KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Bagamoyo imekuwa Bagamoyo, kisa, Kikwete alivunja ahadi ya ujenzi wa bandari Mwambani, Tanga.
Sasa makelele yanasikika kila sehemu kuhusu Bagamoyo, na hakuna anayekumbuka Mwambani ilikuwaje?
Eleza, Mwambani haikuwa na vigezo ilivyonavyo Bagamoyo?
Ile bandari itapitisha bidhaa za Uganda, Rwanda, hadi DRC, kama inavyoweza kufanya Bagamoyo, tena kwa umbali wa karibu zaidi.
Tuiache Dar ihudumu bila mwingiliano. Jenga Mwambani, achana na Bagamoyo.
Sasa makelele yanasikika kila sehemu kuhusu Bagamoyo, na hakuna anayekumbuka Mwambani ilikuwaje?
Eleza, Mwambani haikuwa na vigezo ilivyonavyo Bagamoyo?
Ile bandari itapitisha bidhaa za Uganda, Rwanda, hadi DRC, kama inavyoweza kufanya Bagamoyo, tena kwa umbali wa karibu zaidi.
Tuiache Dar ihudumu bila mwingiliano. Jenga Mwambani, achana na Bagamoyo.