Goodvision
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 858
- 467
Huku jalalani hatumtaki.Jalalani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku jalalani hatumtaki.Jalalani
Kwa uelewa wako huo wa kuvuka barabara ni sawa tuYule ana uwezo wa kulisha familia yako na yake miaka yote bila kutegemea chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa afrika hilo sahau kabisa , mpaka afe au kama aliteuliwa atenguliweTaarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Madagascar, sio ComorosMzee alipambana kutetea juice ya Comoro sanaa, tumtakie mafanikio mema baada ya kumaliza kukitumikia chama na serikali
Akale wapi?
Kwa uelewa wako huo wa kuvuka barabara ni sawa tu
Atakuja hapo Chademayeye kama nani? arudi tu jalalani alikotokea
Atarudi Jalalani?Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
🤣🤣Akale wapi?
Kwamba ana kitu..Hivi kama mshauri wa Rais, alishiriki kumshauri Rais juu ya Mkataba wa DP World? Naomba nijulishwe ili nianzie hapo na hizi tetesi.
Labda anataka arudi jalalani who knows?😆Akale wapi?
Pengine hakusikilizwa ndio maana kaona bora ajitoe ili lawama zitapokuja baada ya miaka 10, awe na la kusema kuwa si sehemu ya serikali.Kwamba ana kitu..
Duh,Mkuu lile Jabali la sheria za kimataifa likose ugali kweli!Akale wapi?