Kabla ya kufika Mizani ya Mikese, Morogoro kuna foleni kubwa sana, msaada kutoka kwa mamlaka

Kabla ya kufika Mizani ya Mikese, Morogoro kuna foleni kubwa sana, msaada kutoka kwa mamlaka

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Foleni hii ya Mizani ya Mikese Mkoani Morogoro imesababisha magari yanayotoka Dar es Salaam kuwa na foleni kama kilometa 10 nyuma, pia kutoka Mikese kuelekea Dodoma kama Kilometa 10 pia kuna foleni.

Magari yaliyotoka Dar es Salaam asubuhi ya saa 12 leo tarehe 14 Mei 2023 yamefika Dodoma saa 10 Jioni badala ya saa saba Mchana.

Magari yanayoenda Bukoba, Kigoma, Mwanza, Musoma, Tabora Singida n.k, ndo yameanza kufika Dodoma saa kumi badala ya saa saba mchana.

Mpaka muda huu foleni na inaenda kidogo kidogo sana.

1.jpg

2.jpg

4b8e0da0-9bf5-41f5-9b75-13f7966a5b2a.jpg
374bcb93-a1e1-4841-9f33-3ab04e5678af.jpg
 
Poleni, Ingawa Hiyo Njia Ni Kuu Bila Shaka Kuna Tatizo Sehemu
Serikali Sasa Iharakishe Express Way Mpaka Makunganya
 
Mzani wa kizamani alafu mibovu, hata hapo vigwaza ni mitihani mitupu
 
Mzani wa kizamani alafu mibovu, hata hapo vigwaza ni mitihani mitupu
Rushwa Ndugu na Mizengwe!! Kwani hiyo mizani Bei Gani!? Vijana waliopo Kwenye mizani wanajiona wameyawini Maisha, wanafanya changeover huwa si pungufu ya masaa matatu!! Watu hawana pa kulalamikia ila ni KERO sana!!
 
Mwaka 2017 nilimshauri bwana yule kufunga matumizi ya mzani wa Mikese kwa kuwa matumizi ya mzani uliopo katika mkoa wa Pwani na ule wa Kihonda na Mikumi tayari ilikuwa inakidhi mahitaji ila kwa 'ujeuri' wake, akapuuzia. Endeleeni kuisoma namba ..
 
Mwaka 2017 nilimshauri bwana yule kufunga matumizi ya mzani wa Mikese kwa kuwa matumizi ya mzani uliopo katika mkoa wa Pwani na ule wa Kihonda na Mikumi tayari ilikuwa inakidhi mahitaji ila kwa 'ujeuri' wake, akapuuzia. Endeleeni kuisoma namba ..
Sahizi yupo mwingine tena mama toa ushauri upya.
 
Foleni hii ya Mizani ya Mikese Mkoani Morogoro imesababisha magari yanayotoka Dar es Salaam kuwa na foleni kama kilometa 10 nyuma, pia kutoka Mikese kuelekea Dodoma kama Kilometa 10 pia kuna foleni.

Magari yaliyotoka Dar es Salaam asubuhi ya saa 12 leo tarehe 14 Mei 2023 yamefika Dodoma saa 10 Jioni badala ya saa saba Mchana.

Magari yanayoenda Bukoba, Kigoma, Mwanza, Musoma, Tabora Singida n.k, ndo yameanza kufika Dodoma saa kumi badala ya saa saba mchana.

Mpaka muda huu foleni na inaenda kidogo kidogo sana.

Nilitoka Dar saa 6:00 kamili mchana nimefika saa 12:30 jioni! Gari za kutoka Moro kwenda Dar zitakuwa zilifika zaidi ya saa sita usiku.
 
Foleni hii ya Mizani ya Mikese Mkoani Morogoro imesababisha magari yanayotoka Dar es Salaam kuwa na foleni kama kilometa 10 nyuma, pia kutoka Mikese kuelekea Dodoma kama Kilometa 10 pia kuna foleni.

Magari yaliyotoka Dar es Salaam asubuhi ya saa 12 leo tarehe 14 Mei 2023 yamefika Dodoma saa 10 Jioni badala ya saa saba Mchana.

Magari yanayoenda Bukoba, Kigoma, Mwanza, Musoma, Tabora Singida n.k, ndo yameanza kufika Dodoma saa kumi badala ya saa saba mchana.

Mpaka muda huu foleni na inaenda kidogo kidogo sana.

Mizani ya Mikese ilifungwa waliruhusu magari yapite bila kupimwa, hivyo haihusiki na foleni kwani mengi yalikwama huku yakiwa yameipita mizani pande zote mbili.
 
Aaah! Mimi nimeshachoka na mambo ya nchi hii. Mniache nipumue! [emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji3][emoji3][emoji3] usichoke ni nchi yako nawe bado unaishi tena humu humu Tanganyika, toa ushauri tu.
 
Back
Top Bottom