Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #101
Mleta uzi alichomaanisha somesha mtoto kwenye shule ambazo una afford. Sio uingie madeni ya mamilioni kisa mtoto asome shule nzuri wakati shule za bei nafuu zipo za serikali.
Kama wewe una ni tajiri somesha shule za gharama ila kama unaunga unga maisha peleka goverment. Sio ujipe madeni kisa elimu
Huna akili.
Kuna mtu Fulani
Kasomesha watoto wake kuanzia vidudu hadi form $ix private tena zile za gharama.
Chuo kawalipia ada na kuwapa Hela ya matumizi madogo hawakuomba bodi ya mkopo.
Baada kumaliza Chuo madogo wanatembea na bahasha kuomba kazi[emoji1]WTF
Sijawahi ielewa hii logic yaani wanasaga soli kama waliosoma st kayumba.
Dingi yupo Wala hastuki sio kwamba Hana uwezo kuwapusb wafanye biashara.
Ni vile mbinafsi tu. Au ni wale wazee wenye mentality za kizamani waaoamini kazi tu.
Na mbaya zaidi watoto wenyewe nao wanachagua aina za kazi.
Kuvunja vicious cycle ya umasikini ni kazi ngumu.
sasa huyo jamaa yako anasema kwenye ajira sio lazima kupata divisheni one.
Hata Mimi nimesoma kayumba na nilifaulu vizuri vi-Necta vya ndalichako
Pia mdogo wako kusoma kayumba na kufaulu Haina maana kwmba watu wasisomeshe watoto shule zinazotoa elimu bora
Kweli bro.... Mimi nimeipata hiyo division 1.7 nimesoma shule ya gharama ila sioni muelekeo...[emoji23]
Wazazi wasomeshe kulingana na uwezo wao.....
Jau sana....[emoji23] Elimu haitoshi kuukimbia umaskini....Mzazi kauza viwanja, mashamba, na katoa damu za kutosha ili usome alafu mwisho wa siku haoni tofauti yoyote Baada ya wewe kumaliza chuo. Ukisikia kupeana laan ndio Huko sasa
Jau sana....[emoji23] Elimu haitoshi kuukimbia umaskini....
Sidhani kama kuna mzazi anapeleka mtoto shule ya private ili apate division one, ingekua hivyo basi watoto wanaotoka private wote wangekimbilia shule za serikali maana huwa wana ufaulu mzuri na bado wanaendelea huko huko private hata kama wamepangiwa shule za serikaliKwema Wakuu!
Leo sina mbambamba, short and clear sitaki kuchosha nguvu kazi ya taifa nisijeitwa mhujumu uchumi.
Siku hizi wala usijitese kusomesha Watoto wako. Somesha Kwa ku-relax kulingana na uwezo wako. Sio uingie madeni kisa kusomesha. Huo ni ushamba na matumizi Mabaya ya Pesa na Akili.
Sisi wengine tumeshasoma,[emoji3][emoji3] tunajua MTU mwenye Elimu anakuwaje, anafursa gani na anachangamoto zipi. Sisi ndio unatakiwa utusikilize, hutaki Acha.
Usidanganywe na matangazo ya shule [emoji23][emoji23] ooh! Atapata divisheni one blah blah blah! Mlete mwanao, wekeza kwenye Elimu na blahblahblah zingine. Hivyo jinyime ili msomeshe mwanao, Ada milioni mbili Wakati uwezo wako ni laki tatu.
Ada milioni Tano Wakati uwezo wako milioni Moja. Alafu Kwa vile nawe ni hamnazo unajitutumua kama tukutuku!
Anayeandika hapa anahizo divisheni one, nimeshakaa na watu wenye hizo divisheni one. Hakuna maajabu yoyote ya divisheni one nje ya mfumo wa elimu.
Wakati unampeleka mtoto wako Kwa kujipinda haswa mpaka unashindwa kul vizuri elewa mambo haya;
1. Kusomesha Kwa kujipinda ilikuwa biashara inayolipa zamani na sio sasa.
Zamani mtoto uliyemsomesha akimaliza anapata kazi, Pesa zote zinarudi, lakini usithubutu kujimaliza kisa Elimu sasa hivi utalia kama mbuzi mee! Huku ukiuza karanga.
Kusomesha sasa hivihakulipi. Usijiumize.
Kama huna pesa peleka mtoto shule za serikali. Mbona Sisi tumesoma hizo shule na tumefaulu Kwa Daraja la Kwanza tuu.
Usijitesewal kujipa stress kama mpumbavu.
2. Elimu inayotolewa haiendani na Pesa utakayoitoa.
Unajikakamua wee kupeleka Watoto shule kubwa ukitegemea utaona mabadiliko ya kitabia na Kiakili Kwa Watoto. Lakini mitoto inarudi haina inachojua, imezoea kukariri tuu. Ukiipa maswali ya kutafakari haina uwezo wa kuchambua mambo.
Mbaya zaidi inashindwana wale wanaosomea shule za Bure.
