acha aende tanzania na watanzania tutaendelea kuwepo..Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Sawa.Usiwe unatamka neno "Tanganyika" hadharani. Najua wewe ni mwelewa!
Masikini hana kiapoTaarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Kwa maana hiyo amekubali kurudi jalalani?Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
Amekubali mwenyewe kutumika kiboya,Professor mzima unasemaje umeokotwa jalalani ilhali tunajua jalalani wanapatikana machokoraa.Wanamtumia vibaya sana huyu Prof. Awaache kwa kweli.
Mimi nilishauri mapema sana mzee wetu huyu alitakiwa asikubali kuteuliwa kusogezwa Ikulu maana ndio 'fate' yake na heshima na hatima njema ilikuwa inaenda kupotezwa mazima. Mwingine ambaye hakiwi kujishughulisha na utawala huu ni Kalemani, Sabaya, Mpina,, Waziri mkuu Kasimu, Jenista Mhagama former DGIS, former speaker Ndugai, Makonda nk.Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.
" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."
" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."
" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."
Chanzo.
"kabudi ni miongoni mwa laia"! CCM juu, juu zaidi, hii ndiyo sababu ya kusaini mikataba ya hovyo.Nadhani katika Taifa letu Tanganyika kabudi ni miongoni mwa laia
"kabudi ni miongoni mwa laia"! CCM juu, juu zaidi, hii ndiyo sababu ya kusaini mikataba ya hovyo.Nadhani katika Taifa letu Tanganyika kabudi ni miongoni mwa laia
Hivi wewe unazani mchezo kutoka kufundisha hadi kula Ikulu na unaenda kila ukitaka?. Kutoka kuongea na vyanafunzi hadi kumshauri kiongozi wa nchi sio mchezo. Jaribu uone.Amekubali mwenyewe kutumika kiboya,Professor mzima unasemaje umeokotwa jalalani ilhali tunajua jalalani wanapatikana machokoraa.