Kabla haujakopa milioni nne kwaajili ya Ada ya mwanao, tuliosoma Cuba tuna ujumbe wako hapa

Kabla haujakopa milioni nne kwaajili ya Ada ya mwanao, tuliosoma Cuba tuna ujumbe wako hapa

Nyie mnaoponda elimu sijui mkiwa mnaandika Huwa mnazingatia vitu gani, Nani aliyekuambia ukisoma lazima UWE tajiri. Lengo la elimu siyo kutajirisha watu Bali inawezesha kupambana na mazingira Yetu.


Binafsi MTU yeyote nayeponda elimu namwoma kamatahira , MTU aliyechanganyikiwa na kukata tamaa. Dunia ya leo unaanzaje kuponda elimu Bora, exposure utapataje..

Kama fikra zako ni kuishi na kuinterract na watu wa tandale na mpanda Sawa, lakini Dunia ya leo ni kijiji huwezi ku undermine elimu Bora Hata kidogo

Angalia wakenya wanatupiga gape kubwa sana Kwa sababu elimu Yao ni Bora kuliko Sisi. Ivi mnaosema mtoto wako ajue na kuandika tu.

1. Madaktari watapatika wapi.
2. Engineers watapatikana wapi.
3. Wachumi na wanasheria watapatikana wapi.
4. IT guys tutawapata wapi.

Etc etc.

Kutokujali elimu ni kukubali utumwa. Tumetawaliwa Kwa sababu tu wajinga. Ulitakiwa ulete suluhisho nini kifanyike ili elimu yetu iwasaidie vijana lakini siyo kusema wajue kusoma na kuandika tu .

Kama MTU Hana uwezo wakusomesha shule nzuri atumie MDA WA ziada kuhakikisha watoto wake wanakuwa na uelewa mzuri WA mambo la sivyo tutaendelea kudanganyana eti watoto Bora wawe wafanya biashara.

Huwezi kuwa na matajiri wajinga wajinga wachuuzi afu nchi ikasonga mbele. Lazima uwe na matajiri wenye akili pevu wanaoweza kuwekeza Katika viwanda na technology

Najiuliza mara mbili mbili u great thinkers baadhi ya watu hapa ndani elimu Bora ni muhimu kuliko kitu chochote hapa Duniani acha kudanganya watu..

Shule Za kayumba za Sasa si sawa na Za miaka ya 80 utatesa watoto bure

THINK TWICE BRO

😀😀
Elimu Ipo hiyo inayomfanya mtoto kupambana na mazingira?
Kama Elimu unayoisemea ingekuwa kama unavyoielezea kusingekuwa na janga la Ajira hivi leo.
Lakini Lugha unayoielezea hiyo Elimu ni Lugha ya kibiashara. Tena biashara yenye Utapeli
 
Ww mbona umesoma? Acha upotoshaji kama wewe umesoma na kuishi bila kaz bac aiko ivyo kila mtu na bahat yake

Ohoo!
Tafuta aliyesoma akufafanulie nilichoandika, maana nimeeleza Kwa Lugha nyepesi inayoeleweka lakini utashangaa Watu na Elimu zao lakini hamuelewi kilichoandikwa.
Alafu ndio MTU atoe milioni tano kulipia Ada usome😂😂
 
Na uunga hoja mkono, ila na elimu ya serikali ni mbovu.

😂😂
Vichwa vya watu ndio vibovu Mkuu. Elimu ni ileile.
Hapa bongo kuna Watu wamesoma nje ya nchi kwani wamefanya kipi cha tofauti?
Vichwa vyetu ndio vibovu tuu
 
Nimekuelewa sn mkuu..

Mimi nafata njia hiyo muda mrefu sn.

Kwangu muhimu ni mtoto kusoma CHUO ,,
Kwamba lazima afike chuo,
hayo mengine ni urembo tu.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Japo kuna kipato ukiwa nacho mtoto anaoaswa soma shule kubwa
 
Watoto wayajue magumu pia.Sio soft soft sisi kusini apata na.elimu kwa vitendo marenda mirenda haipo.Tokea anasoma anakaa kwenye mraba na shule.Hapo akishinfwa kuajirika snajiajiri katika lilimo anaoa au kuolea poa ka isa
 
Za kuambiwa changanya na zako, Asante mtoa mada
 
Back
Top Bottom