Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
acha aende tanzania na watanzania tutaendelea kuwepo..
nasubiri polepole pia maana huwezi kung'ang'ania namna ileile ya kuongoza wakti muda wa uongozi huo ulishapita. wao waende tu watupishe..
 
Kuna watu wanapewa utukufu na heshima ambazo hawastahili kabisa kuwa nazo. Mfano mzuri ni huyu kabudi who is he by the way in this country?
 
Prof. Kabudi kwa nafasi aliyopo, kama alitoa ushauri wake kisheria kwa Samia juu ya ule mkataba wa hovyo wa bandari, halafu Samia akagoma kuufuata ushauri wake, badala yake akaamua kuwapa wajomba zake bandari zetu zote Tanganyika, kwa hilo nitaunga mkono Prof. Kabudi kujiuzulu.
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Masikini hana kiapo
 
Inawezekana ikawa ana huo mpango wa kutoendelea na Siasa lakini itakuwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Nimavyomfahamu hawezi kuacha kiinua mgongo cha kibunge cha milioni 250 kwasasa
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Kwa maana hiyo amekubali kurudi jalalani?
 
Huyu so called professor kabudi ni Mwongo, mwizi, even kamfananisha binadamu na Mungu (why he go so low ili kutetea njaa yake?),Taifa halitaku mic ukiondoka na pls go as yesterday
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Mimi nilishauri mapema sana mzee wetu huyu alitakiwa asikubali kuteuliwa kusogezwa Ikulu maana ndio 'fate' yake na heshima na hatima njema ilikuwa inaenda kupotezwa mazima. Mwingine ambaye hakiwi kujishughulisha na utawala huu ni Kalemani, Sabaya, Mpina,, Waziri mkuu Kasimu, Jenista Mhagama former DGIS, former speaker Ndugai, Makonda nk.
Kukaa kimya na msimamamo thabiti ni faida zaidi kuliko kutojulikana uko upande gani
 
Mzee alipambana kutetea juice ya Madagascar sanaa, tumtakie mafanikio mema baada ya kumaliza kukitumikia chama na serikali
 
Tunamwiita aje aseme mambo ya Mikataba na yeye amekuwa bubu. Mkataba wa Bandari umeandikwa kisheria , wabunge asilimia kubwa kama msukuma na kibaji hata lugha ya kisheria hawaijui halafu bado wamo wanashabikia tu kwamba mashine zinanfanya kazi, dubai wapewe.. ni ajabu sana akina Kabudi hawa kukaa kimya na ni maprofesa wa sheria. Kabudi, njoo uwakoe wantanzania , sheria ni fani yako na kodi za wananchi zimekufikisha hapo ulipo. Pay back time . Mwaga mbivu na mbichi tuelewane. Bandari tuendesje wenyewe, hayop mapungufu jazibwe na sisi wenyewe, sio kila kila muwekezaji....
 
Amekubali mwenyewe kutumika kiboya,Professor mzima unasemaje umeokotwa jalalani ilhali tunajua jalalani wanapatikana machokoraa.
Hivi wewe unazani mchezo kutoka kufundisha hadi kula Ikulu na unaenda kila ukitaka?. Kutoka kuongea na vyanafunzi hadi kumshauri kiongozi wa nchi sio mchezo. Jaribu uone.

Unazani mtu kama Makamu wa Rais hamkumbuki Mwamba kila mara?
 
Maisha yasiyokuwa na msongo wa mawazo ni mazuri zaidi; huzuia presha isiyokuwa na tija; ni maamuzi sahihi kama atafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom