Kabla ya Good luck Gozbert kuchoma gari angeanza na kujiuliza maswali yafuatayo

Kabla ya Good luck Gozbert kuchoma gari angeanza na kujiuliza maswali yafuatayo

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
 
Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.
Heheh! WALOKOLE WA KUCHOVYA.

MAHUBIRI ya watumishi wengi Tanzania huwa yanawaruka waumini wao, Yaani wanamuweka muumini kama "Main character", Sterling wa muvi, Kwamba yeye muumini yuko perfect 100% ila wengine wote wanaomzunguka ndio wana matatizo(Wanafiki, wasengenyaji, wanamroga, wanamfitini, wanazuia mafanikio yake n.k).

Hivyo basi, Muumini akipata tatizo lolote, huwa anaanza kufikiria lile tatizo limesababishwa na mtu mwingine. Mfano, Biashara imeenda vibaya. badala ya kuwaza wapi alipokosea, kuongeza mbinu, huduma nzuri nk, Yeye moja kwa moja anaamini ni kuna mtu ndio kafanya biashara iende vibaya.

Watanzania wengi ni EDUCATED FOOLS.
 
Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I fell sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Subiri kwanza maisha ya mfunze
 
Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Taarifa muhimu hizi
 
Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Kuhusu gari ni kuchoma or kurejesha
Angeuza mngesema hana hela,angempa mtu hasa mwanamke mngesema malaya,kulikua na option 2 tu.
Kuchoma or kurejesha
 
Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Mpuuzi tuuu...amejiroga mwenyewee huyooo....sasa ndio kajiharibia kabisa atajuta maisha yoote
 
Back
Top Bottom