Kabila la kwanza hadi la mwisho nchini kwa ubora wa kiasili wa uzalishaji vyakula vyenye lishe nchini:

Kabila la kwanza hadi la mwisho nchini kwa ubora wa kiasili wa uzalishaji vyakula vyenye lishe nchini:

Hapa nilipo nipo njiani narudi kutokea Kilindi, sehemu inaitwa Kibirashi na Gombelo, kwakweli wasambaa ardhi yao ina rutuba safi na maji nimekunywa ya kisima ni kama Kilimanjaro water. Hakuna mbu, kwahiyo malaria sahau yani. Wapo vizuri sana Ukanda wa Handeni /Kilindi huko plus Lushoto.
 
Asante kwa uchambuzi wako maana lengo la kusifia sehemu ulizohitaji ndio sasa unatimiza kwa kivuli cha eti umetembea maeneo hayo
 
Mzee hakuna haja ya kuhofia hilo kwani ni kweli udongo wa Milima ya Uporoto nao una rutuba kwa kuwa ni wa Volcano. Hata hivyo content ya rutuba iliyomo uporoto haifikii ya Mlima Rungwe. Hata hivyo, sababu kubwa ya kuachwa na Wanyakyusa iko kwenye hali ya hewa. Angalia idadi ya miezi ambayo mnapata mvua zenye mm 60 kwa mwezi (chini ya kiwango hicho ni ukame). Mnapata mvua nyingi but inaisha mapema. Hata hivyo tatizo mingine kubwa ni baridi kubwa (centigrade 17) kuliko kiwango kinachovumiliwa na baadhi ya mazao kama migomba. Huko kwa Wanyakyusa wana sifa nyingi, cheki ile jedwali.
Hata hivyo inawezekana Mimi ndiye nimekosea kuchagua mji wa kuwawakilisha Wasafwa na nikiri nilisumbuka sana maana swali nilichagua Mbalizi, nikabadilisha nikachukua Iyula, baadaye ndiyo nikaamua iwe Uyole, so ni uamuzi ambao niliu-annalyse kwa muda sana. Kati ya Mbeya, Uyole, Mbalizi, ama Inyala ni wapi wanaivisha mazao ya aina nyingi hasa migomba?
Anyway kwa kuwa, bado haijakamilka moja kwa moja, nitarevise tena kuangalia baadhi ya vigezo kama nilivi-overlook.
Mporoto Igoma ndo kwa wasafwa haswa. Na kama ulivyosema hakuna mgomba kule na baridi ni kali hadi watoto wanawabebea mgongoni viblanketi badala ya vitenge.
 
Bila shaka utakuwa mwalimu wewe maana sio kwa mwandiko huo
 
Nimekuwa nikisikia watu wengi wakitaja makabila yaliyoko kwenye mwambao wa Ziwa ama bahari kuwa na akili sana lakini wamekuwa hawajiulizi hali ya hewa ya maeneo hayo yaliyoko kandokando ya Ziwa. Hata hivyo makabila yote ya mwambao wa Ziwa yanayotajwa kwa akili za darasani, haitokani na samaki pekee bali Hana hali nzuri ya hewa, halafu ndiyo yanaongezea ya kuwa na samaki. Angalia mvua yanayopata makabila ya kati kati na Kaskazini mwa Ziwa Victoria - Wahaya (2000), Wakerewe (mm 1500) na Wakara (1500), halafu tofautisha na makabila yaliyoko Kusini na Mashariki ya Ziwa Victoria - Wasukuma, Wajita, Waruri (Wakwaya), Wasuba wanaopata chini ya mm 1000, huku Wajaluo na Wazinza pekee ndio wanapata angalao mm 1100 kwa mwaka.
So uhakika na ubora wa chakula ndio kigezo cha kwanza kabla mboga (samaki ama nyama) yenye virutubisho ndiyo inafuatia. Fikiria Wakurya hakuna Ziwa, ama Wazanaki but najua unaelewa uwezo wao kwa Mkoa huo wa Mara.
Kwa wajita hakuna mvua ya kutosha. Wanalima mihogo na viazi vitamu. Sehemu kubwa mawe. Bila hao samaki hali ingekuwa mbaya. Miaka ya karibuni wilaya yao imekuwa ikiwa kwenye list za wasaidiwa chakula.
 
