Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.

Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.

Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.

Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.

Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
 
Kuna jirani yangu mmoja hapa Dom ni askari polisi (huwa natoka na mkewe kisirisiri) huyu mwamba mkewe ni msukuma kuna kipindi alipata kutembelewa na timu ya watu 9 Yaani baba Mkwe na mama Mkwe,

wadogo wa mkewe na Kaka mkubwa wa mkewe akiwa na mke na watoto Yaani jamaa ailkosa nafasi ya kuwalaza wageni ikabidi aje kuomba nafasi nyumba moja ya mama mmoja mstaafu hapa jirani Yaani wageni walijaa nyumbani eti wamekuja kusalimia mke wa jamaa baada ya kujifungua halafu walikaa zaidi ya mwezi jamaa alinyooka maana budget ya siku ilipanda mara dufu!
 
Wasukuma ni moja ya makabila primitive Sana Tanzania , wanaishi zama za mawe wengi wao

Na illiteteracy yao ni nature kabisa, kuna makabila tz hapa, hata awe na Phd, mtu huyo illiteracy haiishi , ujinga wa kudumu, wasukuma ni moja ya makabila hayo
 
Back
Top Bottom