Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mimi kwangu mafanikio ni muunganiko wa mambo matatu.Lakini mbona wapo watu wengi ni wapagani hawamjuwi Mungu, hawahudhurii makanisani wala misikitini na bado ni matajiri wa kutupwa?
1.Uwepo wa watu sahihi waliokuzunguka.
2.Uwezo binafsi ama utayari.
3.Bahati ya mtu.
Hayo matatu ndio yanafanya watu wafanikiwe at most cases. Kusema Mungu ndio anawapa mafanikio watu wanaomuamini hilo sina hakika nalo sana maana kuna watu wanakufuru kinoma na ndio wana hela chafu. Mtu anamgonga mama yake mzazi kila mwezi.