Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Sasa si uweke na takwimu, yaani unapinga tu kama aliyekimbia umande.Sio Kweli..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si uweke na takwimu, yaani unapinga tu kama aliyekimbia umande.Sio Kweli..
Hicho chuma kwanza ukiona mchanga wake unaweza kukitambua kuwa hicho ni chuma? Kila jambo na wakati wake.Ni aibu na fedhea kwa nchi zetu za kiafrica.. Tuna rasilimali za kutosha ila tunategemea vitu ving kutoka kwa watu wanao beba rasilimali zwtu..
Sisi africa tumekali u dini tu... Kucha kutwa ni kuangaika na dini zilizoletwa na wao wenyeww..
Tanzania tuna chuma ya kutosha huko liganga.. Ila mpka leo hatujaanza kuvuna na chuma imegundulika toka karne ya 17... Sasa inawezekanaje sisi mpka leo tushindwe kuchimba chuma kama walivyochimba karne ya 17
It is a known fact, hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kuweka takwimu yoyote, unless uwe hujui kitu a.k.a kichwamaji. Huyo aliyesema Tanzania ina gesi nyingi kuliko Russia na Ukraine combined ndio alitakiwa kuweka ushahidi hapa na sio kuweka maneno matupu.Sasa si uweke na takwimu, yaani unapinga tu kama aliyekimbia umande.
America wamebugi sana kwenye hii vita, wangekuwa na akili wala wasingetaka kui-prolong iendelee kupiganwa kwa muda mrefu kwa kuendelea kuwapa silaha Ukraine. Walitegemea kuidhoofisha Russia, lakini mambo yamekuwa kinyume, ruble inazidi kupanda thamani na uchumi wa Russia kuimarika, mfumko wa bei kwenye nchi magharibi ni wa kutisha, yani kila kitu kimeparaganyika kwa sasa. Kwa jinsi wamarekani walivyo wabinafsi watataka hali iendelee hivyo tu kwa sababu ya interests zao.
Cha ajabu hata fikra za kujitawala na kulinda maliasili zetu kujitegemea watu wengi wanategemea fikra hizi watupe wazungu. Mtu akipata elimu kutoka nchi za magharibi tunamuona ndo kasoma. Akitokea mtu wa kutuamsha kiuzalendo, nidhamu kazini, uwajibikaji, kupambana na rushwa, wizi, vyeti feki, mishahara hewa, mtu huyo anaonekana adui.Ni aibu na fedhea kwa nchi zetu za kiafrica.. Tuna rasilimali za kutosha ila tunategemea vitu ving kutoka kwa watu wanao beba rasilimali zwtu..
Sisi africa tumekali u dini tu... Kucha kutwa ni kuangaika na dini zilizoletwa na wao wenyeww..
Tanzania tuna chuma ya kutosha huko liganga.. Ila mpka leo hatujaanza kuvuna na chuma imegundulika toka karne ya 17... Sasa inawezekanaje sisi mpka leo tushindwe kuchimba chuma kama walivyochimba karne ya 17
Na waarabu wamegoma amri ya US kuongeza uzalishaji mafuta ili bei ishuke kwani wao faida wanaitaka pia kipindi hiki ambacho bei iko juu. Political Economics...America wamebugi sana kwenye hii vita, wangekuwa na akili wala wasingetaka kui-prolong iendelee kupiganwa kwa muda mrefu kwa kuendelea kuwapa silaha Ukraine. Walitegemea kuidhoofisha Russia, lakini mambo yamekuwa kinyume, ruble inazidi kupanda thamani na uchumi wa Russia kuimarika, mfumko wa bei kwenye nchi magharibi ni wa kutisha, yaani kila kitu kimeparaganyika kwa sasa. Kwa jinsi wamarekani walivyo wabinafsi watataka hali iendelee hivyo tu kwa sababu ya interests zao.
Wahindi wametupa mradi mkubwa wa maji. Unafikiri wanatupa bure? Pengine ndo wanahitaji udhibiti wa chuma chetu wapate global economic position ya kuuza chuma dunianiChuma kilichopo Liganga kinatosha matumizi ya dunia nzima kwa zaidi ya miaka 100. Kiasi cha gesi iliyopo kwenye ardhi na bahari yetu inaizidi ile iliyoko Russia na Ukraine combined. Lakini tunajiona wanyonge kwenye dunia hii na kuendelea kuwa ombaomba wa dunia kama walivyo ndugu zetu na watani zetu Wagogo kwa akina Ndugae! Tuna maelfu kwa maelfu wa tembo wenye nzuri zenye thamani kubwa sana duniani ambazo tungaliweza kuwa tunazivuna bila kuwaua tembo (bali tunawapandikizia za bandia). Thamani ya pembe za tembo 100 kwa mwezi ingalituwezesha kuteremsha bei ya mafuta ya petroli hadi kufikia Sh buku moja au hata jero kwa lita!!!
