Kabla haujakopa milioni nne kwaajili ya Ada ya mwanao, tuliosoma Cuba tuna ujumbe wako hapa

Kabla haujakopa milioni nne kwaajili ya Ada ya mwanao, tuliosoma Cuba tuna ujumbe wako hapa

Mleta uzi alichomaanisha somesha mtoto kwenye shule ambazo una afford. Sio uingie madeni ya mamilioni kisa mtoto asome shule nzuri wakati shule za bei nafuu zipo za serikali.

Kama wewe una ni tajiri somesha shule za gharama ila kama unaunga unga maisha peleka goverment. Sio ujipe madeni kisa elimu

Unapoteza muda wako kumuelezea MTU kitu rahisi ambacho hata mwanafunzi wa shule ya msingi angeelewa
 
Kuna mtu Fulani

Kasomesha watoto wake kuanzia vidudu hadi form $ix private tena zile za gharama.

Chuo kawalipia ada na kuwapa Hela ya matumizi madogo hawakuomba bodi ya mkopo.

Baada kumaliza Chuo madogo wanatembea na bahasha kuomba kazi[emoji1]WTF

Sijawahi ielewa hii logic yaani wanasaga soli kama waliosoma st kayumba.

Dingi yupo Wala hastuki sio kwamba Hana uwezo kuwapusb wafanye biashara.

Ni vile mbinafsi tu. Au ni wale wazee wenye mentality za kizamani waaoamini kazi tu.

Na mbaya zaidi watoto wenyewe nao wanachagua aina za kazi.

Kuvunja vicious cycle ya umasikini ni kazi ngumu.

😂😂😂
Hapo angechukua mkopo awape mitaji Watoto wala asingepungukiwa
 
sasa huyo jamaa yako anasema kwenye ajira sio lazima kupata divisheni one.

Hata Mimi nimesoma kayumba na nilifaulu vizuri vi-Necta vya ndalichako

Pia mdogo wako kusoma kayumba na kufaulu Haina maana kwmba watu wasisomeshe watoto shule zinazotoa elimu bora

Ungekuwa umefaulu vizuri usingeshindwa Kupata ujumbe wa andiko fupi kama hili.
Kuna wenzako hata kidato cha nne hawajafika lakini wameelewa ninachozungumzia.

Na hapo ndipo inapodhihirisha kusoma sio kuwa na Akili 😂😂
Ku
 
Kweli bro.... Mimi nimeipata hiyo division 1.7 nimesoma shule ya gharama ila sioni muelekeo...[emoji23]

Wazazi wasomeshe kulingana na uwezo wao.....
 
Kweli bro.... Mimi nimeipata hiyo division 1.7 nimesoma shule ya gharama ila sioni muelekeo...[emoji23]

Wazazi wasomeshe kulingana na uwezo wao.....

Mzazi kauza viwanja, mashamba, na katoa damu za kutosha ili usome alafu mwisho wa siku haoni tofauti yoyote Baada ya wewe kumaliza chuo. Ukisikia kupeana laan ndio Huko sasa
 
Kwema Wakuu!

Leo sina mbambamba, short and clear sitaki kuchosha nguvu kazi ya taifa nisijeitwa mhujumu uchumi.

Siku hizi wala usijitese kusomesha Watoto wako. Somesha Kwa ku-relax kulingana na uwezo wako. Sio uingie madeni kisa kusomesha. Huo ni ushamba na matumizi Mabaya ya Pesa na Akili.

Sisi wengine tumeshasoma,[emoji3][emoji3] tunajua MTU mwenye Elimu anakuwaje, anafursa gani na anachangamoto zipi. Sisi ndio unatakiwa utusikilize, hutaki Acha.

Usidanganywe na matangazo ya shule [emoji23][emoji23] ooh! Atapata divisheni one blah blah blah! Mlete mwanao, wekeza kwenye Elimu na blahblahblah zingine. Hivyo jinyime ili msomeshe mwanao, Ada milioni mbili Wakati uwezo wako ni laki tatu.
Ada milioni Tano Wakati uwezo wako milioni Moja. Alafu Kwa vile nawe ni hamnazo unajitutumua kama tukutuku!

