Kabla haujakopa milioni nne kwaajili ya Ada ya mwanao, tuliosoma Cuba tuna ujumbe wako hapa


😀😀
Elimu Ipo hiyo inayomfanya mtoto kupambana na mazingira?
Kama Elimu unayoisemea ingekuwa kama unavyoielezea kusingekuwa na janga la Ajira hivi leo.
Lakini Lugha unayoielezea hiyo Elimu ni Lugha ya kibiashara. Tena biashara yenye Utapeli
 
Ww mbona umesoma? Acha upotoshaji kama wewe umesoma na kuishi bila kaz bac aiko ivyo kila mtu na bahat yake

Ohoo!
Tafuta aliyesoma akufafanulie nilichoandika, maana nimeeleza Kwa Lugha nyepesi inayoeleweka lakini utashangaa Watu na Elimu zao lakini hamuelewi kilichoandikwa.
Alafu ndio MTU atoe milioni tano kulipia Ada usome😂😂
 
Na uunga hoja mkono, ila na elimu ya serikali ni mbovu.

😂😂
Vichwa vya watu ndio vibovu Mkuu. Elimu ni ileile.
Hapa bongo kuna Watu wamesoma nje ya nchi kwani wamefanya kipi cha tofauti?
Vichwa vyetu ndio vibovu tuu
 
Nimekuelewa sn mkuu..

Mimi nafata njia hiyo muda mrefu sn.

Kwangu muhimu ni mtoto kusoma CHUO ,,
Kwamba lazima afike chuo,
hayo mengine ni urembo tu.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Japo kuna kipato ukiwa nacho mtoto anaoaswa soma shule kubwa
 
Watoto wayajue magumu pia.Sio soft soft sisi kusini apata na.elimu kwa vitendo marenda mirenda haipo.Tokea anasoma anakaa kwenye mraba na shule.Hapo akishinfwa kuajirika snajiajiri katika lilimo anaoa au kuolea poa ka isa
 
Za kuambiwa changanya na zako, Asante mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…