Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Atokomee jalalani
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Wewe nani wake hata uelewe fikra zake, mkewe?
 
Kuna watu wanapewa utukufu na heshima ambazo hawastahili kabisa kuwa nazo. Mfano mzuri ni huyu kabudi who is he by the way in this country?
Ni mwalimu wa sheria mahiri na amefundisha wanafunzi wengi hapa nchini. Unamdharau mtu afadhali hata yeye tunamtambua lakini wewe hata hatujui huo mchango wako.
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Sa100 kavuruga nchi, imemshinda aache ngazi
 
Kama ni kweli itakuwa kafanya jambo la maana sana ili kuepuka kuambukizwa dhambi isiyomhusu ya kuuza nchi.
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Aachie tuu Kwani Kuna shida gani?
 
Kabudi umekuja kupima maoni yetu haya sasa sikia wewe achia maana ni msomi uliyekengeuka
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."


" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Naona unamzungumzia 'Kabugi' mwingine, siyo yule tunayemfahamu, aliyeokotwa jalalani.

Katika binaadam wasiokuwa na 'principle' yoyote maishani mwao, huyu anashikilia namba ya juu sana katika orodha ya watu wa aina hiyo.

Kwa jinsi alivyokuwa akigiza "uzalendo" wakati wa Magufuli, huyu wakati huu asingekuwa kanyamaza kama bubu kwenye jambo muhimu kama hili. Hata kuonyesha tu alama bila kuzungumza chochote, watu wangeelewa anasimamia wapi!
Lakini yupo, kama hayupo vile!
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Acha porojo huyo mtaalamu wa jalalani anarudi jalalani kwake kwani hana manufaa yeyote kwa watu wenye akili timamu mwambie amfuate mwendazake kwani alikuwa ni mungu wake
 
acha aende tanzania na watanzania tutaendelea kuwepo..
nasubiri polepole pia maana huwezi kung'ang'ania namna ileile ya kuongoza wakti muda wa uongozi huo ulishapita. wao waende tu watupishe..
Utamsubiri sana wa kukupisha na hauta muona.
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Ni uhuru wake wa kikatiba. Kama matarajio hayakidhi kwanini aendelee.
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.

Mbona habari zako unatunga tu, na tetesi tu, acha kutunga uongo
 
Na ss hatukufurahishwa n wao na zama zao. Asepe mapema mbona anachelewa tu
 
Kwani ameshazimaliza zile senti alizopiga za Mikopo na Misaada ya Covid-19???

Ila mwamba anahitaji kuchongewa sanamu lake liwekwe "Makumbusho Ya Taifa" kumbukizi ya Waziri Muongo kuwahi kutokea tangu nchi ilivopata Uhuru.

Chini ya sanamu lake iandikwe kwa mwandiko wa kipindi cha Ukoloni, ule wa kucharaza kwa madaha "Kumbukizi Ya Profesa Kalamaganda Kabugi". Alikua ni muongo huyu mshua daah, halafu wakati akidanganya anatoa macho kama taa za benzi zikiwa full. Huyu dingi hana mpinzani kwenye mbio za uongo.

Nimecheka mpaka baaasi,..Yaani "MACHO KA TAA ZA BENZ FULL"😂😂
 
Back
Top Bottom