Utafiti mzuri. Kwa waliotembea Tanzania hii watakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa.
Nikupongeze kwa ubobezi na kuwa na ari ya kujibu maswali na nadharia kiutafiti. Miaka 10 si mchezo.
Nadhani kwa picha hiyo pamoja na kwa kuna jibu la swali lako, Jr unaweza ukatoa mapendekezo ya tutokeje sasa nyakati ambapo kuna mwingiliano na kuna ukweli sehemu nyingine wanakimbia wakati wengine wanatembea kimaendeleo?
 
Ahsante kwa utafiti. Hivi Wahaya waliwakosea nini baadhi ya wachangiaji. Mfano Mapuma Miyoga. Namwalika afike Bukoba aone Wahaya wanavyoishi na Kilimo chao cha mazao mbalimbali.

Mod piga ban watu wachangiaji aina ya Mapuma Miyoga.

TAFITI HII NI KAZI NZURI INAPASWA KUSAMBAZWA ILI ILETE HOJA ZA MSINGI KWENYE MIDAHALO KATI YA MAKUNDI MBALIMBALI.
 
Kuna ka ukweli 100% hapo. Nkicheki kwa Tanga hayo maeneo kweli haya hali ya hela nzuri sana na wanazalisha vyakula kwa wingi hadi leo. Lakini kwa sasa karibu maeneo yote yanapata vyakula bora na ya uhakika kutokana na kuimarika kwa miundombinu ya usafirishaji na teknolojia ndo maana na sisi wanaume wa Dar es Salaam tunakula SATO ya Mwanza na Mafenesi na machingwa ya leo leo ya Muheza Tanga.Pia viazi/viepe vyua Mbeya vinatufikia bila wasiwasi.
mkuu haugopi mapovu ya wanaume wa dar?
 
Umechanganya madawakibaohalafu swalilangu la msingihujajibu.

Unatumia kipimo gani kusema huyu ni kabila fulani?

Maana unaweza kusema Mwalimu Nyerere ni Mzanaki, kwa sababu Baba yake Chifu Burito ni Mzanaki,kumbe Chifu Burito wala si Baba yake Mwalimu Nyerere.

Mama Mgaya alikimbia kutokacourt ya Chifu Burito,akakimbilia kusini kuelekea Mwanza,hukoakakutana na Msukuma, akatunga mimba ya Mwalimu Nyerere, halafu baada ya muda,akarudi kwa Chief Burito.

Na Chifu Burito alivyokuwa na wake wengi hata hakujua. Na zaidimila zao hazihesabu mtoto kwa baba, zinahesabu mtoto kwa mama na mjomba.

Sasa wewe unapimaje kabila?

Unatumia DNA?
"Chifu Burito kwa kuwa alikuwa na wake wengi wala hakujua", lakini wewe ulijua yote hayo. Hongera sana.
Nadhani ungetengeneza thread ya peke yake.
 
"Chifu Burito kwa kuwa alikuwa na wake wengi wala hakujua", lakini wewe ulijua yote hayo. Hongera sana.
Nadhani ungetengeneza thread ya peke yake.
Tofauti moja ya wanyama wengine na watu ni wanyama kukosa uwezo wa kuelewa hypotheticals.

Weee ni mtu lakini ubongo wako uko kule kwa wanyama wengine ambao hawajaelewa hypotheticals.
 
Tofauti moja ya wanyama wengine na watu ni wanyama kukosa uwezo wa kuelewa hypotheticals.

