Kabudi, Lukuvi, Kitila, Waitara na Mwambe ndiyo walikuwa wanamkwamisha Rais Samia?

Kabudi, Lukuvi, Kitila, Waitara na Mwambe ndiyo walikuwa wanamkwamisha Rais Samia?

Huyu alikuwa anautaka Urais.
Huyu in kwa sababu ya ULEVI wake na yuko arrogant kupita kiasi. The guy doesn't behave/look as a minister. Yaani MTU unajiuliza huyu naye aliupataje hata huo uNaibu!! Very useless guy ever seen on earth.
Nadhani atarudi Ukawa sasa. Anyway, who cares he can go even to hell!
 
Huyu in kwa sababu ya ULEVI wake na yuko arrogant kupita kiasi. The guy doesn't behave/look as a minister. Yaani MTU unajiuliza huyu naye aliupataje hata huo uNaibu!! Very useless guy ever seen on earth.
Nadhani atarudi Ukawa sasa. Anyway, who cares he can go even to hell!
Mbaya zaidi alijinasibu kununuliwa na akina Polepole. Atatelekeza jimbo lake halali la Ukonga, akahujumu miradi ya ujenzi wa barabara kwa wakurya wenzake, kule kumebakia mashimo barabarani. Sasa anarudi kule kule alikokuhujumu akayaishi matunda ya chuki zake.
 
Lukuvi yupo vizuri kwa mtazamo wangu, lakini hatuwezi kuzuia asitenguliwe.
 
Mostly Likely It's All About The 'Fear Of Unknown'; And This Is So Bad That It Can Result Into One Loosing Focus On Important Matters.
 
Duh, Lukuvi jamani, au labda atakuwa speaker, kiukweli Mh. Lukuvi anapiga kazi sana, huwezi niambia unamweka Ridhiwani, umwache Lukuvi.. Au Lukuvi atakuwa PM au Speaker, ngoja tuone
Atapataje Experience uyo ridhiwan kama kila siku nafasi wanazo kinaLukuvi
 
Huyu in kwa sababu ya ULEVI wake na yuko arrogant kupita kiasi. The guy doesn't behave/look as a minister. Yaani MTU unajiuliza huyu naye aliupataje hata huo uNaibu!! Very useless guy ever seen on earth.
Nadhani atarudi Ukawa sasa. Anyway, who cares he can go even to hell!
Kumbuka amekuwa rais UDSM pia na aliweza kukitoa kinyago Heche alichokichonga mwenyewe.

In short maisha yako yote hutamfikia hata nusu Waitara
 
Mbaya zaidi alijinasibu kununuliwa na akina Polepole. Atatelekeza jimbo lake halali la Ukonga, akahujumu miradi ya ujenzi wa barabara kwa wakurya wenzake, kule kumebakia mashimo barabarani. Sasa anarudi kule kule alikokuhujumu akayaishi matunda ya chuki zake.
Dhambi ya usaliti haijawahi kumuacha MTU salama. Waitara ameanza kulipa hiyo dhambi. Sidhani kama ukitoa familia yake, kuna yeyote anayeumizwa na kutumbuliwa kwake! Let him go!
 
Katika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.

Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.

Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.

Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.

Nini maoni yako!
Hawa akina Lukuvi, Waitara, mwambe, kitila na prof kabudi wametolewa wakajiandae na 2025 inaonekana hawa ndio walihitaji hiyo nafasi nyeti serikalini

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Nyota ikififia ndo hivyo, hata ufanye kazi huonekani
 
Katika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.

Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.

Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.

Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.

Nini maoni yako!
Ni kwamba; wenye CCM yao walikua wanaitaka na mama hakua na ujanja zaidi ya kutafuta mpenyo wa kuirudisha kwa wenyewe. Yule mgogo alipojichanganya tu mama katelezea mulemule. Hakuna kitu ilikua inauma wana CCM kuachwa na magu kuwanunua upinzani na kuwazawadia vyeo.
 
Inashangaza sana, unamtoa LUKUVI? KABUDI? SERIOUSLY? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Its time siasa ya nchi hii has to change, otherwise tunaenda shimoni. Hawa watu wangeunda political block, huku mtaani hamna anaemkubali mama, wakiamua kabisa kupambana 2025 wanabeba.
Tunaenda shimoni kwa kuwaacha vigeugeu kama kabudi na kitila? Seriously?
 
Unaijua TISS ? Muwe mnaongea mambo yenye maana sio kujaza pages. Mtu aliyetingisha mfumo ni Lowasa akigombea na Magufuli. Bila kula kuibiwa hali ilikuwa mbaya. Wengine ni vinyamkera tu. Hata Lissu alijaribu japo kwa mbali tu.
TISS kitu gani wewe???,As far as ni binadamu sidhani km Wana nguvu kiasi tunachofikiria, Ingekuwa Hivyo Magufuli tusingempoteza maana sidhani km ni Mapenzi ya MUNGU.
 
Katika hotuba yake Rais SSH alisema atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ili kumteuwa na kutengeneza safu ya watu wanaoweza kufanya naye kazi. Kwasababu wengine wanamkwamisha.

Baraza jipya limetangazwa na Mawaziri walioachwa ni wanne. Kwahiyo tafsiri yake ni kwamba hawa wanna ndiyo walikuwa sumu ktk serikali yake, yaani Kabudi, Lukuvi, Kitila na Mwambe.

Na ukiangalia kinachoitwa mabadiliko si mabadiliko bali ni uhamisho wa watu walewale kuzurura kutoka wizara moja kwenda nyingine.

Nimesoma haya kutokana na kauli ya MH. SAMIA kwamba kuna mawaziri hawako naye, pengine wanawaza uchaguzi 2025.

Nini maoni yako!
Nadhani Hawa Rais alikuwa na ugomvi nao mwingine ama ni bangusilo.Kama Kuna homa ya 2025 au kumkwamisha rais basi kawatoa ili kutoa ujumbe kwa big fish wengine waogope.Kuniambia Waitara,Mkumbo,Kabudi na Mwambe eti ni tishio kwa rais 2025 nakataa.Hao ni watu wepesi kabisa kama Alberto Msando na Lijualikali.
 
Back
Top Bottom