Anayeandika hapa anahizo divisheni one, nimeshakaa na watu wenye hizo divisheni one. Hakuna maajabu yoyote ya divisheni one nje ya mfumo wa elimu.

Wakati unampeleka mtoto wako Kwa kujipinda haswa mpaka unashindwa kul vizuri elewa mambo haya;

1. Kusomesha Kwa kujipinda ilikuwa biashara inayolipa zamani na sio sasa.
Zamani mtoto uliyemsomesha akimaliza anapata kazi, Pesa zote zinarudi, lakini usithubutu kujimaliza kisa Elimu sasa hivi utalia kama mbuzi mee! Huku ukiuza karanga.
Kusomesha sasa hivihakulipi. Usijiumize.
Kama huna pesa peleka mtoto shule za serikali. Mbona Sisi tumesoma hizo shule na tumefaulu Kwa Daraja la Kwanza tuu.
Usijitesewal kujipa stress kama mpumbavu.

2. Elimu inayotolewa haiendani na Pesa utakayoitoa.
Unajikakamua wee kupeleka Watoto shule kubwa ukitegemea utaona mabadiliko ya kitabia na Kiakili Kwa Watoto. Lakini mitoto inarudi haina inachojua, imezoea kukariri tuu. Ukiipa maswali ya kutafakari haina uwezo wa kuchambua mambo.
Mbaya zaidi inashindwana wale wanaosomea shule za Bure.

Elewa kuwa Akili ya mtoto ndio kitu kikubwa kuliko kile anachokifuata shuleni.

3. Mtoto hataajiriwa kisa kapata division one au two. Bali ataajiriwa ikiwa anacheti hata kama nichakuunga unga factors zingine zikizingatiwa.
Hiyo milioni tano unayomlipia Kwa kujipinda nibora uitumie kujichanga na kutafuta connection ili mtoto akimaliza apate kazi, au utumie hizo Pesa kumuwekea Akiba akimaliza shule umpe mtaji afanye biashara.

Sasa unatumia mapesa meeengi alafu akimaliza shule unamtelekeza,[emoji23][emoji23] endelea kutoa Pesa mpaka apate kazi.au lengo lako lilikuwa asome tuu iliiwe nini? Lengo ni ili apate taaluma Fulani kisha afanye kazi.

Sasa mzazi unatoa mahela meengi kusomesha ili baadaye umlaumu mtoto hapati kazi. Kama lengo lilikuwa nikazi mpe kazi.

4. Waliosoma siku hizi kuburuzwa na wasiosoma ni kitu cha kàwaida.
Unasomesha mtoto Kwa gharama kubwa ukijtesa ili baadaye aje aajiriwe na mhindi ambaye hajasoma kabisa, au ili aongozwe na mbunge au diwani ambaye kaishia darasa la Saba.

Hayo mapesa uliyopoteza Kwa kujibana na kujitesa(zingatia Sana Hii kauli) ni Bora ungenunua zako nguo ukavaa au Kula bata.

Wewe unasomesha mtoto ambaye anafikiri akiongea kingereza ndio ataonekana Msomi bado uone hapo uliweka Pesa. Hapo umepoteza na kujitesa Bure tuu!

5. Unasomesha Kwa kujitesa ili mitoto yako baadaye ije Ione Mila na desturi zenu ni Mavimavi.
Hapo watachanganya ni kingereza utadhani wanaakili kumbe ni matope.

Kumbe nilisema sina mengi. Mniwie Radhi.
Zingatia, kama unauwezo wa kusomesha shule za gharama someshe kulingana na kipato chako. Lakini kamwe usithubutu kujitesa kisa hizi Elimu za kikoloni.
Sisi ndio tumesoma tunakuambia,
Sisi ndio tulipata ufaulu wa Daraja la juu ambao unataka mtoto wako aupate ndio tunakuambia. Sasa kuwa mbishi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sidhani kama kuna mzazi anapeleka mtoto shule ya private ili apate division one, ingekua hivyo basi watoto wanaotoka private wote wangekimbilia shule za serikali maana huwa wana ufaulu mzuri na bado wanaendelea huko huko private hata kama wamepangiwa shule za serikali

Kuna mambo machache
Sio kila mzazi anapenda mtoto wake akahangaike na huduma duni, mazingira mabovu, waalimu wenye stress ambapo haya yote utayapata kayumba

