Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
Shule za kayumba zinatesa jamani
Hasa zikiwa mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule za kayumba zinatesa jamani
Mtoto anayesoma katika shule nzuri huwezi kumlinganisha na kayumba, isitoshe hakuna unafuu atika elimu, kila mtu ana quality zake, hapo ulipo kwa kusoma Kayumba kuna vitu kibao umemiss, Wazazi wanasomesha watoto mpaka nje ya nchi, haijalishi atalipwa mshahara shs ngapi akipata kazi, kinachomatter ni uwezo atakaopata akiwa shuleni.
Pia, uwezo wa mwanafunzi unategemea na akili aliyonayo, ukikutana na watoto waliosoma shule nzuri na wanapass kubwa na hawawezi kureason kama ulivyotarajia haina maana kuwa wote wako hivyo.
Kitu kikubwa unachoweza kumrithisha mtoto ni Elimu, kama unafikiri Elimu ni ghali basi jaribu ujinga.
Mm najipanga mwanangu degree ya kwanza akasome ulaya huko
Atengeneze maisha huko huko after graduation
Umeongea ukweli apa home kuna dogo anazingua sana anataka vitu vikubwa wakati uwezo wa atuna pia ata yeye kichwani hovyo kaka ake apa 3 yrs sina mishe za kueleweka na vyeti vipo ndani ananiona nimefeli maisha .Anataka akasome Redioology sijui
Ujuaji ujuaji ujuaji!!
Sio Kila muda utoe andiko
Nenda PWC na divishen 3 na mwenzio Ana one uone kaama utapata kazi...Kwanza hata hiyo PWC hujui nini.
Ujuaji ujuaji ujuaji!!
Sio Kila muda utoe andiko
Nenda PWC na divishen 3 na mwenzio Ana one uone kaama utapata kazi...Kwanza hata hiyo PWC hujui nini.
sasa huyo jamaa yako anasema kwenye ajira sio lazima kupata divisheni one.Mdogo wangu anafanya kazi PWC ameajiriwa mwaka jana.
Alikuwa best student udsm mwaka 2021.
Mdogo wangu amesoma shule za serikali kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu.
Anaitwa Irene msengi.
Amesoma kayumba ila bado udsm kaburuza chuo kizima
Huna akili.Wewe unajua maana ya DCL?
Haya ndio Matokeo ya MTU unapeleka shule Kwa gharama kubwa alafu kuandika abbreviations ya maneno ndio anaona ni Jambo kuubwa[emoji23][emoji23]
Wabongo oneni madhara ya kupeleka mitoto shule ili ikakariri
sasa huyo jamaa yako anasema kwenye ajira sio lazima kupata divisheni one.
Hata Mimi nimesoma kayumba na nilifaulu vizuri vi-Necta vya ndalichako
Pia mdogo wako kusoma kayumba na kufaulu Haina maana kwmba watu wasisomeshe watoto shule zinazotoa elimu bora
Mbona umeandika kwa jazba sana mkuu, kulikoni?Kwema Wakuu!
Leo sina mbambamba, short and clear sitaki kuchosha nguvu kazi ya taifa nisijeitwa mhujumu uchumi.
Siku hizi wala usijitese kusomesha Watoto wako. Somesha Kwa ku-relax kulingana na uwezo wako. Sio uingie madeni kisa kusomesha. Huo ni ushamba na matumizi Mabaya ya Pesa na Akili.
Sisi wengine tumeshasoma,😀😀 tunajua MTU mwenye Elimu anakuwaje, anafursa gani na anachangamoto zipi. Sisi ndio unatakiwa utusikilize, hutaki Acha.
Usidanganywe na matangazo ya shule 😂😂 ooh! Atapata divisheni one blah blah blah! Mlete mwanao, wekeza kwenye Elimu na blahblahblah zingine. Hivyo jinyime ili msomeshe mwanao, Ada milioni mbili Wakati uwezo wako ni laki tatu.
