Kabla ya Good luck Gozbert kuchoma gari angeanza na kujiuliza maswali yafuatayo

Kabla ya Good luck Gozbert kuchoma gari angeanza na kujiuliza maswali yafuatayo

Mie ninachoshangaa ameenda kununuliwa gari na kachukuliwa nyota yake saivi anaongea unajua atairudishaje??
Sio rahisi. Humu watu kama yule mzee wapo wengi.

Ila unahela ni bossy nanistar unakuja kwa mshirikina kuchukua uchawi . Unakushinda unaanza kuongea watu nani alikutuma kwenda kula amini za waovu . Na umekabidhiwa text .
Mrudie Mungu wako
 
Mie ninachoshangaa ameenda kununuliwa gari na kachukuliwa nyota yake saivi anaongea unajua atairudishaje??
Sio rahisi. Humu watu kama yule mzee wapo wengi.

Ila unahela ni bossy nanistar unakuja kwa mshirikina kuchukua uchawi . Unakushinda unaanza kuongea watu nani alikutuma kwenda kula amini za waovu . Na umekabidhiwa text .
Mrudie Mungu wako
Na wewe bado dish lako halijatulia emu liweke sawa kwanza
 
Na wewe bado dish lako halijatulia emu liweke sawa kwanza
Nasema ukweli naumekasirika ndio zenu humu ndio maana siingiagi sana humu maisha yaendee mna chukuliaga wanawake nyota na kila kitu mmh tumeipitia
 
Gozbert usivunjike moyo mwanetu huku mbinguni tuna kuaminia Nipo na malaika Gabriel,Moses tuna play magoma yako daily
 
Samahani mkuu,
Hivi kuwa na management nzuri ni kutoboa?
Kuna wasanii wengi wamekuwa chini ya hizi managament na bado walikua watumwa!
Issue sio management issue mkataba wake na management yake ulikua unasemaje?

Contract kati ya msanii na management husika inasemaje? Muulize mkataba wake ulikua unasemaje? Hapo ndipo kwenye majibu

Hivi sijui mnaelewa hapo vizuri shida ndio inaanzia hapo mostly managed artists wanafanya kazi kubwa kwa ujira mdogo kwa investment ya kawaida kutoka kwa management zao ndio maana baadhi ya artists wanajitoa ila kwenye kujitoa wanalipa gharama kubwa sana maana mkataba anawalazimisha kufanya hivyo, umepiga kazi kampuni imeingiza minimum per annual million 100 kwa mfano kwenye million 100 wewe unapewa 10% sababu mkataba wako unasema hivyo wewe utapokea ujira huo kwenye mapato yote ya kampuni inayokusimamia hivi wewe unafanya kazi for fame au unafanya kazi in order to make progress & profit? Sometimes mpunguze lawama yes amekosea kwenye kuangalia mkataba wake and yes he learnt a lesson
 
Nasema ukweli naumekasirika ndio zenu humu ndio maana siingiagi sana humu maisha yaendee mna chukuliaga wanawake nyota na kila kitu mmh tumeipitia
Dish hili bovu kabisa friji lako litakua haligandishi
 
Ila angerudisha kiroho safi
Mganga wako yule unaempelekeaga kuku hua akishachukua kuku anakurudishia au ndio anakua ameshaenda nae km atamla kitoweo au atamuuza ili aingize pesa wewe hilo halikuhusu akiamua amtupe au amchome moto haikuhusu pia ni wa kwake sio wa kwako tena
 
Back
Top Bottom