sos_10
Member
- Jun 23, 2024
- 7
- 21
Huwa najiuliza kabla Wakoloni kwa maana ya Wazungu na Waarabu kutuletea dini wakitumia wafanyabiashara, wamishenari na wapelelezi, (traders, missionaries and explorers), wazee wetu huku Afrika waliabudu katika dini gani? Je kwakuwa dini za kigeni hazikuwepo ina maana watu wote walioishi nyakati hizo walienda motoni kwa kuabudu miti, mizimu na wanyama. Je ipi ni dhambi machoni pa Mungu, kutokwenda kanisani na msikitini au kutenda mabaya!