Elewa kuwa Akili ya mtoto ndio kitu kikubwa kuliko kile anachokifuata shuleni.
3. Mtoto hataajiriwa kisa kapata division one au two. Bali ataajiriwa ikiwa anacheti hata kama nichakuunga unga factors zingine zikizingatiwa.
Hiyo milioni tano unayomlipia Kwa kujipinda nibora uitumie kujichanga na kutafuta connection ili mtoto akimaliza apate kazi, au utumie hizo Pesa kumuwekea Akiba akimaliza shule umpe mtaji afanye biashara.
Sasa unatumia mapesa meeengi alafu akimaliza shule unamtelekeza,[emoji23][emoji23] endelea kutoa Pesa mpaka apate kazi.au lengo lako lilikuwa asome tuu iliiwe nini? Lengo ni ili apate taaluma Fulani kisha afanye kazi.
Sasa mzazi unatoa mahela meengi kusomesha ili baadaye umlaumu mtoto hapati kazi. Kama lengo lilikuwa nikazi mpe kazi.
4. Waliosoma siku hizi kuburuzwa na wasiosoma ni kitu cha kΓ waida.
Unasomesha mtoto Kwa gharama kubwa ukijtesa ili baadaye aje aajiriwe na mhindi ambaye hajasoma kabisa, au ili aongozwe na mbunge au diwani ambaye kaishia darasa la Saba.
Hayo mapesa uliyopoteza Kwa kujibana na kujitesa(zingatia Sana Hii kauli) ni Bora ungenunua zako nguo ukavaa au Kula bata.
Wewe unasomesha mtoto ambaye anafikiri akiongea kingereza ndio ataonekana Msomi bado uone hapo uliweka Pesa. Hapo umepoteza na kujitesa Bure tuu!
5. Unasomesha Kwa kujitesa ili mitoto yako baadaye ije Ione Mila na desturi zenu ni Mavimavi.
Hapo watachanganya ni kingereza utadhani wanaakili kumbe ni matope.
Kumbe nilisema sina mengi. Mniwie Radhi.
Zingatia, kama unauwezo wa kusomesha shule za gharama someshe kulingana na kipato chako. Lakini kamwe usithubutu kujitesa kisa hizi Elimu za kikoloni.
Sisi ndio tumesoma tunakuambia,
Sisi ndio tulipata ufaulu wa Daraja la juu ambao unataka mtoto wako aupate ndio tunakuambia. Sasa kuwa mbishi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sijakusoma vyedi mkuu ni kama hukua umelenga kuni quote mimi kwenye hii reply yako chief..sijaielewa sanaMkuu si umeona effect ya elimu yetu ya kukariri, jamaa hata contents za mtoa mada hajaelewa ,Kisha anaenda kufanya direct confrontation na mtoa mada ,mkuu Kwa harakaharaka unapata Nini na msingi wa elimu yetu?,je mtu huyu anaweza kujireason kwenye changamoto ngumu?,hii ni cancer Kwa taifa
Hayo ndio malengo yangu akishapat urai tu basi he will be free to move and ni guarantee ya maisha BoraHuko Ulaya labda ni ili akimaliza atokomee hukohuko afanye kazi na kutafuta Pesa HUKOHUKO.
Lakini wapo wamesoma Ulaya kuanzia SEKONDARI mpaka chuo na tupo NAO hapa mjini na Hawana maajabu
Dogo kuna vitu vingi hujui, kaa kimya tu, ishia hapo hapo unahisi unajua.Nitafutie aliyesoma international school alafu nikutafutie aliyesoma Kayumba alafu tuwalete sehemu moja uone kuwa kusoma shule kubwa haimaanishi uta- achieve Sana tofauti na waliosoma Kayumba.
Kinachowagharimu wakayumba ni mazingira kuanzia ya nyumba mpaka shuleni.
Sisi wengine tumesoma Kayumba lakini tupo vizuri
Dogo kuna vitu vingi hujui, kaa kimya tu, ishia hapo hapo unahisi unajua.
Hayo ndio malengo yangu akishapat urai tu basi he will be free to move and ni guarantee ya maisha Bora
Wacha likudanganye! Lenyewe limeshasomesha watoto wakeWatakuelewa wachache sana,lakini wewe umeshanawa kama piratoπ
πππππWacha likudanganye! Lenyewe limeshasomesha watoto wake
Mwanangu vitoto vya International vinajua kuunga hoja mpaka unakaa chini!Nitafutie aliyesoma international school alafu nikutafutie aliyesoma Kayumba alafu tuwalete sehemu moja uone kuwa kusoma shule kubwa haimaanishi uta- achieve Sana tofauti na waliosoma Kayumba.
Kinachowagharimu wakayumba ni mazingira kuanzia ya nyumba mpaka shuleni.
Sisi wengine tumesoma Kayumba lakini tupo vizuri
Kama unaona Elimu Gharama basi jaribu UjingA @ Banza StoneKwema Wakuu!