Na fahamu pia kuwa Benki ya Urusi wanaidhibiti sana hiyo Rouble isipande zaidi kwaajili ya athari za export... Kupanda kwake kumewapa faida kubwa kwenye export ya bidhaa za nishati na mbolea. Ila wao wanasema ikipanda zaidi itaathiri ushindani wa export wa bidhaa nyingine kwenye soko la Dunia.. Ina Maana bidhaa za Urusi zitakuwa ghari zaidi kwa sababu ya thamani ya fedha hivyo kushindwa kushindana na bidhaa kutoka nchi shindani. Hivyo wanaidhibiti sana wao wenyewe isipande zaidi. Huo mchezo huwa anaucheza sana China ili bidhaa zake ziwe cheap zaidi kwenye soko la Dunia.Tarehe 1 January 2022 dola moja ya Marikani (USD) ilikuwa sawa na Rubles 77 za Russia. Baada ya vita kati ya Russia na Ukraine mwezi Februari 2022, Russia iliwekewa vikwazo (sanctions) lukuki za kiuchumi na dunia inayoongozwa na Amerika na nchi za Ulaya. Lakini leo nchi hizi zilizoweka vikwazo zinalia kwa njaa na mfumuko mkubwa wa bei ambao haujawahi kutokea tangu dunia hii iumbwe. Nchi hizi sasa zinabadili USD 1 kwa Rubles 55 ili kupata chakula na nishati kutoka Russia. Mara nyingi zinalazimika kupata vitu hivi kupitia kwa nchi janja za China na India.
Hii ndiyo maana ya nchi kumiliki rasilimali asili zake. Nchi zetu nyingi zimeshindwa kufanya hivyo. Utakuta nchi kama Nigeria yenye rasilimali kubwa ya mafuta ya petroleum, mafuta yake yote huenda ughaibuni na yenyewe kulazimika kuagiza mafuta yake kutoka Uarabuni kama sisi. Gesi ya LNG inayovunwa Mozambique yote huenda ughaibuni na wao kuambulia kiduchu. Yote haya yanatokea kwa sababu nchi hizi siyo wamiliki wa rasilimali hizi kufuatana na mikataba waliyowekeana na hizo nchi tajiri za ughaibuni.
Sisi mambo yakoje? Jee huo mkataba wa mradi mkubwa wa LNG unasemaje? Jee tumejipangaje kulisha dunia kwani tuna ardhi tele na mito tele ya umwagiliaji? Ardhi yenye rutuba na malighafi tele ya kutengeneza mbolea.
Ndio vzr unapigana Vita huku ukijuwa kbsa watu wako hawalali njaaHii vita imewafaidisha sana Urusi kiuchumi kuliko kuwaathiri hasa kutokana na vikwazo.
Tembo Tena kuwanyofo pembe zao hpn utapigwa Vita na dunia nnzimaChuma kilichopo Liganga kinatosha matumizi ya dunia nzima kwa zaidi ya miaka 100. Kiasi cha gesi iliyopo kwenye ardhi na bahari yetu inaizidi ile iliyoko Russia na Ukraine combined. Lakini tunajiona wanyonge kwenye dunia hii na kuendelea kuwa ombaomba wa dunia kama walivyo ndugu zetu na watani zetu Wagogo kwa akina Ndugae! Tuna maelfu kwa maelfu wa tembo wenye nzuri zenye thamani kubwa sana duniani ambazo tungaliweza kuwa tunazivuna bila kuwaua tembo (bali tunawapandikizia za bandia). Thamani ya pembe za tembo 100 kwa mwezi ingalituwezesha kuteremsha bei ya mafuta ya petroli hadi kufikia Sh buku moja au hata jero kwa lita!!!
ndicho alichopanga raid wa awamu ya kwanza walipoingia walipoingia viongozi wengine wakaamua kutuuzaHicho chuma kwanza ukiona mchanga wake unaweza kukitambua kuwa hicho ni chuma? Kila jambo na wakati wake.
Dunia haiishi leo kama hatuna teknolojia kwa sasa sio lazima tuchimbe, vizazi vijavyo watachimba. Kuliko kuwapa watu bure rasilimali zetu ni heri ziendelee kukaa ardhini. Sidi tuconcetrate na vitu ambavyo tuna comparative advantage huku tukijenga uwezo katika naeneo mengine.
Kwa mazingira haya ya sasa hakuna mkataba hata mmoja tutakaoingia ambao utaweka mbele maslahi ya nchi ila ya watu binafsi.
Mkuu,Tarehe 1 January 2022 dola moja ya Marikani (USD) ilikuwa sawa na Rubles 77 za Russia. Baada ya vita kati ya Russia na Ukraine mwezi Februari 2022, Russia iliwekewa vikwazo (sanctions) lukuki za kiuchumi na dunia inayoongozwa na Amerika na nchi za Ulaya. Lakini leo nchi hizi zilizoweka vikwazo zinalia kwa njaa na mfumuko mkubwa wa bei ambao haujawahi kutokea tangu dunia hii iumbwe. Nchi hizi sasa zinabadili USD 1 kwa Rubles 55 ili kupata chakula na nishati kutoka Russia. Mara nyingi zinalazimika kupata vitu hivi kupitia kwa nchi janja za China na India.
