Missile of the Nation,
..Nakumbuka Magu alikuwa anasifia mpaka safari za nje ya Kikwete. Alipoingia madarakani akaanza kuziponda.
..Nakumbuka Magu alikuwa anasifia mpaka safari za nje ya Kikwete. Alipoingia madarakani akaanza kuziponda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi story ukute umekaa kwenye kikochi kwa mume wa dadako unatype tu ndi ndi ndi na kitecno chako na ukute muda huu shemeji yako kakupita hapo sebuleni. Yaan wabongo kwa kutunga story sijui shida nini. Kama huna kazi sema watu wakutafutie uache kuchukia waliokuzidi kipato.CONCESSION KWA VASCO DAGAMA YA KUMTOA MWANAE KUTOKA KWA WACHINA BAADA YA KUKAMATWA NA NGADA!!!
Hii sio njia bora ya kujadiliana jambo.Kwani mmekatazwa kujenga mwambani Tanga, haya nendeni mkajenge kwani shida iko wapi?
Mnaizungumzia bandari ya bagamoyo as if lengo ni bandari tu, wakati plan ya pale ni kuweka EPZ, ikiwemo mamia ya viwanda.
Lengo la bandari ya Bagamoyo kuwa karibu na Jiji kubwa linalochangia pato la Taifa kwa more than 70% hamuijui? —Bagamoyo ni extension ya jiji la Dar, na mji wa dar unakua kuelekea uelekeo huo!
Hata Magufuli ukimsikiliza kwenye video hii hapa chini anausifu mradi wa bandari ya bagamoyo na anamsifu Kikwete kwa kuuanzisha. Sasa Msgufuli kwa bahati mbaya alikuwa kigeugeu ni mtu wa ndimi mbili, baadae aligeuka!
View attachment 1752197
Hapa ndipo tunapopishana kati yetu.Kwa vile Magufuli alifanya yote yasiyokibalika bila kukemewa na chama chake wala kuzomewa na wananchi, sasa kuna watu watapenda kuiga na hasa ndani ya CCM. Kwa sababu wameona inawezekana kufanya maovu bila kichukuliwa hatua.
Lamu, wenzetu wametembeza bakuri ikashindikana, hakuna anayeweka hata senti tano...fedha tulizotapanya kujenga dodoma, na kununua midege toka kwa mabeberu, zingetumika vizuri kama zingeelekezwa kujenga bandari mpya ya Bagamoyo. Tusingelazimika kukubali masharti mabaya ya kinyonyaji toka kwa Wachina.
Cc Nguruvi3
kwani huo uwekezaji hauwezi kuhamia Tanga ?Mwambani ni wa serikali, bagamoyo ni uwekezaji (concession ya miaka 33) lakini pia tunakuwa na sheres tu. Ila tanga ni ya serikali. Ndio mjue tofauti
Hatuhitaji bandari ya Bagamoyo kabisa. Tena hatutaki kuisikia maana inavyoonekana mapema hivi ni dili la watu wachache tu. Tunaihitaji sana bandari ya Tanga ili ihudumie kwa ushindani kamili kanda ya kaskazini ya na kutoa ushindani wa kweli kwa bandari ya Mombasa..niliwahi kumsikia Rais Kikwete akisema kwamba mradi wa bandari ya bagamoyo uliletwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda baada ya kufanya ziara nchini China.
..tunatakiwa tujiulize kama tunahitaji bandari ya bagamoyo au la. kama tunaihitaji tuangalie option ya kujenga wenyewe, au kujenga kwa ubia na muwekezaji mwenye masharti mazuri.
Haiwezekani Bandari ya Tanga ni ya serikalikwani huo uwekezaji hauwezi kuhamia Tanga ?
Bandari ya Tanga ni ya serikali sio ya uwekezajiBila shaka. Bandari ya Tanga ni bandari ya asili kabisa hivyo hatutakuwa na kazi kubwa ya kuchimba kina cha bandari. Bandari ya Bagamoyo tutapata kazi kubwa ya kuchimba kina cha bandari hivyo kuingia gharama zisizo na msingi.
Turudi kwenye bandari ya Tanga tufanye kweli
Naskitika kusema mm na ww hatuna mamlaka juu ya maamuzi hayo, hiyo ni mamlaka ya viongozi.., mamlaka na haki tulionayo ni ya civil rights tu.Hatuhitaji bandari ya Bagamoyo kabisa. Tena hatutaki kuisikia maana inavyoonekana mapema hivi ni dili la watu wachache tu. Tunaihitaji sana bandari ya Tanga ili ihudumie kwa ushindani kamili kanda ya kaskazini ya na kutoa ushindani wa kweli kwa bandari ya Mombasa
Wao ni wawekezaji waulize Wana jibuKwanini Wachina wanataka Bagamoyo na si wambani Tanga?
Hata kuwekezwa ni chaguo. Unataka kuwekezwa WAPI? Na nani?Wao ni wawekezaji waulize Wana jibu
Ndio uwezo wako wa hoja . Na wewe unataka kuwa Rais na genge lenu. Mungu atusaidie.Pumbavu na wewe!
Hivi wewe umeshikishwa akili au ukuta maana hueleweki!Ndio uwezo wako wa hoja . Na wewe unataka kuwa Rais na genge lenu. Mungu atusaidie.
Acha uongoCONCESSION KWA VASCO DAGAMA YA KUMTOA MWANAE KUTOKA KWA WACHINA BAADA YA KUKAMATWA NA NGADA!!!
Vasco Dagama mwenyewe au ndugu yake? Mbwewe si huko huko kwa wakwere!Acha uongo
Jifunze kutumia lugha nzuri. Heshimu wengine.Hivi wewe umeshikishwa akili au ukuta maana hueleweki!
Aiseeee !Bagamoyo imekuwa Bagamoyo, kisa, Kikwete alivunja ahadi ya ujenzi wa bandari Mwambani, Tanga.
Sasa makelele yanasikika kila sehemu kuhusu Bagamoyo, na hakuna anayekumbuka Mwambani ilikuwaje?
Eleza, Mwambani haikuwa na vigezo ilivyonavyo Bagamoyo?
Ile bandari itapitisha bidhaa za Uganda, Rwanda, hadi DRC, kama inavyoweza kufanya Bagamoyo, tena kwa umbali wa karibu zaidi.
Tuiache Dar ihudumu bila mwingiliano. Jenga Mwambani, achana na Bagamoyo.