Kabla ya kupeleka gesi yetu Kenya tutafakari kwanza kuhusu haya yafuatayo

Kabla ya kupeleka gesi yetu Kenya tutafakari kwanza kuhusu haya yafuatayo

Rostam aliwahi lalamika gesi yake kenya wanaikataa huku wakiipokea ya uarabuni.
Wakipata hii tutaona ule msemo usimwashe aliyelala.
 
Swali kuu kabisa la kujiuliza ni kama gesi inayozalishwa inatosheleza mahitaji ya ndani.
Kama haijatosheleza, hizo habari za kupeleka Kenya ni hadithi tu kama za Abunuwasi.
 
Wametaka kununua wakanyimwa? Dangote si ana kiwanda chake na anauziwa gesi?
Inaonekana hujui kufikiria sawasawa, hapa tunaongelea jitihada za serikali kupata hela, kutunza mazingira na kuinua quality ya maisha ya watu wake kwa kutumia gesi inayopatikana Tanzania. Yaani kama Kuna kiongozi haoni kama kutumia gesi kutaokoa misitu kukatwa huyo kiongozi hatufai. Mimi nataka kutumia gesi kupikia na kuendesha gari langu, Iko wapi?
 
Maadui wakubwa wa maendeleo ya nchi za kiafrika ni viongozi wao wanajiwaza wao na matumbo yao kwanza,
gesi yetu ni kama haija tufaidisha kabisa, Kila siku gesi ya kupikia inapanda bei, bei ya umeme imepanda, elfu 5 ilikua ni unit 42 zikashuka hadi 14 sasa hivi unapewa 10
Hapo hujagusa sekta nyingine kama ya maji nilishangaa Sana eti kigoma mjini walio karibu kabisa na ziwa Tanganyika Wana kaa hadi siku 7 bila maji, yani Kila sehemu ni upuuzi tuu

Mwanza kuna tatizo la maji, wakati ziwa Victoria lipo hapo hapo.
 
Kinacho tusumbua waTanzania wengi ni ujuaji tunapenda saana kudeal na vitu vilivyo nje ya uwezo wetu wa kifikira

Dunian nchi zote zinazozalisha nishati huuza nje ya nchi kwaajir ya kujipatia fedha za kigeni na mapato kiujumla sasa kuna shida gani Tanzania kuiuzia gesi kenya? Au kuna nchi gani dunian inayozalisha gesi kisha ikawa haifanyi exportation ya hyo gesi?

Swala la kenya kunufaika na gesi kuliko Tanzania pale itakapofika kenya hiki ni zaid ya kichekesho ni sawa na kusema Tanzania tunanufaika na mafuta kuliko muuzaji wetu Saudi Arabia,Unahitaj akili ndogo tu kuelewa kuwa muuzaji wa gesi ndio anaeamua bei ya kuuza na katu hawez kuuza bei sawa na ya ndani ya nchi hivo ni swala lililowaz kuwa bei ya gesi kenya itakuwa kubwa kuliko tz hivo kenya haiwez kuwa na advantage kwenye gharama za uzalishaji.

Kenya kutuuzia gesi ya kupikia kutokana na gesi yetu huu pia ni utoto sababu iko waz gesi inayoenda kuuzwa kenya ni gesi ya kawaida ambayo haijasindikwa hivo haiwez kutumika kwa matumiz ya kupikia bali kuendeshea mitambo na labda kuzalishia umeme pili unasahau kuwa plant kubwa ya kusindika gesi ambayo ndo hutumika kwa kupikia inajengwa Tanzania Lindi na kenya hakuna project kama hyo wala hawez kuwa nayo sababu initial cost yake ni kubwa saana na huwez kujenga hyo plant kama wewe sio gas producer na hata wakiforce kuijenga gesi yao itakuwa expensive kuliko yetu na hivo haitoweza kuuzika sokon hii ni sawa na kulangua ndizi bukoba Dsm afu ukaziuze tena Kagera.

Watanzania tuache uoga usiokuwa na sababu zozote za msingi kenya na Tanzania ndio superpowers wa East Africa hakuna namna yenye tunaweza kukwepana katika kufanya biashara pamoja, uchumi wa kenya ni advantage kubwa kwa uchumi wa Tanzania ni lazma tufaidike na soko la kenya kama ambavyo wao wananufaika na soko la Tanzania moja ya bidhaa ambayo ni game changer kwetu ni gesi na nilazma tuiuze kenya hatuna haja ya kuhangaika na masoko ya mbali wakati tunayo masoko ya jiran.
Mkuu unachokisema ni kweli lakini sio kweli ni maneno yaleyale ya tozo za miamala. Unachokisema ni sawa kama watanzania wangekuwa wamesambaziwa hiyo gesi nchi nzima na wanatumia gesi viwandani, kuzalisha umeme wa bei nafuu, kupikia, magari yao yanatumia ges badala ya diesel. Lakini mpaka Sasa ni zaidi ya miaka 20 Tanzania Ina gesi lakini watanzania wanatumia umeme ghali kuzalisha bidhaa, wanapikia mkaa na Kuni na wananunua mbolea kutoka nje. Wewe unadhani Kenya ni wazembe wa kiasi hiki?

