MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Inaonekana una hasira sana mkuu😉Still mwenge hauna kazi, tunaweza kufanya vyema zaidi bila mwenge. Mwenge umekuwa ukifanya kazi ya kuzindua matundu ya vyoo, huu ni upumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana una hasira sana mkuu😉Still mwenge hauna kazi, tunaweza kufanya vyema zaidi bila mwenge. Mwenge umekuwa ukifanya kazi ya kuzindua matundu ya vyoo, huu ni upumbavu.
Mapinduzi yaliyofanywa kwenye sekta zote huyaoni au unaleta ubishani tuu mkuuJIBU SWALI
KILIMPINDUA NANI? au kimeleta MAPINDUZI GANI?
Hujaulizwa historia ya chama
Bado hujaelewa neno muungano mkuu au tuishie hapa?ASP walilazimisha ili kuua chama chao na kuungana na TANU na kuunda chama kipya,neno mapinduzi sharti liwemo kwenye hicho chama kipya
Nilikua nakupa maana mkuu lakini ukitaka mapinduzi ghani iliuelewe nini maana ya chama cha mapinduziKwanini mwenge usikae tu makumbusho hadi umalize hela?Na swali la kwanza hata mimi sijaelewa jibu lako
1. Chama cha Mapinduzi ni muungano wa TANU na ASP. TANU ilimpindua Mkoloni Muingereza kwa upande wa Tanganyika, na ASP ilimpindua Mkoloni Mwarabu kwa upande wa Zanzibar.Kabla hamjafuta Civics nataka nijulishwe,
1. Chama Cha Mapinduzi kilimpindua nani?
2. Tanganyika tunafaidikaje na muungano?
3. Mwenge wa uhuru uko kwa ajili ya maslahi na faida ya nani? Na una faida gani kwa taifa? Kwanini usizimwe na kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa?
CCM ilizaliwa mwaka 1977 haikupindua chochote. Tanu haikuwahi kumpindua mkoloni, kasome vizuri historia.Chama cha Mapinduzi ni muungano wa TANU na ASP. TANU ilimpindua Mkoloni Muingereza kwa upande wa Tanganyika, na ASP ilimpindua Mkoloni Mwarabu kwa upande wa Zanzibar
Hizi kweli ni faida? Yaani hata ni aibu kuzitaja kwa kujigamba mbele ye watu.Faida ya kwanza ya Muungano kwa Tanzania ni fahari ya uAfrika. Kwamba Tanzania ni mojawapo ya dola mbili pekee barani Afrika ambazo zimeundwa na waAfrika wenyewe. Nyingine ni Ethiopia. Dola zilizosalia Afrika zimeundwa na wakoloni.
Faida ya pili ni tumelinda na kudumisha udugu wa watu wa pande zote mbili za muungano.
Gharama za kuukimbiza mwenge ni kubwa sana ukilinganisha na thamani ya hiyo miradi. Rwanda hawana mwenge, wana maendeleo makubwa kuliko sisi. Chini ya CCM limezaliwa taifa la watu magoigoi, wavivu kufikiri, wasio na uwezo wa kuhoji, wapo tu kwa ajili ya kusifu na kuabudu ili wavimbishe matumbo yaoMwenge wa Uhuru unahamasisha maendeleo. Kila mahali unapopita huwa unaambatana na uzinduzi wa miradi ya maendeleo. Hivyo basi unakuwa ni chachu kwa viongozi na watendaji wa maeneo husika kujituma wawe na
Ukae na mijitu ya Chama Cha Mazezeta na usipatwe hasira? Na wewe utakuwa ni zezetaInaonekana una hasira sana mkuu😉
Wanajibu tusababu twa kijinga. Ukiwauliza Zambia wanapata hasara gani kwa kukosa muungano kama wetu wanakosa majibuWatakuita mchochezi wakati umeuliza mwaswali yenye logic
Haya unayoyasema unalinganisha na taifa gani kama benchmark? Ushakaa kijijini ukaona maisha yalivyo?Mapinduzi yaliyofanywa kwenye sekta zote huyaoni au unaleta ubishani tuu mkuu
Angazia sekta zote kijamii ,kiuchumi,kielimu,kisiasa,kiteknolojia na yote kwa yote na ndomaana miaka sitini na upuuzi bado kina tawala na kitaendelea kuwepo tuuh😂
Uraia ukifutwa Ili tukawe raia wa wapi au ndio kuuzwa kwenyewe?1: chama cha mapinduzi (CCM)tan ni chama cha ukombozi ndio muunganiko wa TANU kwa tanganyika na ASP kwa zanzibar
2:Tanganyika tunanufaika zaidi na muungano kiusaalma zaidi na nadhan ndolilikua lengo kuu la muasisi wa uo muungano kwa upande huu wa bara ukitoa madhumuni mengine
3: Mwenge =uhuru(9 december ) ,ni mojawapo ya vitu vinavopatikana kwenye nembo ya taifa hili ukitaka tuutoe mwenge maana yake tutoe na vitu vingine kwenye nembo ya taifa letu tukufu la TANZANIA
Alama zingine ni PEMBE ZA NDOVU,MWANAMKE NA MWANAUME,RANGI NYEUPE NA BULUU,RANGI NYEKUNDU,NGAO, ,MAJEMBE MAWILI pamoja na MKUKI.
NadhaniUraia ukifutwa Ili tukawe raia wa wapi au ndio kuuzwa kwenyewe?
Wewe ndo inatakiwa usome vizuri jibu nililoandika. Naona hujalielewa.CCM ilizaliwa mwaka 1977 haikupindua chochote. Tanu haikuwahi kumpindua mkoloni, kasome vizuri historia.
Kenya wanaweza wakatuiga sisi. Sio lazima sisi tuwaige wao. Na pili unadhani ni kwanini Kenya ikalazimika kuvamia Somalia, au unadhani ni kwanini wakakubali kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutengeneza soko moja kubwa zaidi huku wakipiga debe uhuru wa kutembea na uhuru wa kumiliki ardhi uwepo kwenye Jumuiya yote?Kenya inapata hasara gani kwa kuukosa muungano kama wetu? Hili swali la Kenya ni check and balance ya hizo unazoziita faida
Umejibu vizuri sana1: chama cha mapinduzi (CCM)tan ni chama cha ukombozi ndio muunganiko wa TANU kwa tanganyika na ASP kwa zanzibar
2:Tanganyika tunanufaika zaidi na muungano kiusaalma zaidi na nadhan ndolilikua lengo kuu la muasisi wa uo muungano kwa upande huu wa bara ukitoa madhumuni mengine
3: Mwenge =uhuru(9 december ) ,ni mojawapo ya vitu vinavopatikana kwenye nembo ya taifa hili ukitaka tuutoe mwenge maana yake tutoe na vitu vingine kwenye nembo ya taifa letu tukufu la TANZANIA
Alama zingine ni PEMBE ZA NDOVU,MWANAMKE NA MWANAUME,RANGI NYEUPE NA BULUU,RANGI NYEKUNDU,NGAO, ,MAJEMBE MAWILI pamoja na MKUKI.
Tunatakiwa tusijitie hatuoni wala hatusikii kisa ya kua na mitazamo flani ivi mkuuUmejibu vizuri sana