Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
"....mwanangu nina watoto kama wewe na wajukuu pia katika muktadha huo hunibidi hasa kwa wakati huu ning'amue baadhi ya mambo kwa umakini mkubwa na ndiyo maana nimekujuza kuhusu u muhimu wa umri niliobakiwa nao niutumie kuishi vyema na wao."
"....jawabu langu li bayana sitogombea!"
Profesa.
"....jawabu langu li bayana sitogombea!"
Profesa.