Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubarikiwe sana Mkuu,hatimaye sitoogopa tena,mi nikajua mwisho wa siku nitaishia kuoza menoAFAIK, Ugonjwa wa meno haumbukizwi isipokuwa husababishwa na bakteria ambao wapo kinywani kwa kila mtu. Kinachotokea ni kwamba hawa bakteria huwa wana uwezo wa kubadilisha mabaki ya vyakula hasa vile vyenye asili ya wanga na sukari kwenda kwenye aina fulani ya asidi ambayo ikizidi huweza kuleta madhara kwenye meno ikiwepo kutoboa. And these bacteria wapo kwa kila mtu differs in their nature and number, ndio maana unashauriwa kupiga mswaki mara kwa mara ili kupunguza wingi wa hawa bacteria na madhara ya asidi ambayo wanakuwa wametengeneza, so what affects our teeth is not these bacteria but the acid they produce, Hakuna bakteria ambae anaeweza kutoboa jino na ugumu wake, so brother don't get confused ugonjwa wa meno hauambukizwi kwa kisses wala nini. My advice watu wapige mswaki after every meal ili kuepuka harufu mbaya mdomoni na meno kutoboka. Kubwa kuliko sasa ili kusapoti mada tupige mswaki kwa sana maana kwa sasa kisses hasa hizi ''d*nda'' haziepukiki so you better uwe msafi ili usimkere bebe wako!
Naomba kuwasilisha.
XieXie
😂picha anayo mshamba_hachekwi
Kwa kiswahili Ahsante, kizungu Thank you, kihispania Gracious, kichina Xie xie, kisukuma.....au basiiiUbarikiwe sana Mkuu,hatimaye sitoogopa tena,mi nikajua mwisho wa siku nitaishia kuoza meno
[emoji28][emoji28]Kumbe kuna kunyonyana ndimi na kunyonyana lips!
Watu mnajua mapenzi![emoji848]
hAha ni kweli. mm nlipofika tu dar mamaye bada kupata ela kutoka sait nilienda kwa dakitar akakwangua sa hii meupe sina yale makokorikoNimekusoma lamama,
Wameru wengi wana flourosis, maji ya kule arumeru yana maflouride kama yote yaani
Unawaonea
Ila wakuu wenye yale meno aisee binafsi I kenti 😂😂😂Kwahiyo machalii wa R wasile mate?
Unazingua lamama
Spesho kesi hiyo, wacha walambane wao kwa wao.Nimekusoma lamama,
Wameru wengi wana flourosis, maji ya kule arumeru yana maflouride kama yote yaani
Unawaonea
Weeee hujakutana na meno ya gold yaliyoshindikana. Kwanza akicheka tu anapoteza some points, kukiss mbali.Kuoza na meno yenye rangi gold ni vitu viwili tofauti mkuu
Kaa jirani na Wameru, wamachame, waha, wahaya na waarusha.
😂🤣😁Weeee hujakutana na meno ya gold yaliyoshindikana. Kwanza akicheka tu anapoteza some points, kukiss mbali.