Hii ndiyo maana ya nchi kumiliki rasilimali asili zake. Nchi zetu nyingi zimeshindwa kufanya hivyo. Utakuta nchi kama Nigeria yenye rasilimali kubwa ya mafuta ya petroleum, mafuta yake yote huenda ughaibuni na yenyewe kulazimika kuagiza mafuta yake kutoka Uarabuni kama sisi. Gesi ya LNG inayovunwa Mozambique yote huenda ughaibuni na wao kuambulia kiduchu. Yote haya yanatokea kwa sababu nchi hizi siyo wamiliki wa rasilimali hizi kufuatana na mikataba waliyowekeana na hizo nchi tajiri za ughaibuni.
Sisi mambo yakoje? Jee huo mkataba wa mradi mkubwa wa LNG unasemaje? Jee tumejipangaje kulisha dunia kwani tuna ardhi tele na mito tele ya umwagiliaji? Ardhi yenye rutuba na malighafi tele ya kutengeneza mbolea.
Tarehe 1 January 2022 dola moja ya Marikani (USD) ilikuwa sawa na Rubles 77 za Russia. Baada ya vita kati ya Russia na Ukraine mwezi Februari 2022, Russia iliwekewa vikwazo (sanctions) lukuki za kiuchumi na dunia inayoongozwa na Amerika na nchi za Ulaya. Lakini leo nchi hizi zilizoweka vikwazo zinalia kwa njaa na mfumuko mkubwa wa bei ambao haujawahi kutokea tangu dunia hii iumbwe. Nchi hizi sasa zinabadili USD 1 kwa Rubles 55 ili kupata chakula na nishati kutoka Russia. Mara nyingi zinalazimika kupata vitu hivi kupitia kwa nchi janja za China na India.
Hii ndiyo maana ya nchi kumiliki rasilimali asili zake. Nchi zetu nyingi zimeshindwa kufanya hivyo. Utakuta nchi kama Nigeria yenye rasilimali kubwa ya mafuta ya petroleum, mafuta yake yote huenda ughaibuni na yenyewe kulazimika kuagiza mafuta yake kutoka Uarabuni kama sisi. Gesi ya LNG inayovunwa Mozambique yote huenda ughaibuni na wao kuambulia kiduchu. Yote haya yanatokea kwa sababu nchi hizi siyo wamiliki wa rasilimali hizi kufuatana na mikataba waliyowekeana na hizo nchi tajiri za ughaibuni.
Sisi mambo yakoje? Jee huo mkataba wa mradi mkubwa wa LNG unasemaje? Jee tumejipangaje kulisha dunia kwani tuna ardhi tele na mito tele ya umwagiliaji? Ardhi yenye rutuba na malighafi tele ya kutengeneza mbolea.
Ukiwa na akili ndogo utafikiri ni hivyo. Uchumi wa Russdia kwa mwaka huu tu wa 2022 utasinyaa kwa asilimia 15.America wamebugi sana kwenye hii vita, wangekuwa na akili wala wasingetaka kui-prolong iendelee kupiganwa kwa muda mrefu kwa kuendelea kuwapa silaha Ukraine. Walitegemea kuidhoofisha Russia, lakini mambo yamekuwa kinyume, ruble inazidi kupanda thamani na uchumi wa Russia kuimarika, mfumko wa bei kwenye nchi magharibi ni wa kutisha, yaani kila kitu kimeparaganyika kwa sasa. Kwa jinsi wamarekani walivyo wabinafsi watataka hali iendelee hivyo tu kwa sababu ya interests zao.
Hata sisi tukitaka leo tunaweza kuipandisha shilingi kwa dola. Ila kwa kufanya hivyo tutaumiza mno wananchi wetu. Tukiweka interest rate asilimia 30 pesa zote zitarudi benki na mahitaji ya kununua pesa za nje yatapungua mno maana tuitakuwa hatuagizi chochote toka nje.Biden alikuwa anakenua kuona jinsi ruble ilivyokuwa inaporomoka baada ya sanctions zao. Yule bastard sijui anajisikiaje sasa kuiona ruble imeimarika kuliko ilivyokuwa kabla ya sanctions!
Hakuna kitu kama hicho!Thibitisha kuwa Tanzania ina gesi nyingi kuliko Russia na Ukraine combined..
Au ulisikia kijiweni?
kwahiyoMsumbiji/Mozambique mradi wa LNG ndio upo kwenye utekelezaji bado hawajaanza kunufaika nao
Sio kweli ndugu yangu. Uchumi wa nchi haupimwi kwa kupanda au kushuka tu kwa fedha. Unapimwa kwa maisha ya kila mwananchi kwa nchi husika. Russia mwaka 2022 uchumi utasinyaa kwa asilimia 15. Unafikiri nini madhara yake kwa raia?Hii vita imewafaidisha sana Urusi kiuchumi kuliko kuwaathiri hasa kutokana na vikwazo.