Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Ok tumekubaliana kwamba wote hawaamini Mungu, sasa hebu niambie hiyo tofauti unayoikusudia?
Kutokuamini Mungu sio kigezo cha kuhusianisha jamii mbili zenye utofauti

Mimi nimehusianisha muislam na mkristo kwakua wote hawa sio kwasababu wana amini Mungu tu bali wapo kwenye kundi moja la Theism.

Tukisema tujadili kwa concept hiyo utagundua kuwa hata mkristo haamini Mungu wako, kwa hiyo unaposema atheist haamini Mungu wako unakuwa huongelei upande wa pili wa mkristo ambaye naye pia hamuamini Mungu wako.

Atheism ni tofauti na Agnoticism na ndio wako separated hawako organized kwenye kundi moja

Sasa kusema hata sisi tusio amini mungu tunatofautiana ili u sound logically and reasonable ulipaswa uweke mfano wa watu wanaotoka kundi moja kama ambavyo mimi nimefanya
 
Kutokuamini Mungu sio kigezo cha kuhusianisha jamii mbili zenye utofauti

Mimi nimehusianisha muislam na mkristo kwakua wote hawa sio kwasababu wana amini Mungu tu bali wapo kwenye kundi moja la Theism.

Tukisema tujadili kwa concept hiyo utagundua kuwa hata mkristo haamini Mungu wako, kwa hiyo unaposema atheist haamini Mungu wako unakuwa huongelei upande wa pili wa mkristo ambaye naye pia hamuamini Mungu wako.

Atheism ni tofauti na Agnoticism na ndio wako separated hawako organized kwenye kundi moja

Sasa kusema hata sisi tusio amini mungu tunatofautiana ili u sound logically and reasonable ulipaswa uweke mfano wa watu wanaotoka kundi moja kama ambavyo mimi nimefanya
Haujajibu nilichokiuliza, nimesema kuwa hao wote hawaamini Mungu/miungu hilo halina utata. Sasa swali nililouliza ni je hizo tofauti zao ni zipi zieleze?
 
Haujajibu nilichokiuliza, nimesema kuwa hao wote hawaamini Mungu/miungu hilo halina utata. Sasa swali nililouliza ni je hizo tofauti zao ni zipi zieleze?
Atheism na Agnosticism haya ni maneno similar?
 
Watu wameshindwa hata kukubaliana sikukuu ni lini.

Kuna Wakristo wanasheherekea Christmas December 25, wengine January 7.

Idi ndiyo hiyo tumeona.

Mungu hawezi kujionesha wazi yupo watu wamjue.

Kwa sababu hayupo, habari za kuwepo kwake imetungwa na watu tu.
Unawezaje kuleta ushahidi kuwa hayupo,mbona wewe upo na tunaamini kuwa kuna kiranga mkataa Mungu yupo.
Ebu weka details zenye mashiko hayupo kivipi kaenda wapi,maana kama kitu hakipo basi kimehama nafasi kulingana na muda,na kwa hiyo kipo sehemu ingine.
Mfano iwe Leo asbh ulikufa,na mchana ukazikwa,maana yake ni kuwa tutasema haupo tena,si ndivyo?
Atatokea mtu atuulize kama kiranga hayupo yuko wapi,tutajibu amekufa tulishamzika ardhini.
Sasa ebu wewe tupe majibu unaposema Mungu hayupo yuko wapi.
Usije sema hajawahi kuwepo na wakati hapo ulipo utamtaja tena.
Ukishaweza kutaja kitu basi ujue kipo.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Unawezaje kuleta ushahidi kuwa hayupo,mbona wewe upo na tunaamini kuwa kuna kiranga mkataa Mungu yupo.
Ebu weka details zenye mashiko hayupo kivipi kaenda wapi,maana kama kitu hakipo basi kimehama nafasi kulingana na muda,na kwa hiyo kipo sehemu ingine.
Mfano iwe Leo asbh ulikufa,na mchana ukazikwa,maana yake ni kuwa tutasema haupo tena,si ndivyo?
Atatokea mtu atuulize kama kiranga hayupo yuko wapi,tutajibu amekufa tulishamzika ardhini.
Sasa ebu wewe tupe majibu unaposema Mungu hayupo yuko wapi.
Usije sema hajawahi kuwepo na wakati hapo ulipo utamtaja tena.
Ukishaweza kutaja kitu basi ujue kipo.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Sasa kama hapa unakuwa umeandika nini?

Kisichopo huwa kinakuwa wapi?

Kukiwa kuna sehemu kipo, kitakuwa hakipo?
 
Unawezaje kuleta ushahidi kuwa hayupo,mbona wewe upo na tunaamini kuwa kuna kiranga mkataa Mungu yupo.
Ebu weka details zenye mashiko hayupo kivipi kaenda wapi,maana kama kitu hakipo basi kimehama nafasi kulingana na muda,na kwa hiyo kipo sehemu ingine.
Mfano iwe Leo asbh ulikufa,na mchana ukazikwa,maana yake ni kuwa tutasema haupo tena,si ndivyo?
Atatokea mtu atuulize kama kiranga hayupo yuko wapi,tutajibu amekufa tulishamzika ardhini.
Sasa ebu wewe tupe majibu unaposema Mungu hayupo yuko wapi.
Usije sema hajawahi kuwepo na wakati hapo ulipo utamtaja tena.
Ukishaweza kutaja kitu basi ujue kipo.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ushahidi upi utakuridhisha?
 
Kwasababu tofauti zingine ulishaziweka mwenyewe
Hatuelewani, mimi hoja yangu ni kwamba wanatofautiani ndio ila wote hawaamini Mungu ila sasa wewe bado unazungumzia tofauti ambayo ndio sijajua ni tofauti ipi hiyo? Maana ni kama nimehusisha kundi la mpira wa miguu na siasa yani haviendani.
 
Ahaa that's funny

Kumbuka Hawa alivyo mshauri Adam Eden na kilichotokana na huo ushauri wake. Hivyo hivyo Sara akamshauri Ibrahim na kilichotokana na ushauri huu kikawa gugu "Ishamaili" lisiloweza kukaa nyumba moja na ngano "Isaka". Mungu mambo yake hutenda kwa dots flani hivi very amazing kama ukipata Neema yake kuzijua.
 
Hatuelewani, mimi hoja yangu ni kwamba wanatofautiani ndio ila wote hawaamini Mungu ila sasa wewe bado unazungumzia tofauti ambayo ndio sijajua ni tofauti ipi hiyo? Maana ni kama nimehusisha kundi la mpira wa miguu na siasa yani haviendani.
Ulisema nyani ngabu ni atheist?
 
Tukufu na takatifu ni maneno mawili tofauti.

Unachanganya mambo.
Mkuu ningependa unifahamishe tofauti ya takatifu na tukufu.

Kwa lengo la kujifunza tu hii lugha ya kiswahili.
 
Back
Top Bottom