Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.

Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.

Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.

Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.

Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Uchawi sasa, kila watu wanne, watatu wachawi
 
Mimi niko buzirayombo nitayajuaje ya ulaya,hata kama wanao mimi hayanihusu
Buzirayombo kuna wachawi hapo balaa, Ila kuna mdada mmoja mwarabu hapo, hana hiyana. Wazee wa Buziku, Chankende,
 
Hatubaguani sisi ni jamii moja aina ya ngoma zinazochezwa hadi matambiko tunafanana.
nimeishi na wanyamwezi na wasukuma. kwa kweli wanyamwezi ni tofauti hawana pigo za kidwanzi kama wasukuma. hata wanavyoongea hawakazi maneno kama wasukuma. pia wanyamwezi sio wafugaji wao wazee wa kurina asali na tumbaku. wasukuma ni wafugaji. sema wasukuma bado wana uduwanzi japo sio wote. pia wauaji wa albino ni wasukuma, wanyamwezi hawana hizo mambo nimewaona wako tofauti mno na wasukuma kitabia.
 
Katika watu poa sana ni wasukuma, wanawake hawajui ku cheat halafu si waongo. Ukitaka kuongeza mke, mkeo anashangilia na kwenda kuanza undugu na bi mdogo bila shida!
Nilishuhudia mke mkubwa akihangaika kwa waganga hadi kwa mitume baada ya bi mdogo kukosa mimba muda mrefu. Alipopata mtoto bi mkubwa alishangilia sana.
Oa huyo msukuma ule mema ya nchi.
umesema wanawake wa kisukuma hawajui kucheat?...🤔🤔

aiseeee,...ebu kuwa serious kidogo...🤣🤣🤣
 
Buzirayombo kuna wachawi hapo balaa, Ila kuna mdada mmoja mwarabu hapo, hana hiyana. Wazee wa Buziku, Chankende,
Kuna wachawi hatari na majini juu,huu ulijuwa mji maarufu sana umedumaa sababu ya uchawi,zamani watu wa Chato walikuwa wakienda kuhemea Buzirayombo.
Buziku nayo ilikuwa imechangamka kuliko Katoro na Bwanga,ila ujambazi umeidumaza,dah umenimumbusha maeneo yangu ya kujidai enzi za Magu
 
Nikupe takwimu gani, umewahi kufika bonde la usangu ? Wasukuma walianza kuhamia bonde la usangu mwisho mwa 1960's na wamekuwa ndiyo wazalishaji wakubwa wa chakula kuliko hata wenyeji Wasangu waliowakuta.. leo hii Wasukuma wamekuwa watu muhimu wa kuamua siasa za jimbo la Mbarali..
Huu ni uongo, wasukuma waliokuwa na akili ya kuwekeza massively miaka ya '60 ni wachache sana, angalau wangekuwa wachaga ningekubali hao kwao civilization ilianza zamani sana
 
Ni kabila linaloongoza Kwa uchawi na ushirikina Tanzania nzima
Wasukuma na makabila ya mwambao wa pwani km Wazaramo, Wamatumbi, Wangindo nk haya makabila yanaamini sn ushirikina ila Wasukuma wanaamini katika dini za jadi tofauti na hao wapwaoi ambao wanajifanywa Waislamu huku wakiendekeza ushirikina.
 
umesema wanawake wa kisukuma hawajui kucheat?...🤔🤔

aiseeee,...ebu kuwa serious kidogo...🤣🤣🤣
Hawajui huyu,ningekaa miaka 4 ningefikisha wanawake 400 kama Balthazar
 
Lakini sawa ila hawa dada zako na mama zenu wanaocheza vigodoro na kutingisha makalio bila hofu huo sio u prinitive.
Na declare kuwa ni wa huko . Nimejifunza mengi hususan hili la ulaji na uchoyo hasa hofu ya wageni ni kwa makabila maskuni wa aoishi kwa unga robo na mafuta ya kupima kwa maisha hayo mtu akibusha hidi lazima tumbo likuume lakini hawa wasukuma hasa wa kwetu huko ukweli tuna kula mwanaume kama mimi lazima nile kilo ya unga.
Ulaji pia unaendana na kimo sasa hawa watani zangu urefu wa ndoo ale nusu kilo si itakuwa ajabu.
Hili la chale ni ukweli sema tunapishana tu na makabila mengine hawa wanakunywa kombe, wengine wana majini wanepewe kila siku kiti ana masharti. Kwahiyo ni uchaguzi
 
Wasukuma na makabila ya mwambao wa pwani km Wazaramo, Wamatumbi, Wangindo nk haya makabila yanaamini sn ushirikina ila Wasukuma wanaamini katika dini za jadi tofauti na hao wapwaoi ambao wanajifanywa Waislamu huku wakiendekeza ushirikina.
Upo sahihi,tena unakuta msukuma hata majina yake yote ni ya asili,sio mtu kujiita Mohamed Said au Yohana Petro na huku unaroga
 
Kuna wachawi hatari na majini juu,huu ulijuwa mji maarufu sana umedumaa sababu ya uchawi,zamani watu wa Chato walikuwa wakienda kuhemea Buzirayombo.
Buziku nayo ilikuwa imechangamka kuliko Katoro na Bwanga,ila ujambazi umeidumaza,dah umenimumbusha maeneo yangu ya kujidai enzi za Magu
Buziku wanyarwanda kama Diwani Salama wanapanyanyua kwa ufugaji. Buzirayombo miaka ya zamani ilikuwa maarufu. Mganza bado ina u maarufu.

Pale makurugusi karibu na Bwanga, ndani ndani kuna kitongoji cha Gambushi, noma sana, nilifika hapo wanakwambia mchana panaweza kuwa kama Dar
 
Lakini sawa ila hawa dada zako na mama zenu wanaocheza vigodoro na kutingisha makalio bila hofu huo sio u prinitive.
Na declare kuwa ni wa huko . Nimejifunza mengi hususan hili la ulaji na uchoyo hasa hofu ya wageni ni kwa makabila maskuni wa aoishi kwa unga robo na mafuta ya kupima kwa maisha hayo mtu akibusha hidi lazima tumbo likuume lakini hawa wasukuma hasa wa kwetu huko ukweli tuna kula mwanaume kama mimi lazima nile kilo ya unga.
Ulaji pia unaendana na kimo sasa hawa watani zangu urefu wa ndoo ale nusu kilo si itakuwa ajabu.
Hili la chale ni ukweli sema tunapishana tu na makabila mengine hawa wanakunywa kombe, wengine wana majini wanepewe kila siku kiti ana masharti. Kwahiyo ni uchaguzi
Kwahiyo bhangosha kilo unamaliza kweli
 
Back
Top Bottom