Weee ni mtu lakini ubongo wako uko kule kwa wanyama wengine ambao hawajaelewa hypotheticals.
Na wewe baba yako ni nani? Ilikuwaje uliyeambiwa kuwa ni baba yako aka kukubali? Naye alikua na wake wengi? au alikua anatafuta mtoto hata wa kusingiziwa?
 
Hapa nilipo nipo njiani narudi kutokea Kilindi, sehemu inaitwa Kibirashi na Gombelo, kwakweli wasambaa ardhi yao ina rutuba safi na maji nimekunywa ya kisima ni kama Kilimanjaro water. Hakuna mbu, kwahiyo malaria sahau yani. Wapo vizuri sana Ukanda wa Handeni /Kilindi huko plus Lushoto.
Yap yap, natumai umesafiri salama. Nashukuru kwa feedback.
 
Asante kwa uchambuzi wako maana lengo la kusifia sehemu ulizohitaji ndio sasa unatimiza kwa kivuli cha eti umetembea maeneo hayo
Sijakuelewa, nimeyasifiaje ndugu? Mbona Zanzibar, Ileje, Nyasa, Mbinga, Kigoma na Kagera sijafika, suala la kusifia limetoka wapi ndugu? Ama wewe umeona kote nilikowahi kufika wameperform sana?
 
Kwa wajita hakuna mvua ya kutosha. Wanalima mihogo na viazi vitamu. Sehemu kubwa mawe. Bila hao samaki hali ingekuwa mbaya. Miaka ya karibuni wilaya yao imekuwa ikiwa kwenye list za wasaidiwa chakula.
Umeona? Nashukuru kwa ushahidi wako. Ni kama nilivyosema awali, baadhi ya makabila ya mashariki ya Ziwa Victoria kama Wajita, Waruri na Wasuba, wanapata mvua kidogo so uwezo wao kwa kiwango fulani ulisaidiwa na ulaji wa samaki tofauti na makabila yenye ukame eneo hilo hasa Waikizu.
 
Utafiti mzuri. Kwa waliotembea Tanzania hii watakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa.
Nikupongeze kwa ubobezi na kuwa na ari ya kujibu maswali na nadharia kiutafiti. Miaka 10 si mchezo.
Nadhani kwa picha hiyo pamoja na kwa kuna jibu la swali lako, Jr unaweza ukatoa mapendekezo ya tutokeje sasa nyakati ambapo kuna mwingiliano na kuna ukweli sehemu nyingine wanakimbia wakati wengine wanatembea kimaendeleo?
Nashukuru sana kwa kuangalia mbele. Ushauri wangu sitautoa sasa Hivi kwa sasa, nilivyotoa bado ni nusu ya kazi yenyewe. Ninatakiwa nifanyie kwanza namna genetics zetu pia zimechangia kutufanya tuwe jinsi tulivyo. Nikifikia stage hiyo Mimi na ninyi kwa hakika utakuwa ni rahisi kutengeneza mfumo ambao ni unbiased katika uendeshaji wa nchi yetu kuanzia kwenye siasa hadi uchumi. Tuvute subira kidogo ili niifanyie kazi DNA zetu, though it is something more controversial kutokana na ukweli kwamba sometimes huwa binadamu tunaogopa kuface ukweli hasa unapokuwa iko negative kwetu.
 
Ahsante kwa utafiti. Hivi Wahaya waliwakosea nini baadhi ya wachangiaji. Mfano Mapuma Miyoga. Namwalika afike Bukoba aone Wahaya wanavyoishi na Kilimo chao cha mazao mbalimbali.

Mod piga ban watu wachangiaji aina ya Mapuma Miyoga.

TAFITI HII NI KAZI NZURI INAPASWA KUSAMBAZWA ILI ILETE HOJA ZA MSINGI KWENYE MIDAHALO KATI YA MAKUNDI MBALIMBALI.
Thenx man, it is upon us to change the society's old perspective on such pressing issues like this one.
 
Back
Top Bottom