Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Kwa afrika hilo sahau kabisa , mpaka afe au kama aliteuliwa atenguliwe
 
Atuambie kwanza zile boksi za dawa ya uviko iliyotoka nchini Madagascar zimeishia wapi🐒
 
Aachie tu kama hafurahishwi na samia mbona kinana aliachia kwa kumkwepa JPM
 
Kitendo chake Cha kipumbavu Cha kumuita mwendazake mungu hakita muacha salama.
Mnakumbuka Mwanri aliyekufuru akiwa Tabora?
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Atarudi Jalalani?
 
Hivi kama mshauri wa Rais, alishiriki kumshauri Rais juu ya Mkataba wa DP World? Naomba nijulishwe ili nianzie hapo na hizi tetesi.
 
Kwamba ana kitu..
Pengine hakusikilizwa ndio maana kaona bora ajitoe ili lawama zitapokuja baada ya miaka 10, awe na la kusema kuwa si sehemu ya serikali.
Halafu, nafikiri kaona ataisaidia sana Tanzania akienda Jalalani kwa kuwanoa wanafunzi baada ya kuongeza ujuzi serikalini na fitina za siasa. Hilo nalo ni somo kuu ambalo hakulipata kwa miaka yote akiwa jalalani.
 
Back
Top Bottom