Wengine wanapeleka watoto private ili atlist kuondoa usumbufu, kumpa mtoto exposure, kumfanya mtoto asome kwenye mazingira rafiki na pia kupata elimu bora ambayo hata bila division one bado maisha yataendelea na wengi huwa wanapata madaraja mazuri na wanakua na uelewa wa mambo mengi tofauti hawa kayumbaz

Mwisho, tunapelek watoto shule ili wapate maarifa na sio division one, kila mzazi ana malengo na ana ndoto kwa mtoto wake, haijalishi atatumia kiasi gani kutimiza malengo aliyonayo kwa mtoto wake kwa hiyo sio visuri kuwapangia watu mkuu, waache, mtu mpaka anaitwa mzazi maana yake yeye anajua kilicho bora kwa mtoto wake kuliko wewe

Ukisema kusomesha shule ya milioni nne ni stress kwako, kuna wanaosomesha kwa milioni 60 na sio stress kwao, kwa hiyo tukae kwa kutulia tu, kila mtu afanye kilicho ndani ya uwezo wake unless kamq kuna mtu amekulaamikia kwamba adq imemshindq, unaweza ukamshauri private kwamba aachane na mikopo, ila kama hajakulalamikia mwache atimize wajibu wake kwa mtoto wake wewe endelea huko panapokufaa
 
Mkuu si umeona effect ya elimu yetu ya kukariri, jamaa hata contents za mtoa mada hajaelewa ,Kisha anaenda kufanya direct confrontation na mtoa mada ,mkuu Kwa harakaharaka unapata Nini na msingi wa elimu yetu?,je mtu huyu anaweza kujireason kwenye changamoto ngumu?,hii ni cancer Kwa taifa
Sijakusoma vyedi mkuu ni kama hukua umelenga kuni quote mimi kwenye hii reply yako chief..sijaielewa sana
 
Huko Ulaya labda ni ili akimaliza atokomee hukohuko afanye kazi na kutafuta Pesa HUKOHUKO.
Lakini wapo wamesoma Ulaya kuanzia SEKONDARI mpaka chuo na tupo NAO hapa mjini na Hawana maajabu
Hayo ndio malengo yangu akishapat urai tu basi he will be free to move and ni guarantee ya maisha Bora
 
Nitafutie aliyesoma international school alafu nikutafutie aliyesoma Kayumba alafu tuwalete sehemu moja uone kuwa kusoma shule kubwa haimaanishi uta- achieve Sana tofauti na waliosoma Kayumba.

Kinachowagharimu wakayumba ni mazingira kuanzia ya nyumba mpaka shuleni.
Sisi wengine tumesoma Kayumba lakini tupo vizuri
Dogo kuna vitu vingi hujui, kaa kimya tu, ishia hapo hapo unahisi unajua.
 
Nitafutie aliyesoma international school alafu nikutafutie aliyesoma Kayumba alafu tuwalete sehemu moja uone kuwa kusoma shule kubwa haimaanishi uta- achieve Sana tofauti na waliosoma Kayumba.

Kinachowagharimu wakayumba ni mazingira kuanzia ya nyumba mpaka shuleni.
Sisi wengine tumesoma Kayumba lakini tupo vizuri
Mwanangu vitoto vya International vinajua kuunga hoja mpaka unakaa chini!
 
Kwema Wakuu!

Leo sina mbambamba, short and clear sitaki kuchosha nguvu kazi ya taifa nisijeitwa mhujumu uchumi.

Siku hizi wala usijitese kusomesha Watoto wako. Somesha Kwa ku-relax kulingana na uwezo wako. Sio uingie madeni kisa kusomesha. Huo ni ushamba na matumizi Mabaya ya Pesa na Akili.

Sisi wengine tumeshasoma,😀😀 tunajua MTU mwenye Elimu anakuwaje, anafursa gani na anachangamoto zipi. Sisi ndio unatakiwa utusikilize, hutaki Acha.

