Kabla ya vita USD 1 ilikuwa sawa na Rubles 77, sasa hivi ni sawa na Rubles 55. Tunajifunza nini kutokana na hali hii kama Taifa huru?

Kabla ya vita USD 1 ilikuwa sawa na Rubles 77, sasa hivi ni sawa na Rubles 55. Tunajifunza nini kutokana na hali hii kama Taifa huru?

Leo hii BOT ipandishe interest kwa asilimia 10 utaona kama shilingi haitapanda. Ila sasa maumivu kwa raia itakuwa balaa. Hiyo mikopo mtu analipa laki mbili kwa mwezi, atatakiwa kulipa laki nne.

Interest rate ni factor mojawapo ya ku control thamani ya pesa. Ukishusha interest thamani ya pesa inapungua kwasababu pesa nyingi zinakuwa mitaani. Ukipandisha interest pesa nyingi zinarudi bank na hivyo thamni yake inapanda.

Of course kuna factors zingine pia.

Kuna mambo unachanganya. Contractionary na expansionary measures lengo lake sio kupandisha na kushusha thamani ya currency!
 
Russia ameingia kwenye vita aliyokua hana sababu ya kuingia.
 
Hatujajiandaa kuendelea kabisa,miradi mingi mikubwa na ya kimkakati ya LCD's tena ya fedha za mikopo ina faida ndogo sana hasa afrika.
 
What you really confuse is thinking that Currency (Means of business exhange) = GDP(country economy/wealth)

Currency= means of mangoe to orange exchange
GDP = Economy measure.

Kenya ikitumia Kilometa na sisi tukatumia Mita haimaanishi umbali wa kenya ni mfupi kuliko Tanzania. Ni just the same KM 1= mita 1000


You lack economic skills.

Kupanda au kushuka kwa sarafu hakuhusiani na uchumi.

Just because rouble inapanda haimaanishi sasa GDP has to rise too.

Currency change is mainly driven na exchange rate katika Foreign exchange rate markets zenye rouble.


Russia ana sanctions. It means atakosa foreign currency ku boost economy.

Kwahiyo ameiambia central bank i restrict payments ya Oil na gas in $ na Euro na iwe in rouble tu.

Sasa kwakua mafuta ni commodity yenye demand sana kwahiyo sellers wanakua forced ku exchange their currencies into rouble.

Millions and billions of roubles zinanunuliwa ili wapate mafuta. This in turn ina rise rouble demand sasa sellers wa rouble wana rise exchange rate kwahiyo rouble inapanda thamani.

The real thing here ni kwamba GDP ikikua ina boost currency naturally na sio tpzo kwenye rouble.
 
Chuma kilichopo Liganga kinatosha matumizi ya dunia nzima kwa zaidi ya miaka 100. Kiasi cha gesi iliyopo kwenye ardhi na bahari yetu inaizidi ile iliyoko Russia na Ukraine combined.

Lakini tunajiona wanyonge kwenye dunia hii na kuendelea kuwa ombaomba wa dunia kama walivyo ndugu zetu na watani zetu Wagogo kwa akina Ndugae!

Tuna maelfu kwa maelfu wa tembo wenye nzuri zenye thamani kubwa sana duniani ambazo tungaliweza kuwa tunazivuna bila kuwaua tembo (bali tunawapandikizia za bandia). Thamani ya pembe za tembo 100 kwa mwezi ingalituwezesha kuteremsha bei ya mafuta ya petroli hadi kufikia Sh buku moja au hata jero kwa lita!!!
Weka ushahidi wa unayoandika. Kwamba reserve ya Chuma Leganga inatosha kulisha Dunia miaka 100? Dunia ilishindwa nini kuwekeza kama kuna reserve ya maana kiasi hicho?
 
Chuma kilichopo Liganga kinatosha matumizi ya dunia nzima kwa zaidi ya miaka 100. Kiasi cha gesi iliyopo kwenye ardhi na bahari yetu inaizidi ile iliyoko Russia na Ukraine combined.

Lakini tunajiona wanyonge kwenye dunia hii na kuendelea kuwa ombaomba wa dunia kama walivyo ndugu zetu na watani zetu Wagogo kwa akina Ndugae!

Tuna maelfu kwa maelfu wa tembo wenye nzuri zenye thamani kubwa sana duniani ambazo tungaliweza kuwa tunazivuna bila kuwaua tembo (bali tunawapandikizia za bandia). Thamani ya pembe za tembo 100 kwa mwezi ingalituwezesha kuteremsha bei ya mafuta ya petroli hadi kufikia Sh buku moja au hata jero kwa lita!!!
Toa takwimu tukuamini vinginevyo wewe ni chawa wa warusi!
 
Ni juzi ndiyo Coca Cola imetangaza kuondoka urusi?
 
Biden alikuwa anakenua kuona jinsi ruble ilivyokuwa inaporomoka baada ya sanctions zao. Yule bastard sijui anajisikiaje sasa kuiona ruble imeimarika kuliko ilivyokuwa kabla ya sanctions!
Daa ukilaza huu, Rubble imeimarika baada ya Russia kuweka shariti la Mafuta na gesi vinunuliwe kwa Rubble, Lakini uchumi wa Russia unayumba hatari Hadi juzi Putin aliwahasa Matajiri wasiondoke Russia
 
Daa ukilaza huu, Rubble imeimarika baada ya Russia kuweka shariti la Mafuta na gesi vinunuliwe kwa Rubble, Lakini uchumi wa Russia unayumba hatari Hadi juzi Putin aliwahasa Matajiri wasiondoke Russia

Ujuaji wako ni wa kijinga. Sabotage inakuwa countered kwa kupiga magoti na kumlilia Mungu?
 
Leo 1 USD = 54.0 RUB
Ni mwelekeo sasa wa RUB kuchukua nafasi ya USD kama currency of exchange ya dunia, ie petrol ruble badala ya petrol dollar.
 
Back
Top Bottom