Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inabidi uwe unawafanyisha kazi wasijikalie tuUtafukuzaje mkwe,kiafrika ni ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi uwe unawafanyisha kazi wasijikalie tuUtafukuzaje mkwe,kiafrika ni ngumu sana
Dah, halafu mwenyewe unajiona mjanja! Sasa kama unatembea naye sisi ina tuhusu nini?? Nafikiri wewe ni:(huwa natoka na mkewe kisirisiri)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.
Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida,usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.
Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa,kwa maana hazai,ni ngumu mno,wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.
Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa,na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako,watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu,awe mwanamke au mwanaume.
Hakuna kitu kama hichoMwanamke akishakua na chale , hawezi kua na akili sawasawa hata awe Msomi vipi au hata awe alichanjwa kwenye utoto
Chale kama vinyweleoYaani waganga wao bila kumchanja mgonjwa hawaoni raha
Hapana mkuu kabila inakula sana wali hii. Mbaya zaidi nacho chukia kwa hii kabila ni hivi, wao wakila hawajawahi kumaliza chakula na mgeni akija anapewa hichohicho kilicho bakizwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko sahihi japo sio walaji wa wali hasa wanaume
Mkuu,Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.
Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida,usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.
Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa,kwa maana hazai,ni ngumu mno,wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.
Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa,na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako,watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu,awe mwanamke au mwanaume.
Si unamuoa msukuma mwenzako afande?Chale ninazo, huwa nawaza cku Dem anione nazo cjui itakuwaje.
All in all pigeni kazi, kulalamika msosi ni ishara ya jobless
Katika watu poa sana ni wasukuma, wanawake hawajui ku cheat halafu si waongo. Ukitaka kuongeza mke, mkeo anashangilia na kwenda kuanza undugu na bi mdogo bila shida!Kuna huyu msukuma nilimtamani ila kwa huu wasifu nimeghairi.
Mchele utoke wapi bro, ya kwao ni michembe tu.
Hilo la chale ni kiboko, mara ya kwanza nilishangaa sana ila uchawi ni utamaduni wao na hawaoni haibu
Naomba niweke wazi mimi ni msukuma kiukweli kilo moja ya wali watu wanakula haswa wale wa vijijini. Ila mm binafsi nusu kilo namaliza Nina kgs 61 body weight kilo siwez kufutaHakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.
Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida,usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.
Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa,kwa maana hazai,ni ngumu mno,wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.
Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa,na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako,watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu,awe mwanamke au mwanaume.
Hatari sana. Nina dada yangu aliolewa usukumani, jamaa akiumwa tu anaonekana sister ndo alimroga, baadae ndoa ikafa.Kuamini ushirikina hapa wamebobea