Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.

Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida,usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.

Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa,kwa maana hazai,ni ngumu mno,wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.

Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa,na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako,watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.

Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu,awe mwanamke au mwanaume.
Wewe unasumbuliwa na kutojitambua! Kuwa na Chale unaona ni ushamba ila ukimwona mzungu ana tatoo unamwona ni mjanja. Akili hizi ni za shithole kama alivyowaita Trump. Jitambueni!!
 
Tupe takwimu
Nikupe takwimu gani, umewahi kufika bonde la usangu ? Wasukuma walianza kuhamia bonde la usangu mwisho mwa 1960's na wamekuwa ndiyo wazalishaji wakubwa wa chakula kuliko hata wenyeji Wasangu waliowakuta.. leo hii Wasukuma wamekuwa watu muhimu wa kuamua siasa za jimbo la Mbarali..
 
Pia msisahau kuwa Wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa ukarimu Tanzania nzima .. pia waasisi wa vuguvugu la mageuzi nchini walitoka Usukumani.. Nyanga Bob Makani (CHADEMA) Momose Cheyo, Kasela Bantu (UDP) Mapalala James,Lipumba Haruna (CUF) Fundikira Abdalah, Kasanga Tumbo(UMD) isitoshe kusema wasukuma ndio baba wa mageuzi hapa nchini....
Nadhani hapo umechanganya na Wanyamwezi!
Lipumba,Fundikira,Kasanga Tumbo kama sikosei ni Wanyamwezi.
 
Nikupe takwimu gani, umewahi kufika bonde la usangu ? Wasukuma walianza kuhamia bonde la usangu mwisho mwa 1960's na wamekuwa ndiyo wazalishaji wakubwa wa chakula kuliko hata wenyeji Wasangu waliowakuta.. leo hii Wasukuma wamekuwa watu muhimu wa kuamua siasa za jimbo la Mbarali..
Unaniuliza Mimi na Usangu 🤣🤣🤣🤣
 
Kwani mtu ukimwona na chale ndio unamwona ni mshamba au? Tatizo lenu mmekuwa brain washed na wazungu kupitia dini. Chale ni mila tu kama ambavyo wazungu wanavyopenda kuchora tatoo. Sasa na wao kwa kushora tatoo ni washamba? Jaribuni kujitambua basi nyinyi nyumbu wa kiafrika!!
ushiawahi kuishi na mtu wa hivyo ukaona hayo machale yanavyomsumbua? mbona wanaombaga wenyewe kupelekwa kanisan..unaweza kumpeleka binti yako akachanjwa kwenye makalio? una bifu na mzungu ila vitu vyake huachi kuvitumia, ebu kwanza tupa hio simu, vua hizo nguo kavae mangozi
 
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Hahaha. Usukumani jogoo mzima ni breakfast ya mtu mmoja, mbuzi anayeuzwa sh 140,000/= pale Vingunguti ndiyo lunch ya watu 3.
 
Yote tisa kumila sasa kabila la wangoni na wandendeule ni wachawi balaa kama kuna mtu anataka kwenda kuoa au kuolewa huko ruvuma sishauri kwenye ilo siku nikipata muda nitaweka Uzi hapa la hasha kwa upande wa wasukuma siwezi jadili sana ila ninachojua wasukuma watu fulani wakarimu sana ni watu wa kujichanganya sana ayo ya chale sina ushahidi nayo sana
 
Hahaha. Usukumani jogoo mzima ni breakfast ya mtu mmoja, mbuzi anayeuzwa sh 140,000/= pale Vingunguti ndiyo lunch ya watu 3.
Umasikini huchangia watu kujinyima nenda Umasaini mbuzi mmoja analiwa na watu wawili ... sasa unategemea uwe mlaji wa nyama wakati hufugi hata mbwa !
 
Wasukuma ni moja ya makabila primitive Sana Tanzania , wanaishi zama za mawe wengi wao

Na illiteteracy yao ni nature kabisa, kuna makabila tz hapa, hata awe na Phd, mtu huyo illiteracy haiishi , ujinga wa kudumu, wasukuma ni moja ya makabila hayo
MSukuma na Mpemba hata adome vipi habadiliki na wakurya pia.
 
Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.

Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.

Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.

Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.

Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Walipomuunga mkono wote kwa ushenzi wa ndugu yao wakawa wanaona ni sawa tu kwa sababu ni kabila lao hadi leo sina hamu na mtu msukuma
 
Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.

Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.

Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.

Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.

Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Chale ni kweli.
Kukuongelesha kisukuma iyo pia ni kweli.
Nimeyashuhudia.

Mengine hayo sina hakika nayo.
 
Wewe unasumbuliwa na kutojitambua! Kuwa na Chale unaona ni ushamba ila ukimwona mzungu ana tatoo unamwona ni mjanja. Akili hizi ni za shithole kama alivyowaita Trump. Jitambueni!!
Kumbe chaleni urembo?? Tofautisha chale za wamakonde na za wasukuma,za wamakonde ndio urembo,za wasukuma ni njia ya kupitisha dawa za waganga
 
Back
Top Bottom