Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

Mleta uzi, hii density ina affect bei? Kama haiafekti bei nimeshapata jibu langu. Ila kama ina affect bei, naomba ufanye kuedit uzi wako pale juu kuelekeza bei fulani kwa density fulani.
 
Mleta uzi, hii density ina affect bei? Kama haiafekti bei nimeshapata jibu langu. Ila kama ina affect bei, naomba ufanye kuedit uzi wako pale juu kuelekeza bei fulani kwa density fulani.
Density ndipo ubora wa godoro ulipo mkuu kama umeweza kuelewa asante kwako
Inamaana lenye ujazo mdogo hata bei itakuwa ndogo
 
Na kuligeuza kila baada ya miezi mitatu
Kuligeuza kwa godoro bora haina haja sababu kama ni mbonyeo ni wa kawaida pande zote tunashauri kugeuza sababu uzito wa mtu hubadilika ndani ya huo muda
Uzito wa wife na mume ni tofauti itasaidia kidogo kwa wenye uzito mkubwa lakini chini ya 80 haina haja mkuu karibuni sana kwa ushauri zaidi

0657050325 calls na WhatsApp
 
Kuna taarifa imekosekana hapa. Mfano hiyo ujazo wa 28 n.k. Unapatikana katika inch zipi? Pili SI unit ya huo ujazo ni ipi? Tatu kuna magodoro fulani hivi ya kichina, very sophisticated. Bila shaka umeshaona promo zake mitandaoni. Yale ujazo wake ukoje na ubora je?
 
Kabisaaa mkuu ni kuelezea hata la saba tu aelewe maana wengi wanajua godoro ni godoro tu lina vitu vingi vya kuzingatia
 
Mkuu hapa tunazungumzia Tanzania tulipo na hizi kampuni ni zetu hapa hapa
Pia kuli attack kampuni moja kwa moja sio vizuri kibiashara ni kosa ushauri zaidi njoo namba zetu hizo boss

Pia hizo za kichina nyingi ni fibre zingine huwa pia za upepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…