikiria kwa kutumia kitu tofauti na kichwa
Hivi mtu 1+1 hajui, je 1637373838 mara 26373737387473 atajulia wapi
Hizi ni hadithi za abunuwasi