Mzee hakuna haja ya kuhofia hilo kwani ni kweli udongo wa Milima ya Uporoto nao una rutuba kwa kuwa ni wa Volcano. Hata hivyo content ya rutuba iliyomo uporoto haifikii ya Mlima Rungwe. Hata hivyo, sababu kubwa ya kuachwa na Wanyakyusa iko kwenye hali ya hewa. Angalia idadi ya miezi ambayo mnapata mvua zenye mm 60 kwa mwezi (chini ya kiwango hicho ni ukame). Mnapata mvua nyingi but inaisha mapema. Hata hivyo tatizo mingine kubwa ni baridi kubwa (centigrade 17) kuliko kiwango kinachovumiliwa na baadhi ya mazao kama migomba. Huko kwa Wanyakyusa wana sifa nyingi, cheki ile jedwali.
Hata hivyo inawezekana Mimi ndiye nimekosea kuchagua mji wa kuwawakilisha Wasafwa na nikiri nilisumbuka sana maana swali nilichagua Mbalizi, nikabadilisha nikachukua Iyula, baadaye ndiyo nikaamua iwe Uyole, so ni uamuzi ambao niliu-annalyse kwa muda sana. Kati ya Mbeya, Uyole, Mbalizi, ama Inyala ni wapi wanaivisha mazao ya aina nyingi hasa migomba?
Anyway kwa kuwa, bado haijakamilka moja kwa moja, nitarevise tena kuangalia baadhi ya vigezo kama nilivi-overlook.