Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulaji gani huo, Huo pia si utaratibu wa kiafrika kula kilo4...? ... !!Utafukuzaje mkwe,kiafrika ni ngumu sana
Hapana ni mila na desturi
Kweli kuna watu wapumbavu wanaolima mpunga mwingi bonde la usangu ni kabila gani km si wasukuma ?Kiasi kinacholimwa hapo Magu au kule Shinyanga kinalingana na Mchele wa bonde la Usangu?
Ya kwenu ni michembe tu na ugali wa udaga basi
Nenda Ifakara, Mpanda, Malagalasi, Kalema, Usangu basin sehemu zote hizi wakulima wakubwa wa mpunga ni Wasukuma.Kiasi kinacholimwa hapo Magu au kule Shinyanga kinalingana na Mchele wa bonde la Usangu?
Ya kwenu ni michembe tu na ugali wa udaga basi
Ukiona hivyo ujue ni hadithi ya kubuni.yaani haina ukweliMbona umefungua saana code,umejiweka wazi na
Kuamini ushirikina hapa wamebobeaKabila linajali sana ushirikina hili, kujazana kwa ndugu tena mwenye nafuu ya maisha ni jambo la kawaida kwao.
Ulonena ni kweli kabisa.