Ada milioni Tano Wakati uwezo wako milioni Moja. Alafu Kwa vile nawe ni hamnazo unajitutumua kama tukutuku!
Anayeandika hapa anahizo divisheni one, nimeshakaa na watu wenye hizo divisheni one. Hakuna maajabu yoyote ya divisheni one nje ya mfumo wa elimu.
Wakati unampeleka mtoto wako Kwa kujipinda haswa mpaka unashindwa kul vizuri elewa mambo haya;
1. Kusomesha Kwa kujipinda ilikuwa biashara inayolipa zamani na sio sasa.
Zamani mtoto uliyemsomesha akimaliza anapata kazi, Pesa zote zinarudi, lakini usithubutu kujimaliza kisa Elimu sasa hivi utalia kama mbuzi mee! Huku ukiuza karanga.
Kusomesha sasa hivihakulipi. Usijiumize.
Kama huna pesa peleka mtoto shule za serikali. Mbona Sisi tumesoma hizo shule na tumefaulu Kwa Daraja la Kwanza tuu.
Usijitesewal kujipa stress kama mpumbavu.
2. Elimu inayotolewa haiendani na Pesa utakayoitoa.
Unajikakamua wee kupeleka Watoto shule kubwa ukitegemea utaona mabadiliko ya kitabia na Kiakili Kwa Watoto. Lakini mitoto inarudi haina inachojua, imezoea kukariri tuu. Ukiipa maswali ya kutafakari haina uwezo wa kuchambua mambo.
Mbaya zaidi inashindwana wale wanaosomea shule za Bure.
Elewa kuwa Akili ya mtoto ndio kitu kikubwa kuliko kile anachokifuata shuleni.
3. Mtoto hataajiriwa kisa kapata division one au two. Bali ataajiriwa ikiwa anacheti hata kama nichakuunga unga factors zingine zikizingatiwa.
Hiyo milioni tano unayomlipia Kwa kujipinda nibora uitumie kujichanga na kutafuta connection ili mtoto akimaliza apate kazi, au utumie hizo Pesa kumuwekea Akiba akimaliza shule umpe mtaji afanye biashara.
Sasa unatumia mapesa meeengi alafu akimaliza shule unamtelekeza,😂😂 endelea kutoa Pesa mpaka apate kazi.au lengo lako lilikuwa asome tuu iliiwe nini? Lengo ni ili apate taaluma Fulani kisha afanye kazi.
Sasa mzazi unatoa mahela meengi kusomesha ili baadaye umlaumu mtoto hapati kazi. Kama lengo lilikuwa nikazi mpe kazi.
4. Waliosoma siku hizi kuburuzwa na wasiosoma ni kitu cha kàwaida.
Unasomesha mtoto Kwa gharama kubwa ukijtesa ili baadaye aje aajiriwe na mhindi ambaye hajasoma kabisa, au ili aongozwe na mbunge au diwani ambaye kaishia darasa la Saba.
Hayo mapesa uliyopoteza Kwa kujibana na kujitesa(zingatia Sana Hii kauli) ni Bora ungenunua zako nguo ukavaa au Kula bata.
Wewe unasomesha mtoto ambaye anafikiri akiongea kingereza ndio ataonekana Msomi bado uone hapo uliweka Pesa. Hapo umepoteza na kujitesa Bure tuu!
5. Unasomesha Kwa kujitesa ili mitoto yako baadaye ije Ione Mila na desturi zenu ni Mavimavi.
Hapo watachanganya ni kingereza utadhani wanaakili kumbe ni matope.
Kumbe nilisema sina mengi. Mniwie Radhi.
Zingatia, kama unauwezo wa kusomesha shule za gharama someshe kulingana na kipato chako. Lakini kamwe usithubutu kujitesa kisa hizi Elimu za kikoloni.
