Kabla ya Good luck Gozbert kuchoma gari angeanza na kujiuliza maswali yafuatayo

Kabla ya Good luck Gozbert kuchoma gari angeanza na kujiuliza maswali yafuatayo

Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Si alisema alikuwa ana Miliki Herrier kabla hajapewa Benz?
Acha uongo
 
Vijana wa mikoani wakifka dar wanachanganyikiwa na umaarufu na wengi huishia kubaya au kufilisika🤔
 
Good luck Gozbert ni kijana aliyekosa maono katika maisha yake binafsi.


Huyu jamaa anapewa Gari , anapewa Nyumba n.k ni baada ya yeye kuachana na Management yake ya mwanzo.


Kafanya Kazi nyingi sana kubwa Ila akashindwa kujijunulia Gari , akashindwa kuoa, akashindwa kujenga.

Baada ya management yake kuacahana alinyanganywa Accounts zake zote digital online ikiwemo YouTube.

Kosa kubwa ambalo amelifanya ni kukosa watu smart wa kumshauri nini hasa afanye.


Mziki unahitaji PESA, na uwekezaji mkubwa.


Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.


I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .


Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Sijamfatilia sana, lakini nimeitazama ile video siku anapewa gari na "nabii" aliulizwa kama ana gari au laa, akasema ana Harrier; sasa ukisema jamaa hajawahi kua na gari, I think humtendei haki. Again, huyu "nabii" imani yake imekua mbona inalalamikiwa na watu wengi sana? Mfatilie hata yule jamaa alishindaga BSS ya kina Salama Jabir, bwana mwinjilist Pascal, anamchanaga mara nyingi sana kwamba the guy sio mtumishi wa Mungu, Lema pia aliisha mchana sana kwamba ile imani ya huyo "nabii" is not Christianity. Again, Christina Shusho nae alivoendaga akapata mgao wa ile Tsh 10M, nae akakengeuka vibaya hadi kumuacha mumewe; hatujui mengi kuwahusu kina Gozibarti lakini imani ya "nabii" is too controversial
 
Sijamfatilia sana, lakini nimeitazama ile video siku anapewa gari na "nabii" aliulizwa kama ana gari au laa, akasema ana Harrier; sasa ukisema jamaa hajawahi kua na gari, I think humtendei haki. Again, huyu "nabii" imani yake imekua mbona inalalamikiwa na watu wengi sana? Mfatilie hata yule jamaa alishindaga BSS ya kina Salama Jabir, bwana mwinjilist Pascal, anamchanaga mara nyingi sana kwamba the guy sio mtumishi wa Mungu, Lema pia aliisha mchana sana kwamba ile imani ya huyo "nabii" is not Christianity. Again, Christina Shusho nae alivoendaga akapata mgao wa ile Tsh 10M, nae akakengeuka vibaya hadi kumuacha mumewe; hatujui mengi kuwahusu kina Gozibarti lakini imani ya "nabii" is too controversial
Eti nabii Mkuu
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi andika hivi, Gozbert ni nani yako? Unamlisha? Wewe ndo unayempa anachokitaka. Mungu wake ndo amemshauri hivyo.
Subiri akila mvua muende nae....kosa jinsi
 
Sasa ikiwa hauna management nzuri utawezaje kutoboa.

I feel sorry to this guy kuamini Kuwait kalogwa while the problems ni PESA .
Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Samahani mkuu,
Hivi kuwa na management nzuri ni kutoboa?
Kuna wasanii wengi wamekuwa chini ya hizi managament na bado walikua watumwa!
 
Nilichosikia tangu aanze msndja wake alikuwa mjanja kuliko yeye, anapewa less than 10% akawa anaona ni pesa huku meneja na mengineyo 90%

Kutoboa kwake ilikuwa kutojua anapigwa na meneja mlafi na mwizi wa yake.
 
Boss wake wa zamani ndo huyu huyu Kwa sasa anamdhamini Obby Alpha.
Sio kumdhamini ni anamsimamia kwa njia zile zile alizotumia kwa Gozbert sasa subiri mlio utakaotoka kwa huyo Obby unaemuona anamaana kuliko Goodluck Gozbert, Gozbert wherever you're we're here to support you wewe fanya uachie mangoma sisi tutaya-push, hii ni new era that's the meaning of burning the old one
 
Sasa obby alpha si atachoma nyumba!
Atajichoma mpaka yeye mwenyewe yaan unakaa na management ya kinyonyaji unafurahia? Jamaa sawa wamemtaitisha vibaya pasina kujua ila kabla ya yote sasa hivi afanye mambo kisheria zaidi na asiingie mikataba mibovu sababu ya njaa za muda mfupi huku management ikipiga mahesabu ya profit za miaka 100 na zaidi yaan nyimbo za Gozbert zitailipa previous management yake for the rest of their life as long as zinauzika kwenye digital platforms

Ahakikishe anapokua na management aangalie na yeye ananufaika vipi na mkataba sio manufaa ya miaka 2 au 3 aangalie miaka 50 mbele a kuendelea kazi yake ikiendelea kua kwa digital platforms watu wanastream wanalipa pesa yeye atanufaikaje au ndio hakuna atakachokipata na masuala yaende kisheria zaidi kuliko kua kinyume na hapo ajiweke karibu na wanasheria wazuri wa kuchunguza mikataba ya kazi zake kabla hajatia sahihi yake maana mbele kunaweza kukawa kuna shimo lefu litakalo mfanya azame yeye akaweka sahihi kumbe ndio anajinyonga mwenyewe bila kujua
 
Nilichosikia tangu aanze msndja wake alikuwa mjanja kuliko yeye, anapewa less than 10% akawa anaona ni pesa huku meneja na mengineyo 90%

Kutoboa kwake ilikuwa kutojua anapigwa na meneja mlafi na mwizi wa yake.
You see this? Sasa hapa ndio wanasheria wanapokua na manufaa ya kukagua mikataba kandamizi km hii wewe huwezi ukafanya kazi kwa mkataba wa namna hio yaan unachukua 10 then management inakomba 90 nzima hio haikubariki kabisa that's nonsense, wanaomuona Gozbert hayupo sawa mimi nawashangaa maana naona km amepata mwamko ndani yake kujisimamia yeye anafanya kazi ile ni kazi ukiondoa huduma
 
Mpuuzi tuuu...amejiroga mwenyewee huyooo....sasa ndio kajiharibia kabisa atajuta maisha yoote
Utaanza kujuta wewe na ukoo wako nyinyi ndio wale wachawi aliokua akiwaona kwenye lile gari ndio maana kalipiga kiberiti haya nendeni mkaroge kwengine
 
Back
Top Bottom