Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania si watu wa kuropoka,kwa elimu aliyonayo anadhani apigi Consultancy service na kulamba midola.Bado vitabu na machapisho ya kisheria aliyoandika.Wewe ndio mwenye uelewa mdogo, kwa akili yako ndogo unadhani hajawekeza mpaka sasa? Hana chochote kinachomuingizia kipato nje ya siasa?.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa ule uwongo wake... angewekeza kwa mademu angewachapa sana!Tutamkumbuka kwa uwongo wake uliotukuka
JalalaniAkale wapi?
Kabudi is one of the best educated lawyer in Tanzania. He scored 5 As in one seating examinations while a law student at UDSM, a record which has never been challenged. He has spent solid 9 yrs at Berlin University persuing Law, one of the best universities on Earth!Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Kwa alipofikia ana mapesa yakutoshaAkale wapi?
Anarudi jalalani alipotokaAkale wapi?
Wapiga kura gani anawaaga, yeye alipewa ubunge na Magufuli. Angekuwa na ujanja huo asingekuwa mlamba miguu ya viongozi.Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Za kula tu anazo nyingi sana maana ukishakuwa mzee ni ugali wa dona au uwele na mboga mboga matunda kwa sana ! Na vyote hivyo unavipata kwa bei bwerere hapa Nchini !Akale wapi?
Ni mhadhiri Chuo kikuu by profession !! Sio mtu mdogo kwenye Nchi zilizoendelea zinazojitambua. !!Kuna watu wanapewa utukufu na heshima ambazo hawastahili kabisa kuwa nazo. Mfano mzuri ni huyu kabudi who is he by the way in this country?
huku kilosa hatupajui asili yao wala Jamaa zakeWapiga kura gani anawaaga, yeye alipewa ubunge na Magufuli. Angekuwa na ujanja huo asingekuwa mlamba miguu ya viongozi.
Je HATOKUA mwanachama mpya wa UP!!?Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Hujamsikia Lissu? Lile jitu limesoma kwelikweli! Limekaa shule Germany miaka 9 likisomaAkale wapi?
Hana jeuri hiyo mzee wa jalalani! Anavyotoaga ile mimacho yake na kulazimisha aaminike bila hoja kisa yeye profesa nilimdharau sana huyo mtu.... ni mtu wa hovyo na hana tofauti yoyote na washenzi wengine.Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.