Usidanganywe na matangazo ya shule 😂😂 ooh! Atapata divisheni one blah blah blah! Mlete mwanao, wekeza kwenye Elimu na blahblahblah zingine. Hivyo jinyime ili msomeshe mwanao, Ada milioni mbili Wakati uwezo wako ni laki tatu.
Ada milioni Tano Wakati uwezo wako milioni Moja. Alafu Kwa vile nawe ni hamnazo unajitutumua kama tukutuku!

Anayeandika hapa anahizo divisheni one, nimeshakaa na watu wenye hizo divisheni one. Hakuna maajabu yoyote ya divisheni one nje ya mfumo wa elimu.

Wakati unampeleka mtoto wako Kwa kujipinda haswa mpaka unashindwa kul vizuri elewa mambo haya;

1. Kusomesha Kwa kujipinda ilikuwa biashara inayolipa zamani na sio sasa.
Zamani mtoto uliyemsomesha akimaliza anapata kazi, Pesa zote zinarudi, lakini usithubutu kujimaliza kisa Elimu sasa hivi utalia kama mbuzi mee! Huku ukiuza karanga.
Kusomesha sasa hivihakulipi. Usijiumize.
Kama huna pesa peleka mtoto shule za serikali. Mbona Sisi tumesoma hizo shule na tumefaulu Kwa Daraja la Kwanza tuu.
Usijitesewal kujipa stress kama mpumbavu.

2. Elimu inayotolewa haiendani na Pesa utakayoitoa.
Unajikakamua wee kupeleka Watoto shule kubwa ukitegemea utaona mabadiliko ya kitabia na Kiakili Kwa Watoto. Lakini mitoto inarudi haina inachojua, imezoea kukariri tuu. Ukiipa maswali ya kutafakari haina uwezo wa kuchambua mambo.
Mbaya zaidi inashindwana wale wanaosomea shule za Bure.

Elewa kuwa Akili ya mtoto ndio kitu kikubwa kuliko kile anachokifuata shuleni.

3. Mtoto hataajiriwa kisa kapata division one au two. Bali ataajiriwa ikiwa anacheti hata kama nichakuunga unga factors zingine zikizingatiwa.
Hiyo milioni tano unayomlipia Kwa kujipinda nibora uitumie kujichanga na kutafuta connection ili mtoto akimaliza apate kazi, au utumie hizo Pesa kumuwekea Akiba akimaliza shule umpe mtaji afanye biashara.

Sasa unatumia mapesa meeengi alafu akimaliza shule unamtelekeza,😂😂 endelea kutoa Pesa mpaka apate kazi.au lengo lako lilikuwa asome tuu iliiwe nini? Lengo ni ili apate taaluma Fulani kisha afanye kazi.

Sasa mzazi unatoa mahela meengi kusomesha ili baadaye umlaumu mtoto hapati kazi. Kama lengo lilikuwa nikazi mpe kazi.

4. Waliosoma siku hizi kuburuzwa na wasiosoma ni kitu cha kàwaida.
Unasomesha mtoto Kwa gharama kubwa ukijtesa ili baadaye aje aajiriwe na mhindi ambaye hajasoma kabisa, au ili aongozwe na mbunge au diwani ambaye kaishia darasa la Saba.

Hayo mapesa uliyopoteza Kwa kujibana na kujitesa(zingatia Sana Hii kauli) ni Bora ungenunua zako nguo ukavaa au Kula bata.

Wewe unasomesha mtoto ambaye anafikiri akiongea kingereza ndio ataonekana Msomi bado uone hapo uliweka Pesa. Hapo umepoteza na kujitesa Bure tuu!

5. Unasomesha Kwa kujitesa ili mitoto yako baadaye ije Ione Mila na desturi zenu ni Mavimavi.
Hapo watachanganya ni kingereza utadhani wanaakili kumbe ni matope.

Kumbe nilisema sina mengi. Mniwie Radhi.
Zingatia, kama unauwezo wa kusomesha shule za gharama someshe kulingana na kipato chako. Lakini kamwe usithubutu kujitesa kisa hizi Elimu za kikoloni.
Sisi ndio tumesoma tunakuambia,
Sisi ndio tulipata ufaulu wa Daraja la juu ambao unataka mtoto wako aupate ndio tunakuambia. Sasa kuwa mbishi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kama unaona Elimu Gharama basi jaribu UjingA @ Banza Stone
 
Back
Top Bottom