Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
Hata Zanzibar ni marafiki tu, ndio maana kule Unguja wabara wananyanyasika na kudharaulika sana hasa wakiwa WakristoNi hasara zipi watakazopata Uingereza kwa kujiondoa UK?
Mojawapo ya hasara kubwa ni kukosa mshirika wa kweli. Zanzibar ni ndugu kabisa na Tanzania ila Kenya ni rafiki tu.