imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kama haya anayoyaongelea Bwa.Kakoko ni ya kweli basi huo Mkataba ni wa OvyoMradi wa Bagamoyo haukuwa na mpango wa shares za Serikali, walioenda ku-negotiate walipewa chao kisha mwekezaji akapewa kila kitu: Tittle deed 99 years, no land rent, no property tax
View attachment 1750319
Ndugai kwenye hili la Bagamoyo kavuta mlungula