Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Buziku wanyarwanda kama Diwani Salama wanapanyanyua kwa ufugaji. Buzirayombo miaka ya zamani ilikuwa maarufu. Mganza bado ina u maarufu.

Pale makurugusi karibu na Bwanga, ndani ndani kuna kitongoji cha Gambushi, noma sana, nilifika hapo wanakwambia mchana panaweza kuwa kama Dar
Ni kweli Buziki ni kama Kigali watutsi wengi sana ila kuna njemba inaitwa mrefu ni hatari yule mtutsi,Buzirayombo ioo moto tangu mkoloni vita ya pili ya dunia zilipigwa pale

,Busaka,makurugusi,igando,bwera,bukiriguru,msasa huko uchawi ni live bila chenga
 
Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.

Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.

Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.

Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.

Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Ila hili la kutembelewa bila taarifa na kukaa muda usiojulikana ni kweli kabisa.
 
Ni kweli Buziki ni kama Kigali watutsi wengi sana ila kuna njemba inaitwa mrefu ni hatari yule mtutsi,Buzirayombo ioo moto tangu mkoloni vita ya pili ya dunia zilipigwa pale

,Busaka,makurugusi,igando,bwera,bukiriguru,msasa huko uchawi ni live bila chenga
Mrefu, sijui kama bado ni mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa wa Geita. Enzi ya vita ya Rwanda, alichangisha sana wanyarwanda ili kusaidia RPF.

Kuna stori kwamba Buzirayombo ilikuwa maarufu kwa kulima miwa, some wanasema iliwahi kuwa na kiwanda cha sukari kidogo.

Patel mmiliki wa Ginnery Chato miaka ya zamani sijui aliwezaje kuishi huko
 
Balaa sana demu wangu wa kusukuma kulwa mweupe wa shinyanga aliweka wazi hilo bila kificho
 
Lakini sawa ila hawa dada zako na mama zenu wanaocheza vigodoro na kutingisha makalio bila hofu huo sio u prinitive.
Na declare kuwa ni wa huko . Nimejifunza mengi hususan hili la ulaji na uchoyo hasa hofu ya wageni ni kwa makabila maskuni wa aoishi kwa unga robo na mafuta ya kupima kwa maisha hayo mtu akibusha hidi lazima tumbo likuume lakini hawa wasukuma hasa wa kwetu huko ukweli tuna kula mwanaume kama mimi lazima nile kilo ya unga.
Ulaji pia unaendana na kimo sasa hawa watani zangu urefu wa ndoo ale nusu kilo si itakuwa ajabu.
Hili la chale ni ukweli sema tunapishana tu na makabila mengine hawa wanakunywa kombe, wengine wana majini wanepewe kila siku kiti ana masharti. Kwahiyo ni uchaguzi
obheja ong'wise,umemchapa kwel kwel!bhena tuja sana abhajogoli bhenabha
 
Upo sahihi,tena unakuta msukuma hata majina yake yote ni ya asili,sio mtu kujiita Mohamed Said au Yohana Petro na huku unaroga
Pwani ushirika upo juu sn.. hao hao wanaoshinda misikitini ndio wanajulikana kuwa wachawi wakubwa hata mitaani.
 
Pwani ushirika upo juu sn.. hao hao wanaoshinda misikitini ndio wanajulikana kuwa wachawi wakubwa hata mitaani.
Sasa wewe bibi wa KISUKUMA kwa kauli yako hii leoleo uislamu umekufa umefurahi eeeee?
 
Tunajadiliwa sana kwa mabaya sisi wasukuma! Nadhani hatuna jema kwa ninyi makabila mengi hapa Tanzania.

Chuki mliyonayo dhidi yetu ni kubwa mno kiasi Cha kuanzisha mijadala hasi dhidi ya jamii yetu.
Hoja ya haya yote ni Mila na desturi! Tuko tofauti na hatufanani.

*Nimeishi maeneo mengi katika ujana wangu huu na nimekuwa na marafiki wengi wa kusaidiana katika shida na Raha hasa walipojua kuwa Mimi ni msukuma. Of course Mimi ni mcheshi na tunaishi kwa kupendana sana.
  • Wanawake wengi wanapenda hili kabila la "washamba" sijui kwanini ila mimi nime date na wanawake ( wadada) wengi wa makabila mengine kuliko hata wasukuma. Nipo humble na najiamini.
  • Huwa naishia kuwahurumia baadhi ya watu wanaofuata mkumbo kutusema vibaya ilihali ni watu duni na fukara wa nguvu na kiuchumi.

  • Hatujali hayo, tuna Ari ya kazi na ustahimilivu wa kimkakati. Kamwe tutabaki kuwa jamii inayojituma na kujiboresha kwa kutumia raslimali ardhi.
  • Chuki za wapumbavu si kitu kwetu.
  • Tuko wengi na ndiyo alama ya amani na uchapakazi, utu na ukarimu.

Mwisho: Hakuna kabila lilitimamu, tamaduni zinatupa kasumba ya kunyosheana vidole kwa kuwa hatuwezi kufanana. Furahia na wale mnaoendana, oana nao na uchangamane nao.
Chale za wasukuma zinatofauti Gani na alama za makabila kama datooga, wamakonde na wamasai?
Chuki huzaa mitazamo yenye ubaguzi na migogoro.
Acha kujiliza mtoto wa kiume, jikaze, have a thick skin.
 
ushiawahi kuishi na mtu wa hivyo ukaona hayo machale yanavyomsumbua? mbona wanaombaga wenyewe kupelekwa kanisan..unaweza kumpeleka binti yako akachanjwa kwenye makalio? una bifu na mzungu ila vitu vyake huachi kuvitumia, ebu kwanza tupa hio simu, vua hizo nguo kavae mangozi
Muuloze hivi yeye atakuwa sawa binti yake au kijana wake akileta mkwe ana tattoo zakutosha mikononi, miguuni hadi shingoni?
 
Kuna mwamba mmoja alikua mkuu wa taasisi fulani ni msukuma, kijijini kwao karibu kijiji kizima kawatafutia kazi kwenye hiyo taasisi, anachofanya wakati unasubiri ajira anakuita kwake sasa nyumbani kwake walijaa wasukuma wengi kichizi yani, pale nyumbani chakula kinapikwa kwenye masufuria makubwa kama ya shule

mwamba alinunua mashamba kwahiyo kabla hajakuingiza kwenye system lazima akupigishe kazi kama una moyo mwepesi unaweza kutoroka jamaa wakiamka asubuhi ni kwenda shambani kupitia hao cheap labour yule mwamba alitajirika sana na kijijini kwao karibu kila familia inamtu aliepata ajira kupitia yeye.
 
Back
Top Bottom