Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Ni swali zuri, linafanana na la kwanini tunaogopa serikali tatu?Yaani Pm anatuona sisi mambulula eti wameshalipia makinikia. Sasa kwanini wasitengeneza hayo madini hapa hapa kuleta ajira kwa vijana