Kabla ya kumkosoa Rais Samia, tumuombe radhi kwanza Hayati Mkapa na familia yake na washauri wake

Case ya mabenki ni tofauti. Na kimsingi ndio imekuwa mfano wa kile kinachotakiwa kitokee kwa bandar. Mabenki hayakuwa mamlaka za serikali. Zilikuwa kampuni za serikali. Bandari siyo kampuni.
Halafu, Hamza Johari ni kilaza kile jamani? Yaani anajitokeza hadharani kwamba yeye ndio alikuwa mwenyekiti wa timu ya majadiliano ya mkataba au makubaliano haya ya kipumbavu? Bila aibu. Alipewa nini huyu Hamza Johari? Miaka ijayo afanyiwe life style audit huyu.
 
Mimi Mkristo na Mkatoliki naunga mkono mkataba huu. Una lingine?
 
Privatisation ya rais Mkapa haiwezi kuwa success story ya kuleta wakati mashirika mengi yalikufa, viwanda viligeuka magofu nchi ikaanza upya.

Mbona tunataka kugawa lango la uchumi kwa competitor wetu katika bandari?

Hatupaswi kuwa wajinga kiasi hicho all the time.
 
Soma uelewe sio kukurupuka tu.

Ni watu kama nyie ambao mnapigania watu kuliko future za vizazi vijavyo ndio mnanifanya hata siasa za nchi hii zinitie kinyaa.
Ungekuwa wa maana ungenionesha kitu gani nimekurupuka Ila kwa kuwa unadhani kila mtu ananyweshwa matamko kama dawa pasipo kuhoji ingredients zake ❌❌❌
 
The Boss = mama Samia. Umeongea!!!

Benki serikali ina hisa, sawa. Bandarini je?

Vipi kuhusu usalama wa Taifa letu?

Mbwiga wewe
 
Kwani kwenye huo mkataba kuna eneo lolote amepewa mwekezaji awekeze ili tujue benefits ?
Kama huwezi jua Benefits za Mkataba ndio uhayawani wenyewwe wa Mkataba. Mkataba wowote bila future accrued benefits is a simple definition of craziness.
 

Kwani hujui propaganda mkuu, watu wanashambulia watu badala ya hoja ili kuhakikisha kila anaepinga aonekane kama muonevu au dhalimu kwa kupitia victimization ya kikundi flani.

Na Mimi ninachoamini kuna kitu kinaendelea chini kwa chini, kwa nini huu mkataba ulio na makosa ya wazi uwekwe wazi tofauti na mingi tu tusioijua.

Mimi nipo na popcorn nikisubiria kuona ni nini kitaendelea
 
Sijui kama ataweza kukuelewa. Hili bandiko lichapishwe na kusomwa kwenye magazeti na television maarufu nchini. Sio bandiko la kawaida.
 
Mkuu uwekezaji tangia lini unakuwa na Ukomo? Dangote amejenga kiwanda kikubwa kule Mtwara, vipi ana ukomo wa uwekezaji kule?
 
Lini Lissu aliwahi kupongeza Mkataba wa Tanzania yetu?
 
Kwani kwenye huu mkataba kuna eneo amepewa mwekezaji ili awekeze hadi tujue mode of business na terms of agreement?
Kampuni ya DPWORLD Inakusudia kuwekeza kwenye nchi ya Tanzania tena kwenye mali asili za Tanzania siyo kwenye familia. Before you start any business you have to know the business, remember this is not a family business, in business there is also the entrepreneur and his environments and this is our main concern ,(mjasiriamali na mambo yanayomzunguka) kuna vitu vingi hapa ni somo refu kidogo
 
Walisema Mkapa kauza nchi, tukaendelea na maisha tukiamini nchi ishauzwa!
Mara nchi sijui ilikombolewa na nani tukasikia tena JK kauza nchi!
Na sasa tunaambiwa Samia anauza nchi!
Hata hawaeleweki hawa watu....
 
Lini Lissu aliwahi kupongeza Mkataba wa Tanzania yetu?
Apongeze au asipongeze haibadilishi ukweli kwamba huu mkataba wa bandari ni mbovu kuwahi tokea hapa nchini, pembeni ya ule wa The Belbase, ambao uliuza bandari za Tanganyika kwa wakoloni. Ila nafahamu hamuwezi kuelewe kwasababu wengi wenu mnapenda mno dini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…