Urusi inasafirisha gesi kwenda Ulaya lakini warusi wahatumia Kuni Kuni kupikia majumbani, hii ni tofauti sisi ambao tutasafirisha gesi nje wakati sisi wenyewe tukiwa bado tunatumia mkaa kupikia.

Wakenya wataichakata hiyo gesi na kuwauzia umeme, gesi ya viwandani, bidhaa nafuu za viwandani Sudani kusini, somalia na Ethiopia faster na kupata faida mara 12 ya sisi wenye gesi.

Hapa sisemi kuwa gesi isiuzwe nje bali ninachokisena ni Tanzania kuitumia gesi hii zaidi kuliko wengine katika uzalishaji bidhaa, kulinda mazingira na kwa kilimo hata kabla ya kuwauzia majirani zetu.
 
Mwanza kuna tatizo la maji, wakati ziwa Victoria lipo hapo hapo.
hii [emoji115]inafikirisha sana.

kama wananchi waliozungukwa na ziwa baada ya miaka 60 ya uhuru awana maji safi na salama basi swala la gesi kusambazwa mikoani tusahahu.
 
Kinacho tusumbua waTanzania wengi ni ujuaji tunapenda saana kudeal na vitu vilivyo nje ya uwezo wetu wa kifikira

Dunian nchi zote zinazozalisha nishati huuza nje ya nchi kwaajir ya kujipatia fedha za kigeni na mapato kiujumla sasa kuna shida gani Tanzania kuiuzia gesi kenya? Au kuna nchi gani dunian inayozalisha gesi kisha ikawa haifanyi exportation ya hyo gesi?

Swala la kenya kunufaika na gesi kuliko Tanzania pale itakapofika kenya hiki ni zaid ya kichekesho ni sawa na kusema Tanzania tunanufaika na mafuta kuliko muuzaji wetu Saudi Arabia,Unahitaj akili ndogo tu kuelewa kuwa muuzaji wa gesi ndio anaeamua bei ya kuuza na katu hawez kuuza bei sawa na ya ndani ya nchi hivo ni swala lililowaz kuwa bei ya gesi kenya itakuwa kubwa kuliko tz hivo kenya haiwez kuwa na advantage kwenye gharama za uzalishaji.

Kenya kutuuzia gesi ya kupikia kutokana na gesi yetu huu pia ni utoto sababu iko waz gesi inayoenda kuuzwa kenya ni gesi ya kawaida ambayo haijasindikwa hivo haiwez kutumika kwa matumiz ya kupikia bali kuendeshea mitambo na labda kuzalishia umeme pili unasahau kuwa plant kubwa ya kusindika gesi ambayo ndo hutumika kwa kupikia inajengwa Tanzania Lindi na kenya hakuna project kama hyo wala hawez kuwa nayo sababu initial cost yake ni kubwa saana na huwez kujenga hyo plant kama wewe sio gas producer na hata wakiforce kuijenga gesi yao itakuwa expensive kuliko yetu na hivo haitoweza kuuzika sokon hii ni sawa na kulangua ndizi bukoba Dsm afu ukaziuze tena Kagera.

Watanzania tuache uoga usiokuwa na sababu zozote za msingi kenya na Tanzania ndio superpowers wa East Africa hakuna namna yenye tunaweza kukwepana katika kufanya biashara pamoja, uchumi wa kenya ni advantage kubwa kwa uchumi wa Tanzania ni lazma tufaidike na soko la kenya kama ambavyo wao wananufaika na soko la Tanzania moja ya bidhaa ambayo ni game changer kwetu ni gesi na nilazma tuiuze kenya hatuna haja ya kuhangaika na masoko ya mbali wakati tunayo masoko ya jiran.
Sisi tuna gesi kwa miaka mingi Sasa lakini mpaka Sasa bidhaa zetu sokoni ni ghali kuliko au Zina bei sawa na bidhaa kutoka Kenya. Je, kama Kenya ikipata gesi bidhaa zao zitakuwa na bei gani kwenye soko la Tanzania, congo, Sudan, somalia, Uganda na Ethiopia?
 
Hakuna gas inapelekwa Kenya boss, zile ni porojo za kisiasa za miaka yote. Kuna makubaliano ya kuanzisha sarafu ya pamoja ya east Afrika, toka enzi Mwai Kibaki na Mkapa wakiwa maraisi, lakini hakuna lolote limetekelezwa hadi sasa! Kupeleka Gas Kenya haitapungua $2t, nani ana hizo pesa sasa hivi wakati hata gas yenyewe mikataba yake haieleweki?

Zile zilikuwa ni porojo za kufurahisha genge ili viongozi wapige imprest vizuri. Inshort ogopa story za viongozi matapeli.
$2t??? Unaijua $2t???
 
