Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atokomee jalalaniTaarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Na yeye mwenyewe ni mtanzania, au unasemaje?rais wako ni mbishi kakusudia kuuza mali za watanzania.
Ni prof,, ujue,,! Kwa hiyo ugari kwake sio shida,,!Akale wapi?
Wewe nani wake hata uelewe fikra zake, mkewe?Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Ni mwalimu wa sheria mahiri na amefundisha wanafunzi wengi hapa nchini. Unamdharau mtu afadhali hata yeye tunamtambua lakini wewe hata hatujui huo mchango wako.Kuna watu wanapewa utukufu na heshima ambazo hawastahili kabisa kuwa nazo. Mfano mzuri ni huyu kabudi who is he by the way in this country?
Sa100 kavuruga nchi, imemshinda aache ngaziTaarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Aachie tuu Kwani Kuna shida gani?Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Naona unamzungumzia 'Kabugi' mwingine, siyo yule tunayemfahamu, aliyeokotwa jalalani.Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Acha porojo huyo mtaalamu wa jalalani anarudi jalalani kwake kwani hana manufaa yeyote kwa watu wenye akili timamu mwambie amfuate mwendazake kwani alikuwa ni mungu wakeTaarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Utamsubiri sana wa kukupisha na hauta muona.acha aende tanzania na watanzania tutaendelea kuwepo..
nasubiri polepole pia maana huwezi kung'ang'ania namna ileile ya kuongoza wakti muda wa uongozi huo ulishapita. wao waende tu watupishe..
JalalaniAkale wapi?
Ni uhuru wake wa kikatiba. Kama matarajio hayakidhi kwanini aendelee.Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Nimecheka mpaka baaasi,..Yaani "MACHO KA TAA ZA BENZ FULL"😂😂Kwani ameshazimaliza zile senti alizopiga za Mikopo na Misaada ya Covid-19???
Ila mwamba anahitaji kuchongewa sanamu lake liwekwe "Makumbusho Ya Taifa" kumbukizi ya Waziri Muongo kuwahi kutokea tangu nchi ilivopata Uhuru.
Chini ya sanamu lake iandikwe kwa mwandiko wa kipindi cha Ukoloni, ule wa kucharaza kwa madaha "Kumbukizi Ya Profesa Kalamaganda Kabugi". Alikua ni muongo huyu mshua daah, halafu wakati akidanganya anatoa macho kama taa za benzi zikiwa full. Huyu dingi hana mpinzani kwenye mbio za uongo.
Waziri Prof. Palamagamba Kabudi, jitokeze na ulieleze Taifa hii mikopo na misaada ya pesa za kupambana na COVID-19 zimetumika vipi
Habari Wana Kijiji, Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua. Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka...www.jamiiforums.com