Uchaguzi 2020 Kabla ya hii miaka mitano haijaisha, uwezo wa Mungu utakuwa umejidhirisha kwa wanaotuhumiwa kuhujumu uchaguzi

Uchaguzi 2020 Kabla ya hii miaka mitano haijaisha, uwezo wa Mungu utakuwa umejidhirisha kwa wanaotuhumiwa kuhujumu uchaguzi

Status
Not open for further replies.
Si lazima iwe leo au kesho kama unavyofikiri wewe.
Hata wewe keshokutwa unaweza kutokuwapo katika hii dunia sasa kwani una mkataba na mungu?
Unaweza kutangulia kabla ya huyo unaedhani.
 
Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii mitano.

Hint: Mungu ataonyesha kuwa yeye ndio mpangaji na mwamuzi wa kila kitu na kwamba kisicho riziki hakiliki na zaidi riziki ya mtu haipotei.

Kuna wakati unakuja tutaanza kuwahurumia hawa watu na wakati huo huo Mungu atakuwa ametoa soma kwa dunia nzima kupitia Taifa letu.

Tukumbuke pia Mungu huwa na makusudi kwa kila jambo -- huruhusu mambo au matukio fulani yatokee ili aje adhihirishe utukufu wake.

Hifadhi hii thread kwa ajili ya kuja kufanya reference wakati utapofika/matukio yakianza kujitokeza.

Time will tell.
Wameanza kupukutika mkuu
 
Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii mitano.

Hint: Mungu ataonyesha kuwa yeye ndio mpangaji na mwamuzi wa kila kitu na kwamba kisicho riziki hakiliki na zaidi riziki ya mtu haipotei.

Kuna wakati unakuja tutaanza kuwahurumia hawa watu na wakati huo huo Mungu atakuwa ametoa soma kwa dunia nzima kupitia Taifa letu.

Tukumbuke pia Mungu huwa na makusudi kwa kila jambo -- huruhusu mambo au matukio fulani yatokee ili aje adhihirishe utukufu wake.

Hifadhi hii thread kwa ajili ya kuja kufanya reference wakati utapofika/matukio yakianza kujitokeza.

Time will tell.
Kunywa maji upunguze stress za maisha yako!
 
Magufuli hakufaa hata kuwa mwenyekiti wa kijiji , nchi imekwama kibwege sana !
Sema umekwama wewe! Kila ufanyacho unafeli ulikuwa unamsema vibaya Mh. Tulia lakini sasa ni Naibu Spika tena, Ndugai ni Spika tena na Rais Magufuli anaendelea kupeta tu!
 
Hakuna mtu anateseka magu ni Mtanzania mwenzetu japo inasemekana ni waraia wa asili ya nchi jirani,hilo sio tatizo kwani waTanzania walio wengi tumetokea misitu ya Congo.
kama mTanzania ana haki zote tokea kuwa balozi wa nyumba kumi hadi raisi,sioni sababu ya mtu kusema anachukiwa,mshituko tunaokwenda nao na mtiririko ni namna gani viongozi wa Tanzania wanapatikana,
Je njia wanazopatia uongozi ni sahihi ? Sheria na kanuni tulizojiwekea zinafuatwa ? Ni kitu ambacho ilitakiwa tuwe mfano kwa jumuia za kimataifa ,WaTanzania ni watu wa amani sana sana na ni wavumilivu na wala sio waoga ,wanaamini kuna maisha baada ya uchaguzi.

Tanzania kwa nini tunashindwa kufuata simple rules za uchaguzi tulizojiwekea na kwa nini yanatokea mauaji ndani ya siku mbili tu za uchaguzi ,jambo gani linapelekea kufikia huko ? Watu wanapigwa wanaumizwa wanauliwa ! sababu nini uchaguzi wa siku moja tu ,tunaumizana ,hakuna ulazima w nani ni lazima awe kiongozi kwani wananchi wakiachiwa wachague na wakachagua ndio uhuru wenyewe kama waliemchagua hakufaa watamchagua mwengine .