Inaonekana hujui kufikiria sawasawa, hapa tunaongelea jitihada za serikali kupata hela, kutunza mazingira na kuinua quality ya maisha ya watu wake kwa kutumia gesi inayopatikana Tanzania. Yaani kama Kuna kiongozi haoni kama kutumia gesi kutaokoa misitu kukatwa huyo kiongozi hatufai. Mimi nataka kutumia gesi kupikia na kuendesha gari langu, Iko wapi?
Kwani Kenya wanachukua gesi yote? Nani alitaka gesi akakosa kisa imeuzwa Kenya?
 
hii [emoji115]inafikirisha sana.

kama wananchi waliozungukwa na ziwa baada ya miaka 60 ya uhuru awana maji safi na salama basi swala la gesi kusambazwa mikoani tusahahu.
Gesi IPO miaka mingi saasa laki bei ya umeme Haina tofauti na zile za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na somalia. Wao wanapikia Kuni na sisi tunapikia Kuni kwa kiwango kilele.
 
hii [emoji115]inafikirisha sana.

kama wananchi waliozungukwa na ziwa baada ya miaka 60 ya uhuru awana maji safi na salama basi swala la gesi kusambazwa mikoani tusahahu.
Rahisi kwao ni tozo TU.
 
Sasa wewe umekatazwa kufanya hayo? Ni serikali ya Kenya ndio itazalisha hizo bidhaa?

Wewe umejenga kiwanda ukangimwa gas?

Ujinga na hofu za kipuuzi kama.hizi ndizo zinafanya hii Nchi iwe Mkiani kwenye Kila kitu licha ya kuwa na kila rasilimali..

Changamana na wenye uwezo Ili unifunze kwao vinginevyo ukijifungia utaishia kurithisha ujinga Kwa vizazi na vizazi..In fact tunatakiwa kufuta viza hapa EAC Ili tuweze kujifunza kwa wenzetu kuwa aggressive kwenye biashara nk badala.ya ulalamishi na mentality za kutegemea serikali.
Angalia taahira la akili hili hapa na mawazo ya kipumbavu kabisa.
Hao unaowakashifu kutofanya hayo, leo hii serikali hiyo hiyo inawanyang'anya hata hicho kidogo kwa jina la tozo na unyang'anyi mwingi mwingine, wewe huoni?

Siku zote akili yako ni ya ki'skunk, ki'skunk' tu kama lilivyo jina lako. Mawazo yako yanaacha harufu mbaya kila unapopita.
 
Kwa hiyo usipowauzia Kenya hiyo gesi ndio utakuwa umefaidikaje?

Si hata hizo bidhaa utazikosa au kuagiza nchi ya mbali kwa bei ghali zaidi?
Na je Watanzania wamepigwa marufuku kutumia hiyo gesi?

Una mentality ya kichawi sana, yaani kwa kuwa wewe umeshindwA kutumia maji kulima unakataa kumuuzia jirani yako ili wote mfe njaa??
Dah!

Kama huyo ana"'mentality' ya kichawi", ya kwako itakuwa ni ya kichawi kabisa. Ulishaona wapi mtu mwenye akili timamu akawa anamali za kuwafaidisha wengine huku yeye kwake akiwa ni hohehahe kabisa!
Hivi watu mnazo akili timamu za kutetea upumbavu wa mambo kama haya?
Huwezi kujiona kwamba umepungukiwa akili?
 
Angalia taahira la akili hili hapa na mawazo ya kipumbavu kabisa.
Hao unaowakashifu kutofanya hayo, leo hii serikali hiyo hiyo inawanyang'anya hata hicho kidogo kwa jina la tozo na unyang'anyi mwingi mwingine, wewe huoni?

Siku zote akili yako ni ya ki'skunk, ki'skunk' tu kama lilivyo jina lako. Mawazo yako yanaacha harufu mbaya kila unapopita.
Umeandika pumba,kasome na mkeo
 
Dah!

Kama huyo ana"'mentality' ya kichawi", ya kwako itakuwa ni ya kichawi kabisa. Ulishaona wapi mtu mwenye akili timamu akawa anamali za kuwafaidisha wengine huku yeye kwake akiwa ni hohehahe kabisa!
Hivi watu mnazo akili timamu za kutetea upumbavu wa mambo kama haya?
Huwezi kujiona kwamba umepungukiwa akili?
We ni mpumbavu sana, nilikupuuza ila bado upumbavu wako haujakuisha

Ni hivi siwezi kujibishana na mpumbavu kama wewe, gesi itauzwa Kenya hutaki kaandamane
 
Hii misukule ya mwendazake ipo empty kichwani kuliko hata nilivyodhani, ni matusi na makasiriko tu, hakuna hoja yoyote
Ndio maana hakuna ilichofaulu kwenye masuala ya welfare..

Tafuta popote pale kama unaweza Kuta Mwendazake anazungumzia masua nyetu kama haya na namna ya kuyatatutua.

Viongozi wanaojielewa tuu ndio wanaweza toa statement kama hizi 👇 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-151351.png
    Screenshot_20221013-151351.png
    203.4 KB · Views: 3
Gesi IPO miaka mingi saasa laki bei ya umeme Haina tofauti na zile za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na somalia. Wao wanapikia Kuni na sisi tunapikia Kuni kwa kiwango kilele.
sijui viongozi wetu huwa wanafikiria nini mimi sijui kwakweli!
 
Back
Top Bottom