Sisi ndio tumesoma tunakuambia,
Sisi ndio tulipata ufaulu wa Daraja la juu ambao unataka mtoto wako aupate ndio tunakuambia. Sasa kuwa mbishi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Point ya msingi niliyoipata hapa ni moja tu, " somesha kulingana na uwezo wako".Kwema Wakuu!
Leo sina mbambamba, short and clear sitaki kuchosha nguvu kazi ya taifa nisijeitwa mhujumu uchumi.
Siku hizi wala usijitese kusomesha Watoto wako. Somesha Kwa ku-relax kulingana na uwezo wako. Sio uingie madeni kisa kusomesha. Huo ni ushamba na matumizi Mabaya ya Pesa na Akili.
Sisi wengine tumeshasoma,😀😀 tunajua MTU mwenye Elimu anakuwaje, anafursa gani na anachangamoto zipi. Sisi ndio unatakiwa utusikilize, hutaki Acha.
Usidanganywe na matangazo ya shule 😂😂 ooh! Atapata divisheni one blah blah blah! Mlete mwanao, wekeza kwenye Elimu na blahblahblah zingine. Hivyo jinyime ili msomeshe mwanao, Ada milioni mbili Wakati uwezo wako ni laki tatu.
Ada milioni Tano Wakati uwezo wako milioni Moja. Alafu Kwa vile nawe ni hamnazo unajitutumua kama tukutuku!
Anayeandika hapa anahizo divisheni one, nimeshakaa na watu wenye hizo divisheni one. Hakuna maajabu yoyote ya divisheni one nje ya mfumo wa elimu.
Wakati unampeleka mtoto wako Kwa kujipinda haswa mpaka unashindwa kul vizuri elewa mambo haya;
1. Kusomesha Kwa kujipinda ilikuwa biashara inayolipa zamani na sio sasa.
Zamani mtoto uliyemsomesha akimaliza anapata kazi, Pesa zote zinarudi, lakini usithubutu kujimaliza kisa Elimu sasa hivi utalia kama mbuzi mee! Huku ukiuza karanga.
Kusomesha sasa hivihakulipi. Usijiumize.
Kama huna pesa peleka mtoto shule za serikali. Mbona Sisi tumesoma hizo shule na tumefaulu Kwa Daraja la Kwanza tuu.
Usijitesewal kujipa stress kama mpumbavu.
2. Elimu inayotolewa haiendani na Pesa utakayoitoa.
Unajikakamua wee kupeleka Watoto shule kubwa ukitegemea utaona mabadiliko ya kitabia na Kiakili Kwa Watoto. Lakini mitoto inarudi haina inachojua, imezoea kukariri tuu. Ukiipa maswali ya kutafakari haina uwezo wa kuchambua mambo.
Mbaya zaidi inashindwana wale wanaosomea shule za Bure.
Elewa kuwa Akili ya mtoto ndio kitu kikubwa kuliko kile anachokifuata shuleni.
3. Mtoto hataajiriwa kisa kapata division one au two. Bali ataajiriwa ikiwa anacheti hata kama nichakuunga unga factors zingine zikizingatiwa.
Hiyo milioni tano unayomlipia Kwa kujipinda nibora uitumie kujichanga na kutafuta connection ili mtoto akimaliza apate kazi, au utumie hizo Pesa kumuwekea Akiba akimaliza shule umpe mtaji afanye biashara.
Sasa unatumia mapesa meeengi alafu akimaliza shule unamtelekeza,😂😂 endelea kutoa Pesa mpaka apate kazi.au lengo lako lilikuwa asome tuu iliiwe nini? Lengo ni ili apate taaluma Fulani kisha afanye kazi.
Sasa mzazi unatoa mahela meengi kusomesha ili baadaye umlaumu mtoto hapati kazi. Kama lengo lilikuwa nikazi mpe kazi.
4. Waliosoma siku hizi kuburuzwa na wasiosoma ni kitu cha kàwaida.
Unasomesha mtoto Kwa gharama kubwa ukijtesa ili baadaye aje aajiriwe na mhindi ambaye hajasoma kabisa, au ili aongozwe na mbunge au diwani ambaye kaishia darasa la Saba.