Inaposemwa taratibu na mizengwe imetumika na ushahidi na malalamiko kila kona, ichunguzwe na kama ikithibitika waliohusika wachukuliwe hatua.

baada ya kampeni zilizogharimu mabilioni halafu yanatokea matatizo ,ukiangalia sijui kuteuliwa,kupitishwa fomu imekosewa haya ni mambo yanayoweza kurekebishwa na ndio sababu ya kuwepo tume ya kusimamia uchaguzi,yote yanarekebishika,kuliko kusema unamuondoa kwa sababu sehemu ya mke ameandika mume ,tarehe imekosewa,haya au hizi ndio sababu zinaweka kasoro ukiongeza na pingamizi ,haya yarekebishwa kitu pingamizi kiondolewe kabisa,tume ihusike kurekebisha kasoro hizo.

Uchaguzi uwe free and fair ,mi naamini hata bila ya mizengwe Magufuli angeweza kushinda hata kwa kura moja,hakuna sababu ya kudanganyana sijui ameshinda kwa asilimia 90, Zanzibar kule utumbo mtupu ni aibu na inawatia kasoro hao walioshinda na ni aibu,japo wanajikaza kisabuni,

Tuweni na maendeleo katika usimamiaji wa uchaguzi.polisi majeshi wote washirikishwe kikamilifu kuona haki na amani inatendeka, Tume ikubalike na kila mmoja wetu ,kampeni za kistaaarabu bila ya mtu mmoja kupigwa mabomu au kuzuiwa.

Leo viongozi wameshinda lakini kilichowatia simanzi ni mauaji yasio ya lazima hivi ndio mauaji haya yatawasaidia ,hivi mauaji haya yamesaidia wao kuwepo madarakani ? Nionavyo hayakuwasaidia hata kidogo wala hayahusiki na ushindi wao.

Mnataka kusema kuwa Magufuli na Mwinyi wameshinda kwa sababu maadui wao wameuliwa ? Waliokufa ni raia masikini just na wao wakishiriki katika mihemko ya uchaguzi .

Je kuna polisi yeyote alipigwa jiwe la kichwa na kumwagika damu ?
Haya mazuri yote unayotamani yawepo Tanzania, yamesheheni sana tu, sema mmejifunza muda mrefu kutazama mambo kwa jicho la "tea-sir" la KUPINGA "killer key-two," ndiyo maana weusi na gizagiza na utusitusi ni second necha ya mawazo na maneno yenu. Njooni, ulimwengu uko huku!
 
Magufuli hakufaa hata kuwa mwenyekiti wa kijiji , nchi imekwama kibwege sana !
Adui yako akiku-sea-fu sana na "chicken-shangilia" jiulize tena umekosea wapi. Akikukosoa na kukupinga, endelea hivyohivyo bila kubadili kasi, welekeo na approach.
 
Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii mitano.

Hint: Mungu ataonyesha kuwa yeye ndio mpangaji na mwamuzi wa kila kitu na kwamba kisicho riziki hakiliki na zaidi riziki ya mtu haipotei.

Kuna wakati unakuja tutaanza kuwahurumia hawa watu na wakati huo huo Mungu atakuwa ametoa soma kwa dunia nzima kupitia Taifa letu.

Tukumbuke pia Mungu huwa na makusudi kwa kila jambo -- huruhusu mambo au matukio fulani yatokee ili aje adhihirishe utukufu wake.

Hifadhi hii thread kwa ajili ya kuja kufanya reference wakati utapofika/matukio yakianza kujitokeza.

Time will tell.
Mungu huyuhyu aliehalalisha Africa kua bara la kitumwa? Mungu huyuhuyu anaetuletea viongozi vuvuli wa Mzungu? Hakika ni heri tukatwe vichwa ili viote vingine vyenye mitzamo mbadala
 
Amerika na Ulaya wapinzani hawaonekani kuwa ni wahaini,vyama vyao vinaachiana kuongoza nchi hata kwa muhula mmoja inatosha,wanafanya siasa za kiutu
 
Dua kuku hili,afu ni kosa kubwa sana kumwona Mungu ni muuwaji wa wanadamu,umejuaje Mungu ndio kapanga utawala huu na una hakika gani hawapendi watawala?
 
Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii mitano.

Hint: Mungu ataonyesha kuwa yeye ndio mpangaji na mwamuzi wa kila kitu na kwamba kisicho riziki hakiliki na zaidi riziki ya mtu haipotei.

Kuna wakati unakuja tutaanza kuwahurumia hawa watu na wakati huo huo Mungu atakuwa ametoa soma kwa dunia nzima kupitia Taifa letu.

Tukumbuke pia Mungu huwa na makusudi kwa kila jambo -- huruhusu mambo au matukio fulani yatokee ili aje adhihirishe utukufu wake.

Hifadhi hii thread kwa ajili ya kuja kufanya reference wakati utapofika/matukio yakianza kujitokeza.

Time will tell.
I got same vision and I don't know why. God remember us.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Imani hata wewe unaweza kujiaminisha ni Mungu.
Sawa hata mie nikijiaminisha kuwa ni mungu ndio imani hiyo na tunaweza kujadili kuwa ni sahihi ama si sahihi ila ukileta habari za uthibitisho hapo hatujadili tena imani.

Kwa sababu kungekuwa na uthibitisho basi suala la Mungu lisingekuwa imani.
 
Hakuna mtu anateseka magu ni Mtanzania mwenzetu japo inasemekana ni waraia wa asili ya nchi jirani,hilo sio tatizo kwani waTanzania walio wengi tumetokea misitu ya Congo.
kama mTanzania ana haki zote tokea kuwa balozi wa nyumba kumi hadi raisi,sioni sababu ya mtu kusema anachukiwa,mshituko tunaokwenda nao na mtiririko ni namna gani viongozi wa Tanzania wanapatikana,
Je njia wanazopatia uongozi ni sahihi ? Sheria na kanuni tulizojiwekea zinafuatwa ? Ni kitu ambacho ilitakiwa tuwe mfano kwa jumuia za kimataifa ,WaTanzania ni watu wa amani sana sana na ni wavumilivu na wala sio waoga ,wanaamini kuna maisha baada ya uchaguzi.

Tanzania kwa nini tunashindwa kufuata simple rules za uchaguzi tulizojiwekea na kwa nini yanatokea mauaji ndani ya siku mbili tu za uchaguzi ,jambo gani linapelekea kufikia huko ? Watu wanapigwa wanaumizwa wanauliwa ! sababu nini uchaguzi wa siku moja tu ,tunaumizana ,hakuna ulazima w nani ni lazima awe kiongozi kwani wananchi wakiachiwa wachague na wakachagua ndio uhuru wenyewe kama waliemchagua hakufaa watamchagua mwengine .

Inaposemwa taratibu na mizengwe imetumika na ushahidi na malalamiko kila kona, ichunguzwe na kama ikithibitika waliohusika wachukuliwe hatua.

baada ya kampeni zilizogharimu mabilioni halafu yanatokea matatizo ,ukiangalia sijui kuteuliwa,kupitishwa fomu imekosewa haya ni mambo yanayoweza kurekebishwa na ndio sababu ya kuwepo tume ya kusimamia uchaguzi,yote yanarekebishika,kuliko kusema unamuondoa kwa sababu sehemu ya mke ameandika mume ,tarehe imekosewa,haya au hizi ndio sababu zinaweka kasoro ukiongeza na pingamizi ,haya yarekebishwa kitu pingamizi kiondolewe kabisa,tume ihusike kurekebisha kasoro hizo.

Uchaguzi uwe free and fair ,mi naamini hata bila ya mizengwe Magufuli angeweza kushinda hata kwa kura moja,hakuna sababu ya kudanganyana sijui ameshinda kwa asilimia 90, Zanzibar kule utumbo mtupu ni aibu na inawatia kasoro hao walioshinda na ni aibu,japo wanajikaza kisabuni,

Tuweni na maendeleo katika usimamiaji wa uchaguzi.polisi majeshi wote washirikishwe kikamilifu kuona haki na amani inatendeka, Tume ikubalike na kila mmoja wetu ,kampeni za kistaaarabu bila ya mtu mmoja kupigwa mabomu au kuzuiwa.

