Kabla ya Bagamoyo, Palikuwepo na mpango wa Bandari ya Mwambani, Tanga

Kabla ya Bagamoyo, Palikuwepo na mpango wa Bandari ya Mwambani, Tanga

KalamuTena

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2018
Posts
13,187
Reaction score
17,167
Bagamoyo imekuwa Bagamoyo, kisa, Kikwete alivunja ahadi ya ujenzi wa bandari Mwambani, Tanga.

Sasa makelele yanasikika kila sehemu kuhusu Bagamoyo, na hakuna anayekumbuka Mwambani ilikuwaje?

Eleza, Mwambani haikuwa na vigezo ilivyonavyo Bagamoyo?

Ile bandari itapitisha bidhaa za Uganda, Rwanda, hadi DRC, kama inavyoweza kufanya Bagamoyo, tena kwa umbali wa karibu zaidi.

Tuiache Dar ihudumu bila mwingiliano. Jenga Mwambani, achana na Bagamoyo.
 
Bagamoyo imekuwa Bagamoyo, kisa, Kikwete alivunja ahadi ya ujenzi wa bandari Mwambani, Tanga.

Sasa makelele yanasikika kila sehemu kuhusu Bagamoyo, na hakuna anayekumbuka Mwambani ilikuwaje?

Eleza, Mwambani haikuwa na vigezo ilivyonavyo Bagamoyo?

Ile bandari itapitisha bidhaa za Uganda, Rwanda, hadi DRC, kama inavyoweza kufanya Bagamoyo, tena kwa umbali wa karibu zaidi.

Tuiache Dar ihudumu bila mwingiliano. Jenga Mwambani, achana na Bagamoyo.
Kwanini Wachina wanataka Bagamoyo na si wambani Tanga?
 
Mwambani ni wa serikali, bagamoyo ni uwekezaji (concession ya miaka 33) lakini pia tunakuwa na sheres tu. Ila tanga ni ya serikali. Ndio mjue tofauti

std six mmefungua shule leo nadhani

wahi shule, usije jukwaa hili kwa akili hizi za kitoto
 
Bagamoyo imekuwa Bagamoyo, kisa, Kikwete alivunja ahadi ya ujenzi wa bandari Mwambani, Tanga.

Sasa makelele yanasikika kila sehemu kuhusu Bagamoyo, na hakuna anayekumbuka Mwambani ilikuwaje?

Eleza, Mwambani haikuwa na vigezo ilivyonavyo Bagamoyo?

Ile bandari itapitisha bidhaa za Uganda, Rwanda, hadi DRC, kama inavyoweza kufanya Bagamoyo, tena kwa umbali wa karibu zaidi.

Tuiache Dar ihudumu bila mwingiliano. Jenga Mwambani, achana na Bagamoyo.
Wenyewe waliokwisha kula mlungula wa mchina wakikusikia watasema wewe ni msukuma. Njaa mbaya sana, hasa njaa ya mashindano tuuuuuuuuu
 
Mwambani ni wa serikali, bagamoyo ni uwekezaji (concession ya miaka 33) lakini pia tunakuwa na sheres tu. Ila tanga ni ya serikali. Ndio mjue tofauti
Mradi wa Bagamoyo haukuwa na mpango wa shares za Serikali, walioenda ku-negotiate walipewa chao kisha mwekezaji akapewa kila kitu: Tittle deed 99 years, no land rent, no property tax
 
..niliwahi kumsikia Rais Kikwete akisema kwamba mradi wa bandari ya bagamoyo uliletwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda baada ya kufanya ziara nchini China.

..tunatakiwa tujiulize kama tunahitaji bandari ya bagamoyo au la. kama tunaihitaji tuangalie option ya kujenga wenyewe, au kujenga kwa ubia na muwekezaji mwenye masharti mazuri.
 
niliwahi kumsikia Rais Kikwete akisema kwamba mradi wa bandari ya bagamoyo uliletwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda baada ya kufanya ziara nchini China
Mwache aendelee kutaja majina ya watu, ila ukweli unajulikana
 
Back
Top Bottom