Hayo mapesa uliyopoteza Kwa kujibana na kujitesa(zingatia Sana Hii kauli) ni Bora ungenunua zako nguo ukavaa au Kula bata.
Wewe unasomesha mtoto ambaye anafikiri akiongea kingereza ndio ataonekana Msomi bado uone hapo uliweka Pesa. Hapo umepoteza na kujitesa Bure tuu!
5. Unasomesha Kwa kujitesa ili mitoto yako baadaye ije Ione Mila na desturi zenu ni Mavimavi.
Hapo watachanganya ni kingereza utadhani wanaakili kumbe ni matope.
Kumbe nilisema sina mengi. Mniwie Radhi.
Zingatia, kama unauwezo wa kusomesha shule za gharama someshe kulingana na kipato chako. Lakini kamwe usithubutu kujitesa kisa hizi Elimu za kikoloni.
Sisi ndio tumesoma tunakuambia,
Sisi ndio tulipata ufaulu wa Daraja la juu ambao unataka mtoto wako aupate ndio tunakuambia. Sasa kuwa mbishi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu si umeona effect ya elimu yetu ya kukariri, jamaa hata contents za mtoa mada hajaelewa ,Kisha anaenda kufanya direct confrontation na mtoa mada ,mkuu Kwa harakaharaka unapata Nini na msingi wa elimu yetu?,je mtu huyu anaweza kujireason kwenye changamoto ngumu?,hii ni cancer Kwa taifaKusomesha watoto shule nzuri ni jambo la muhimu sana.Sikupingi mleta maada ni vile tu wewe umeiangalia elimu itakua na return zipi kwa mwanao financially AND YOU ARE VERY CORRECT kwa ulimwengu sasa.
Kama uwezo unao peleka mtoto shule nzuri. Kama uwezo wa kawaida peleka mtoto shule za kawaida.
mbali na atakuja kupata nini hapo baadae, kuna factors nyingi zinafanya watoto tuwapeleke shule za kulipia
Mfano.
Mimi ni mtu wa bara nyanda za juu kusin magharib huko lakin maisha harakati niko mkoa wa pwani.Tamaduni nilizokua lelewa nazo na ambazo nataman kuwaona wanangu pia wanakua nazo ni tofaut sana na mfumo wa maisha ya hapa nilipo sasa. Mifumo na taratibu za kimalezi kwa wenyeji / wazawa wa ukanda huu ni tofaut sana.Na mimi siupendelei hata kidogo japo siwalaumu maana kila eneo na mila na desturi zake..
Kwahiyo watoto mitaani mpaka shuleni wanakuzwa katika taratib zao hizo na
Kwangu hii ndio sababu kubwa ya kutopeleka mtoto shule za serikali kwenye changanyikeni.
Watoto wengi darada moja kias kwamba ni ngumu kuwa monitor.
Kwangu Moral values ndio kinanifanya bora nijinyime nikawalipie tuu .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora usomeshe primary kulipia na sekondari za kayumba ili apate msingi wa english na achane na zile za “Ze faza iz in ze house”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmhh naomba wanaosomeshai wasikutane na huu uzi maana wanaweza kusitisha kutuma ada na hela ya kodi
Point ya msingi niliyoipata hapa ni moja tu, " somesha kulingana na uwezo wako".
Mkuu si umeona effect ya elimu yetu ya kukariri, jamaa hata contents za mtoa mada hajaelewa ,Kisha anaenda kufanya direct confrontation na mtoa mada ,mkuu Kwa harakaharaka unapata Nini na msingi wa elimu yetu?,je mtu huyu anaweza kujireason kwenye changamoto ngumu?,hii ni cancer Kwa taifa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKama kuandika kwenyewe ni shida hivi acha wanangu niwasomeshe ata kwa mkopo