Leo sina mbambamba, short and clear sitaki kuchosha nguvu kazi ya taifa nisijeitwa mhujumu uchumi.
Siku hizi wala usijitese kusomesha Watoto wako. Somesha Kwa ku-relax kulingana na uwezo wako. Sio uingie madeni kisa kusomesha. Huo ni ushamba na matumizi Mabaya ya Pesa na Akili.
Sisi wengine tumeshasoma,ππ tunajua MTU mwenye Elimu anakuwaje, anafursa gani na anachangamoto zipi. Sisi ndio unatakiwa utusikilize, hutaki Acha.
Usidanganywe na matangazo ya shule ππ ooh! Atapata divisheni one blah blah blah! Mlete mwanao, wekeza kwenye Elimu na blahblahblah zingine. Hivyo jinyime ili msomeshe mwanao, Ada milioni mbili Wakati uwezo wako ni laki tatu.
Ada milioni Tano Wakati uwezo wako milioni Moja. Alafu Kwa vile nawe ni hamnazo unajitutumua kama tukutuku!
Anayeandika hapa anahizo divisheni one, nimeshakaa na watu wenye hizo divisheni one. Hakuna maajabu yoyote ya divisheni one nje ya mfumo wa elimu.
Wakati unampeleka mtoto wako Kwa kujipinda haswa mpaka unashindwa kul vizuri elewa mambo haya;
1. Kusomesha Kwa kujipinda ilikuwa biashara inayolipa zamani na sio sasa.
Zamani mtoto uliyemsomesha akimaliza anapata kazi, Pesa zote zinarudi, lakini usithubutu kujimaliza kisa Elimu sasa hivi utalia kama mbuzi mee! Huku ukiuza karanga.
Kusomesha sasa hivihakulipi. Usijiumize.
Kama huna pesa peleka mtoto shule za serikali. Mbona Sisi tumesoma hizo shule na tumefaulu Kwa Daraja la Kwanza tuu.
Usijitesewal kujipa stress kama mpumbavu.
2. Elimu inayotolewa haiendani na Pesa utakayoitoa.
Unajikakamua wee kupeleka Watoto shule kubwa ukitegemea utaona mabadiliko ya kitabia na Kiakili Kwa Watoto. Lakini mitoto inarudi haina inachojua, imezoea kukariri tuu. Ukiipa maswali ya kutafakari haina uwezo wa kuchambua mambo.
Mbaya zaidi inashindwana wale wanaosomea shule za Bure.
Elewa kuwa Akili ya mtoto ndio kitu kikubwa kuliko kile anachokifuata shuleni.
3. Mtoto hataajiriwa kisa kapata division one au two. Bali ataajiriwa ikiwa anacheti hata kama nichakuunga unga factors zingine zikizingatiwa.
Hiyo milioni tano unayomlipia Kwa kujipinda nibora uitumie kujichanga na kutafuta connection ili mtoto akimaliza apate kazi, au utumie hizo Pesa kumuwekea Akiba akimaliza shule umpe mtaji afanye biashara.
Sasa unatumia mapesa meeengi alafu akimaliza shule unamtelekeza,ππ endelea kutoa Pesa mpaka apate kazi.au lengo lako lilikuwa asome tuu iliiwe nini? Lengo ni ili apate taaluma Fulani kisha afanye kazi.
Sasa mzazi unatoa mahela meengi kusomesha ili baadaye umlaumu mtoto hapati kazi. Kama lengo lilikuwa nikazi mpe kazi.
4. Waliosoma siku hizi kuburuzwa na wasiosoma ni kitu cha kΓ waida.
Unasomesha mtoto Kwa gharama kubwa ukijtesa ili baadaye aje aajiriwe na mhindi ambaye hajasoma kabisa, au ili aongozwe na mbunge au diwani ambaye kaishia darasa la Saba.
Hayo mapesa uliyopoteza Kwa kujibana na kujitesa(zingatia Sana Hii kauli) ni Bora ungenunua zako nguo ukavaa au Kula bata.
Wewe unasomesha mtoto ambaye anafikiri akiongea kingereza ndio ataonekana Msomi bado uone hapo uliweka Pesa. Hapo umepoteza na kujitesa Bure tuu!
5. Unasomesha Kwa kujitesa ili mitoto yako baadaye ije Ione Mila na desturi zenu ni Mavimavi.
Hapo watachanganya ni kingereza utadhani wanaakili kumbe ni matope.
Kumbe nilisema sina mengi. Mniwie Radhi.
Zingatia, kama unauwezo wa kusomesha shule za gharama someshe kulingana na kipato chako. Lakini kamwe usithubutu kujitesa kisa hizi Elimu za kikoloni.
Sisi ndio tumesoma tunakuambia,
Sisi ndio tulipata ufaulu wa Daraja la juu ambao unataka mtoto wako aupate ndio tunakuambia. Sasa kuwa mbishi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kama unaona Elimu Gharama basi jaribu UjingA @ Banza Stone