Kabrasha chumba cha kunyongea

Huyo mzee mchawi si angetumia huo uchawi kutoroka sasa anaenda kuutumia kitanzini...hayo ni matumizi mabaya ya ndumba
 
Huyo mzee mchawi si angetumia huo uchawi kutoroka sasa anaenda kuutumia kitanzini...hayo ni matumizi mabaya ya ndumba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu apochunguzwa mwili wake alikuwa kafika kuleleni kwakuwa manii zilionekana kwenye pichu yake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji144][emoji144][emoji144][emoji30]
 
Daah
 
Hukumu mbaya kuwahi kutolewa ilimhusu George Stinney, kijana mdogo kabisa aliyehukumiwa kifo kwa makosa.. Alituhumiwa kumuua binti wa kizungu Lakini mwaka juzi nadhani ilithibitika kuwa hakuwa yeye muuaji...
Ni hukumu iliyoliza dunia... Ukiangalia video yake unaweza kuwachukia wazungu mpaka kifo chako
 
Mnyongwaji hana uamuzi wa
. gereza
. adhabu
. mnyongaji
Bali siku ya mwisho hupewa uchaguzi wa kula apendacho, kunywa apendacho, hata sigara (sio kubwa) hupewa kwa idadi ya kutosha.. Na hata nyimbo anaweza kupigiwa hata Nyegezi
Je, anaruhusiwa kukutana na mama njerekera faraghaa?
 
Siku ya kwanza leo naona unamtolea mtu povu[emoji23][emoji23][emoji23] kweli bwana mganga umechefukwa
Anaboa sana huyo mtoto, halafu hata umuonye vipi tena kwa upole kabisa hasikii.. Inafika mahali mtu uvumilivu unaisha[emoji35][emoji34][emoji35][emoji34]
 
Je, anaruhusiwa kukutana na mama njerekera faraghaa?
[emoji23][emoji23][emoji23]hapana wanaweza kupeana sumu ama anaweza kuamua ammalize mwenzake kwakuwa yatakuwa nje ya ulinzi kutokana na tendo lenyewe kuhitaji faragha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…