Leo viongozi wameshinda lakini kilichowatia simanzi ni mauaji yasio ya lazima hivi ndio mauaji haya yatawasaidia ,hivi mauaji haya yamesaidia wao kuwepo madarakani ? Nionavyo hayakuwasaidia hata kidogo wala hayahusiki na ushindi wao.

Mnataka kusema kuwa Magufuli na Mwinyi wameshinda kwa sababu maadui wao wameuliwa ? Waliokufa ni raia masikini just na wao wakishiriki katika mihemko ya uchaguzi .

Je kuna polisi yeyote alipigwa jiwe la kichwa na kumwagika damu ?
Mkuu, wanalazimika kutumia figisu, hila, mizengwe, wizi, uonevu, utekaji, udanganyifu, rushwa, nk.. maana bila hayo, saivi likely wangekuwa ndo wapinzani
 
Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii mitano.

Hint: Mungu ataonyesha kuwa yeye ndio mpangaji na mwamuzi wa kila kitu na kwamba kisicho riziki hakiliki na zaidi riziki ya mtu haipotei.

Kuna wakati unakuja tutaanza kuwahurumia hawa watu na wakati huo huo Mungu atakuwa ametoa soma kwa dunia nzima kupitia Taifa letu.

Tukumbuke pia Mungu huwa na makusudi kwa kila jambo -- huruhusu mambo au matukio fulani yatokee ili aje adhihirishe utukufu wake.

Hifadhi hii thread kwa ajili ya kuja kufanya reference wakati utapofika/matukio yakianza kujitokeza.

Time will tell.
Amen, na iwe hivyo
 
..huwa ninajiuliza....hivi wakiacha chaguzi zikafanyika kwa haki na wakapatikana watu kwa haki shida iko wapi?...mbona nchi nyingi tu za kiafrika kama malawi wamefanya chaguzi za haki na viongozi wamepatikana na maisha yanaendelea...watu wanakua na raha gani kuwadhulumu wenzao haki zao??....hii kitu inachangia sana waafrika kurudi nyuma...maana unawatawalaje watu wanaojua umewadhulumu....yani kwanini tuliwakataa wakoloni weupe wakati nasi tunafanyiana yale yale tuliyoyakataa wakati wa ukoloni??
 
Kama ni hivyo basi africa ingekuwa powerful continent.
Africa isingekuwa masikini hata.
Wakoloni wasingetufanya watumwa.

Pia kikubwa waafrika wasingekuwa na ufahamu uliodumaa au Ujinga.
 
Kama ambavyo uwezo na maajabu ya Mungu yamejidhihirisha katika tukio la Lissu kupigwa risasi na yote yaliyofuata baada ya hapo mpaka anakuja kugombea uraisi, ndivyo ambavyo uwezo na Mungu utajidhirisha kwa wale wote wanaotuhumiwa kuhujumu huu uchaguzi na hii itakuwa ni ndani ya miaka hii mitano.

Hint: Mungu ataonyesha kuwa yeye ndio mpangaji na mwamuzi wa kila kitu na kwamba kisicho riziki hakiliki na zaidi riziki ya mtu haipotei.

Kuna wakati unakuja tutaanza kuwahurumia hawa watu na wakati huo huo Mungu atakuwa ametoa soma kwa dunia nzima kupitia Taifa letu.

Tukumbuke pia Mungu huwa na makusudi kwa kila jambo -- huruhusu mambo au matukio fulani yatokee ili aje adhihirishe utukufu wake.

Hifadhi hii thread kwa ajili ya kuja kufanya reference wakati utapofika/matukio yakianza kujitokeza.

Time will tell.
Mwaka 2015 ulibwabwaja hivyo hivyo! Ngoma hadi 2025!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom