Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

kumbuka chaneli ambazo huzipendi wengine tunazipenda like indian movies i like bollywood more
Wewe kama sio mesenja kwenye kampuni ya muhindi basi houseboy wa kanjibai......maana sampuli hiyo ndio wanatabia za kujipendekeza kwa wahindi.....yaani mara mbili useme wachina wanaeleweka na si wahindi........sasa unaelewa nini kwenye hicho unachotazama......ndio maana nchi haiendelei

SONY Xperia Z5 Premium
 
Decoder imezima kurudisha pale AZAM TV TAZARA wanasema hawawezi kutengeneza, nikauliza sababu ya kuzimika ni nini? wakasema ikiwa inawaka lakini hupati channel tunatengeneza lakini ikizimika wao wanchojua ni ununue Decoder nyingine kwa shs 80,000/=. Je hii ni sawa mbona Luku ikizima TANESCO wanaweka nyingine?. Naomba mwenye kujua anijuze mana tulikuwa wengi wenye tatizo hilo pale na hakuna msaada tuliopata. Nadhani ni mbinu ya Marketing Manager kumuonyesha bosi wake kwamba ving'amuzi vinauzwa sana
 
Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. Wapenzi wa channel "e" mujue kuwa haipo Azam TV!

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

>kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..
Mimi ninadhani malalamiko yako ni mlolongo wa tabia za siku hizi za kupenda kulalamika.
Hivi sasa kuna vituo kadhaa ambavyo hutoa huduma hii na wewe kama mteja una uamuzi wa kuchagua ukitakacho. Hiyo Azam unayoilalamikia, ina vifurushi kadhaa ambavyo mteja ana uamuzi wa kuchagua na kama ukitaka kupanua wigo wa chaneli basi ni shilingi elfu moja kwa siku na kama unaona hiyo ghali basi angalia TBC
 
Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. Wapenzi wa channel "e" mujue kuwa haipo Azam TV!

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

>kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..
Hizi Decoder ni maumivu wameamua kunyonya wabongo kwa staili yao kam
 
yaana jamaa wamevimba kichwa kisa ligi ya VPL
 
Naomba kujua hii channel e inapatikana kwe kingamzi gani wakuu
 
Kweli mkuu wanakata mpaka upige simu customers care ndo wakufungulie! so ndugu zetu wasio na taarifa wanalazimika kilipia wakati local channel ni bure
ko startime local chanel hawakat? mkuu mbona kuna mshikaji wang wamemukatia mwez huu hajalipia au huu uzi ni wa mwaka jana?
 
Back
Top Bottom